Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Hili na mimi ndio nilikua nataka kulisema haya yote anazuga tu pesa ya ukimbizi ya bure keshaiona tamu kuliko kurudi bongo. Asiwasingizie watu ubaya kikosi cha kujumuisha TISS, JWTZ na polisi kingemtaka kisingetumia risasi 36 na atoke mzima. Hao jamaa wa kazi risasi mbili tu angekua sasa hivi jina lake linatanguliwa na marehemu. waliompiga risasi hawajui anabahatisha ila watakua ni wahuni tu waliotaka kuivuruga nchi. Lisu anatafuta scapegoat ya kutorudi bongo mjanja sana huyu wakili msomi😀😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]

Naungana na wewe waliompiga risasi siyo wanajesh hayo mengine sijui
 
Huyu lisu ananongwaaa khaaa! Anataka iwe hadithi mpaka lini kwamfano?
Imekwishatokea na amepona inatosha!

Aendelee na mambo mengine!
Shauri zake mama anamsikiliza lakini!
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Kiongozi mkuu wa kikosi hicho cha kigaidi alikuwa ni yule nyapara wa mashetani Mwendakuzimu.
 
Hoja yako nini hapa...?

Je, una maana, kwa kuwa alirudi, akagombea u - Rais 2020, akazunguka nchi nzima huku akilindwa, basi hii yatosha kusema kuwa, "kikosi cha rais Magufuli chini ya TISS ya Kipilimba" halikuhusika kuratibu mauaji yakiwemo ya Tundu Lissu...?

Labda hujui. Ngoja nikukumbushe;

1. Kwenye uchaguzi mkuu wa nchi yoyote, the whole world hutazama pale. Kwa hiyo, mamlaka lazima zifunike kombe ili mwanaharamu apite. Lazima zipake chokaa kaburi kwa juu. Lazima zi - predend kuwa zinajali na kufuata sheria...

2. Kwamba, umesahau kuwa Jiwe a.k.a Pombe Magufuli na CCM yake walishindwa vibaya sana ktk uchaguzi huo wa 2020 wa udiwani, ubunge na u - Rais...

3. Kwa hofu ya "itakuwaje sasa maana tumepiga". Jibu likawa moja tu, ku - umafia uchaguzi...

Systematically kwa kutumia mfumo mbovu wa katiba na sheria ya uchaguzi + mamlaka ya kiserikali, Jiwe akai - hijack kura zote za udiwani, ubunge na u - Rais kisha akaanza kuwapa/kuwagawia wanaCCM wenzake ktk kata za udiwani na majimbo ya ubunge na akamalizia kwa yeye kujipa kura za kutosha u - Rais na kisha akajitangaza mshindi...

4. Thereafter, mzee baba John Pombe Magufuli, immediately akaamuru ulinzi dhidi ya hasimu wake Tundu Lissu uondolewe na mara na Systematically vilevile, mwanya wa kuimaliza kazi waliyoianzisha mwaka 2017 kule Dodoma indirectly ikaanza kutaka kuendelezwa...

## Lakini bwana, njia za Mungu za ku - deal na uovu ni za ajabu na za kipekee kwelikweli...

## Yaani mtoa maelekezo na amri za kuua wengine, naye ktk mazingira yasiyo na maelezo ya kutosha dunia ilishitukia tu anakufa kizembe bila hata kupigwa risasi moja ya bastola...!!

## Yaani kampiga mwenzake risasi 37 HAKUFA. Lakini yeye akafa bila hata kupatwa na moshi au cheche za risasi ya SMG...!!
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Hoja yako nini hapa...?

Je, una maana, kwa kuwa alirudi, akagombea u - Rais 2020, akazunguka nchi nzima huku akilindwa, basi hii yatosha kusema kuwa, "kikosi cha rais Magufuli chini ya TISS ya Kipilimba" halikuhusika kuratibu mauaji yakiwemo ya Tundu Lissu...?

Labda hujui. Ngoja nikukumbushe;

1. Kwenye uchaguzi mkuu wa nchi yoyote, the whole world hutazama pale. Kwa hiyo, mamlaka lazima zifunike kombe ili mwanaharamu apite. Lazima zipake chokaa kaburi kwa juu. Lazima zi - predend kuwa zinajali na kufuata sheria...

2. Kwamba, umesahau kuwa Jiwe a.k.a Pombe Magufuli na CCM yake walishindwa vibaya sana ktk uchaguzi huo wa 2020 wa udiwani, ubunge na u - Rais...

3. Kwa hofu ya "itakuwaje sasa maana tumepiga". Jibu likawa moja tu, ku - umafia uchaguzi...

Systematically kwa kutumia mfumo mbovu wa katiba na sheria ya uchaguzi + mamlaka ya kiserikali, Jiwe akai - hijack kura zote za udiwani, ubunge na u - Rais kisha akaanza kuwapa/kuwagawia wanaCCM wenzake ktk kata za udiwani na majimbo ya ubunge na akamalizia kwa yeye kujipa kura za kutosha u - Rais na kisha akajitangaza mshindi...

4. Thereafter, mzee baba John Pombe Magufuli, immediately akaamuru ulinzi dhidi ya hasimu wake Tundu Lissu uondolewe na mara na Systematically vilevile, mwanya wa kuimaliza kazi waliyoianzisha mwaka 2017 kule Dodoma indirectly ikaanza kutaka kuendelezwa...

## Lakini bwana, njia za Mungu za ku - deal na uovu ni za ajabu na za kipekee kwelikweli...

## Yaani mtoa maelekezo na amri za kuua wengine, naye ktk mazingira yasiyo na maelezo ya kutosha dunia ilishitukia tu anakufa kizembe bila hata kupigwa risasi moja ya bastola...!!

## Yaani kampiga mwenzake risasi 37 HAKUFA. Lakini yeye akafa bila hata kupatwa na moshi au cheche za risasi ya SMG...!!
Sukuma gang huwa wanajitoa ufahamu kujifanya spin-masters wakidhani Lissu hana connections za ndani ya mfumo kujua shambulio lake lilifanywa na nani, kama angekufa kwenye lile shambulio kesi hiyo angebambikiwa Mbowe kwani ndivyo ilivyokuwa imepangwa eti power struggles ndiyo zimepelekea wauane wenyewe kwa wenyewe.
Ku-survive kwa Lissu kulivuruga plans zao zote, bado baadhi ya chawa wa Jiwe huwa wanajaribu kulichomeka kwa sababu ya upofu wao wa akili na wengine wao huwa ni kujitoa ufahamu tu.
 
Sukuma gang huwa wanajitoa ufahamu kujifanya spin-masters wakidhani Lissu hana connections za ndani ya mfumo kujua shambulio lake lilifanywa na nani, kama angekufa kwenye lile shambulio kesi hiyo angebambikiwa Mbowe kwani ndivyo ilivyokuwa imepangwa eti power struggles ndiyo zimepelekea wauane wenyewe kwa wenyewe.
Ku-survive kwa Lissu kulivuruga plans zao zote, bado baadhi ya chawa wa Jiwe huwa wanajaribu kulichomeka kwa sababu ya upofu wao wa akili na wengine wao huwa ni kujitoa ufahamu tu.
Lissu ni msaliti kwa taifa lake, hauwezi kusomeshwa kwa kodi za watanganyika alafu baada ya kusomeshwa unaanza kuuza Siri za nchi kwa Wazungu, 'eti tutashitakiwa Miga' uku akiomba nyalaka za Siri kwa Mwanyika ili Serikali ipate asara.
 
Sukuma gang huwa wanajitoa ufahamu kujifanya spin-masters wakidhani Lissu hana connections za ndani ya mfumo kujua shambulio lake lilifanywa na nani, kama angekufa kwenye lile shambulio kesi hiyo angebambikiwa Mbowe kwani ndivyo ilivyokuwa imepangwa eti power struggles ndiyo zimepelekea wauane wenyewe kwa wenyewe.
Ku-survive kwa Lissu kulivuruga plans zao zote, bado baadhi ya chawa wa Jiwe huwa wanajaribu kulichomeka kwa sababu ya upofu wao wa akili na wengine wao huwa ni kujitoa ufahamu tu.
Duh..
 
Vipi akisimulia wewe unapungukiwa damu?!

Napungukiwa hamu ya kumsikiliza!
Nikimuona nazima tv!
Mpinzani anatakiwa awe na akili ajuwe watu wanamisi nini ndiyo akilete mezan!

Hadithi ya yeye kupigwa mi inaniletea vipi maendeleo?
Mama keshawapa mwongozo waseme kero zinazowakwaza wananchi ambazo serikali imezisahau waziseme ili serikali isikie na itekeleze!
Haya kakazana nilipigwa na kikundi cha rais kwahiyo? Mara ngapi ameomba na kupiga magoti aonane na rais? Adui yako unampigia magoti ili umuone? Haya kapokea magoti yako mmekutana haikutosha?
Kwahiyo unatakaje sasa baada ya kuwa umepigwa?
Ubalozi wa marekan ulipigwa na watu tumesahau yeye nan dunia hii?
Atenge siku aadhimishe bas au atunge wimbo wa taifa mxiyu!!
Tulimuonea huruma na tulilaan kitendo na tukamaaidia kupona!
 
Napungukiwa hamu ya kumsikiliza!
Nikimuona nazima tv!
Mpinzani anatakiwa awe na akili ajuwe watu wanamisi nini ndiyo akilete mezan!

Hadithi ya yeye kupigwa mi inaniletea vipi maendeleo?
Mama keshawapa mwongozo waseme kero zinazowakwaza wananchi ambazo serikali imezisahau waziseme ili serikali isikie na itekeleze!
Haya kakazana nilipigwa na kikundi cha rais kwahiyo? Mara ngapi ameomba na kupiga magoti aonane na rais? Adui yako unampigia magoti ili umuone? Haya kapokea magoti yako mmekutana haikutosha?
Kwahiyo unatakaje sasa baada ya kuwa umepigwa?
Ubalozi wa marekan ulipigwa na watu tumesahau yeye nan dunia hii?
Atenge siku aadhimishe bas au atunge wimbo wa taifa mxiyu!!
Tulimuonea huruma na tulilaan kitendo na tukamaaidia kupona!

Idiot
 
Damu za wote waliouawa na kikosi cha kipilimba zikawe juu ya kichwa chake yeye na watoto wake milele yote!
damu za wahanga wote zikawe laana kwake na familia yake milele yote, usiku ziwe na kazi ya kumlilia na kumlaani milele yote!
Aliyekuwa mkuu wa nchi kwa vyovyote tunajua yuko sehemu gani ktk zile mbili za Mwenyezi Mungu.
 
Lissu ni msaliti kwa taifa lake, hauwezi kusomeshwa kwa kodi za watanganyika alafu baada ya kusomeshwa unaanza kuuza Siri za nchi kwa Wazungu, 'eti tutashitakiwa Miga' uku akiomba nyalaka za Siri kwa Mwanyika ili Serikali ipate asara.
Msaliti amekufa kazikwa na kifusi na mawe kama joka
 
Napungukiwa hamu ya kumsikiliza!
Nikimuona nazima tv!
Mpinzani anatakiwa awe na akili ajuwe watu wanamisi nini ndiyo akilete mezan!

Hadithi ya yeye kupigwa mi inaniletea vipi maendeleo?
Mama keshawapa mwongozo waseme kero zinazowakwaza wananchi ambazo serikali imezisahau waziseme ili serikali isikie na itekeleze!
Haya kakazana nilipigwa na kikundi cha rais kwahiyo? Mara ngapi ameomba na kupiga magoti aonane na rais? Adui yako unampigia magoti ili umuone? Haya kapokea magoti yako mmekutana haikutosha?
Kwahiyo unatakaje sasa baada ya kuwa umepigwa?
Ubalozi wa marekan ulipigwa na watu tumesahau yeye nan dunia hii?
Atenge siku aadhimishe bas au atunge wimbo wa taifa mxiyu!!
Tulimuonea huruma na tulilaan kitendo na tukamaaidia kupona!
Kwa akili hii utakuta nawe una mke na watoto! Pumbafu kabisa
 
Tundu Lissu kama ni muadilifu aseme fedha za stahiki zake ni shilingi ngapi? Na je akilipwa atazipeleka kwenye charity gani? Walitangazia ulimwengu wote wako watu walifanya chariy kumeet gharama zake baada ya serikali kuzuia hizo stahiki zake. Analazimika kwa uungwana tu hizo stahiki zake anazo idai serikali kuzirudisha kwenye charity.
Acha ujinga , stahiki zake Ni haki yake ataamua mwenyewe azitumie vipi
 
Back
Top Bottom