Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Kwa maneno haya ya Lissu ni wazi hata yeye hajui nani alihusika na hiyo kazi lakini pia kuna hatari pia mhusika alikuwa na issue nyingine na Lissu tofuti na hii wengi tunayowaza..
Inawezekana kuna watu walitaka kumchafua Rais Hayati Jpm lakini kitendo cha kutolishughulikia swala lile ioasavyo kinatia mashaka.
 
Kwamba Bashite hayumo basi hiyo orodha ni feki!
 
Bashite si ndo alikuwa kiongozi wao - unakumbuka ule msafara wa kule Clouds usiku na zengwe na Mo Dewji.
au kipindi kile Roma mkatoliki anatafutwa, yeye akasema atapatikana, na kweli akapatikana. ilifikirisha sana.
 
Lisu nadhani kichwani ana matatizo. Hivi kama TISS wangetaja kumuu wangempatia ulinzi 24/7 wakati wa uchaguzi? Hii iko hivi. Lisu alipigwa risasi tena walitaka wamuue na wahusika wakuu ni mabeberu na lengo lao lilikuwa kuichonganisha serikali na wananchi/mabeberu ili patokee vita/vurugu. Sasa alipopona na alipokuja kugombea hao hao waliompiga risasi walikuja kumhakikishia usalama na aliposhindwa wakaona hana dili wakamuachaniza ndiyo maana akapaniki na kukimbilia ubalozini. Pia inasemekana huko kaolewa na mwanaume mwenzie
 
Ohooo! kusha kucha huku

Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi

Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee
Wewe wakati wa uchaguzi jamaa alikuja na kurunzi yenye mwanga mkali wa kufa mtu! Wangemgusa Magu angesakwa kama mhalifu wa usalama wa binadamu!. Waliwaona na waliwaonya!
 
Ah wapi siyo kwa rais wa kupata maelekezo wewe! Kwani Mbowe alishtakiwa kimagumashi na nani?
 
Wewe poyoyo kauze hii propaganda labda ndege watakula lakini sidhani kama kuna kiumbe atakaye inunua. Inawezekana unahusika sana na huu uchafu!!
 
Huyu bwana alishambuliwa kwa nia ya kumwua.

Kwa hakika angeweza kuuwawa.

Kauli kuwa upelelezi hauwezi kukamilika bila yeye kuwapo hazina ukakasi?
Waambie ndugu yangu! wanaompinga hapa hata wakinusa kutafutwa watajiharishia mwaka mzima ndani kwa hofu!
 
Kipilimba yule mchungaji wa kilokole ndiye mwenye hii dhambi kweli nimeamini kumbe dini biashara tu!
 
Unamuonea wivu kaolewe na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…