Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Ungekuwa wewe ndiyo lissu,ungerudi[emoji15][emoji15] hebu karibu kuvaa viatu vyake kwanza
 
Lakini kwa maelezo yake lile jarada lililofunguliwa na Kipilimba bado halijafungwa .... Hivyo linaweza kufunguliwa siku yeyote na wakamalizia pale walipoishia!!
 
Sawa maana Balozi kipilimba yupo na atasema naye
 
Tundu lisu Muongo TU ,wala hakupigwa risasi,Yale makovu ni ya ugonjwa wa tetekuwanga
 
Yaani huyu poyoyo anabwabwaja kama vile anapigwa risasi Kila siku.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wewe ungepigwa risasi moja TU ya mguu,sidhani kama ungekua na akili timamu Hadi Leo.
Usiombe kusikia milio ya risasi na risasi zikiingia mwilini mwako.
Sikia kwa watu TU.
Eti Unamwita poyoyo.
Vijitu vingine bana.
 
Mlio karibu na Lissu mkanyeni Amshukuru Mungu wake, na uongizi wa Sasa SSH kumpa Mkono wa heri inatosha.
Kutaja hovyo majina ya taasisi nyeti na majina viongozi kumtafuta mchawi haina maana.
Taasisi Ni kubwa kuliko uhai wa yeyote. Zinafanya mengi makubwa yasiyopimika kwa amani na salama ya taifa letu.
Japo binafsi nasikitika kwa yote ila katika maisha Kuna "DO "and " DON'T"
 
Tundu lisu Muongo TU ,wala hakupigwa risasi,Yale makovu ni ya ugonjwa wa tetekuwanga

Tetekuwanga na Risasi zote ni dhahama kikubwa unarecover vipi kutoka na madhara yake/yatokanayo. TL kwa jinsi alivyo kuwa akiongea alikuwa mtu mwenye furaha na bashasha tele baada ya JPM kufa. Kulikoni mbona bado anahangaika na kulalala lalama? Ama hakujua anaye kufa ni mtu si mfumo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…