Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Nimefuatilia mjadala huu wa kisiasa nimegundua Watanzania tuna roho mbaya sana hasa mhanga anapokuwa si wa itikadi sawa na yetu,kisiasa au kiimani huwa tunaona kama si binadamu mwenzetu anayesitahili kuishi au haki nyingine yoyote na tunakoelekea kama taifa ni kubaya mno.
 
Ameomba commitment hakikisho la usalama na sio minimum risk

Yote hii ni kuendelea kuwatafutia uhalali wale wauwaji kwenye yao?

1. Alitoa taarifa ya kuwa hatarini mkapuuza.
2. Akashambuliwa, upelelezi haujafanyika kuwapata wauwaji.
3. Yuko tayari kurudi, kumhakikishia usalama hamtaki.

Kumhakikishia usalama si ni kumpa ulinzi na kuwakabili wote waliotaka kumdhuru?

Au hasa hasa nyie mnataka nini?

Au mbwa mtakuwa mmekula mbwa?
 

Ila rekebisha kidogo yule mwingine alikuwa mwuaji unprovoked.

Huyu mwingine ni mhanga wa wauwaji mithili ya majambazi tu.

Hii ni purely CCM dhidi ya wengine.
 
Trump au Bush walitoa amri ya kuuwawa Mmarekani gani?
 
Bila shaka utakuwa mmoja wa wahuni hao
 
Wanao mkebehi ndio hao hao wahusika mkuu. Usishangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…