Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Lissu ni coward leader, poor politician, kuna wakati anatufuta suluhu na kusahau yaliyopita arudi nchini, kuna wakati anataka kesi ziendelee kuna wakati kama anataka kurudi tanzania, kuna wakati kama anatafuta sababu kuendelea kuishi belgium

Tumechoka clips za mtandaoni za huyu jamaa, watu kule vijijini ambao walimpigia kura za urais hawaoni wala kupata hizi clips si watu wote wanamiliki hii mitandao anatakiwa ajipambanue kama ana interest ya kuendeleza siasa Tanzania labda na matumaini ya kushika dola kwa chama chake.

Lakini ni kitu gani hasa kilimsukuma kuongea na mama samia belgium, ni kwa vipi alijenga matumaini ya kufanya maongezi na mtesi wake?? Lissu anakuwa hafahamiki anawaparaganya na wenzake, ilibidi mbowe atoke jela amfate mama Ikulu yote ni yeyee
 
Kati ya jambo la hovyo Sana ambalo the state wamefanya hadi leo ni kuruhusu nchi itawaliwe na chama kimoja KWA MUDA mrefu Sana!!!Tusimlaumu jpm !jpm alipewa jukumu la kulinda chama ambacho kilishapoteza mvuto ndio màana ilikuwa ni lazima atumie nyenzo haramu kama POLISI na Tiss kwenye siasa za kibabe!!!chanzo chake ndio hayo mauaji hayo na marisasi!!!!The state ingejiandaa KWA KUANDAA chama mbadala tangu mwaka 2010 Baada ya uchaguzi wa kikwete ule!!hata kama si Chadema Basi hata NCCR MAGEUZI TU!!HATA TLP AU CUF Wangeandaa mtu mzalendo hata huyo jpm akagombee HUKO na kushinda asingeua wala kutwaa Sana Sana angepambana na mafisadi tu!!!MIMI NITAENDELEA KUWALAUMU THE STATE KWA UZEMBE WAO NA KUKOSA MAONO YA KESHO!!!MARAISI WA CCM WANATUMIA NGUVU NYINGI KUPAMBANA NA UPINZANI ILI KULINDA CHAMA KULIKO KUPAMBANA NA MAENDELEO!!!NA HII ITAKUJA KULETA MACHAFUKO HUKO MBELENI NA TAIFA LITAPATA WAASI NA TUTAGAWANYIKA KWA UZEMBE WETU SISI WENYEWE!!
MUNGU AKAUJAZE UKOO WAKO.
 
Ungekuwa wewe ndiyo lissu,ungerudi[emoji15][emoji15] hebu karibu kuvaa viatu vyake kwanza
Rais alishamtembelea wakati akiwa mgonjwa , na baadae rais ameenda Belgium kikazi lakini akatenga muda wake ili aongee nae hilo tu lingemuonesha kua usalama wake ni kipaumbele kwa serikali hii. Mama angeweza kumpotezea tu hata asionane nae huko Belgium kwani Tundu Lisu ni nani??? Ulinzi gani anaoutaka kwa sasa ??? au anataka walinzi toka Scotland Yard na FBI??? Huyu jamaa mie namuona siasa imeshamshinda sasa hivi anataka kupigania tumbo lake na familia yake basi .
 
Hajaweka wazi nini haswa hoja yake. Ni kama mtu mwenye wasiwasi usiokwisha kwa vigezo vya mwanzoni mwa maongezi haya.

Inaweza kuwa ni muendelezo wa siasa za mitandaoni, hataki kutoka midomoni mwa watu kirahisi hivyo inambidi aongee hata kama anachokiongea ukikipima hakina undani sana.
Wewe ndio hujielewi, hakuna kitu chenye thamani kubwa kuliko uhai wa mtu
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Huyu jamaa ana akili sana

Lakini amekua too self centered kisi kwamba anadilute very serious issues

Sasa kila siku ni dibaji yake tuuuuuu….

Hataki kurudi na anataka kuendelea kuwa diva for life
 
Rais alishamtembelea wakati akiwa mgonjwa , na baadae rais ameenda Belgium kikazi lakini akatenga muda wake ili aongee nae hilo tu lingemuonesha kua usalama wake ni kipaumbele kwa serikali hii. Mama angeweza kumpotezea tu hata asionane nae huko Belgium kwani Tundu Lisu ni nani??? Ulinzi gani anaoutaka kwa sasa ??? au anataka walinzi toka Scotland Yard na FBI??? Huyu jamaa mie namuona siasa imeshamshinda sasa hivi anataka kupigania tumbo lake na familia yake basi .


Sijui anataka rais ampigie magoti?

Sasa wote walifanya hivyo rais si ataishi Kwa kupiga magoti?

And he is making all these sweeping statements… hajui ni terrorists wangapi waiondolewa na kukimbilia gabo delgado

I respect this guy a lot but he is changing mno
 
Lissu anatafuta legitimacy ya kuendelea kuishi ubelgiji na hakuna lingine hapo.

Kila siku story ya risasi, watu tulikwisha achana na huo ukurasa.

Kuna wengi walidhurika na wapo wanasonga na maisha yao bila hofu.

Hapa tatizo liko kwa kina Maria Sarungi na Fyatu karume wanao host hiyo the space na kumfanya mwenyekiti kila siku.

Mnatuchosha bhana!

Lissu na Lema ni kama nyuki daima sio wa kukumbatiwa.

Kwamba Lissu anatafuta legitimacy kwani wewe ni Kerubi kuyajua ya mwingine tofauti na anayoyasemq mwenyewe ndugu?
 
Rais alishamtembelea wakati akiwa mgonjwa , na baadae rais ameenda Belgium kikazi lakini akatenga muda wake ili aongee nae hilo tu lingemuonesha kua usalama wake ni kipaumbele kwa serikali hii. Mama angeweza kumpotezea tu hata asionane nae huko Belgium kwani Tundu Lisu ni nani??? Ulinzi gani anaoutaka kwa sasa ??? au anataka walinzi toka Scotland Yard na FBI??? Huyu jamaa mie namuona siasa imeshamshinda sasa hivi anataka kupigania tumbo lake na familia yake basi .

The guys wamekuwa wajasiria siasa kwelikweli. Ulimskia Mbowe mahali akisema nimetoka jela sina fedha, wajinga ni wali wao wakachangishwa makomandoo wakisimamia mabakuli. Kuzalilisha JWTZ huku hata kama waliachishwa huko kwa sababu zozote zile. Jua hapo Mama alikuwa anapelekewa kaujumbe flani ka unaniacha achaje?
 
Huyu jamaa ana akili sana

Lakini amekua too self centered kisi kwamba anadilute very serious issues

Sasa kila siku ni dibaji yake tuuuuuu….

Hataki kurudi na anataka kuendelea kuwa diva for life

Self centered usije kuwa wewe mwenye kudogosha jaribio la mtu to near death
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Watenda kazi ni pamoja na wale waliovamia clauds wakiwa na boss bashite
 
The guys wamekuwa wajasiria siasa kwelikweli. Ulimskia Mbowe mahali akisema nimetoka jela sina fedha, wajinga ni wali wao wakachangishwa makomandoo wakisimamia mabakuli. Kuzalilisha JWTZ huku hata kama waliachishwa huko kwa sababu zozote zile. Jua hapo Mama alikuwa anapelekewa kaujumbe flani.

Wajumbe wa kipilimba kwa comments zao hawajifichi
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.

Yaani huyu minga si alishawahi kurudi,Akawa mpaka mgombea wa Urais. Nani alimsumbua na kama wangekuwa na nia mbaya na Lisu wangemumaliza na wasingemruhusu kurudi kwa waume zake.
 
Mh. Tundu Lissu awataja waliohusika kumshambulia.

Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.

Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.

Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.

Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.


Haya wale waliosema Tundu Lissu kazibwa mdomo waje.
 
Ni jambo la kawaida kwa kila raia mwenye mashaka na usalama wake kutoa taarifa na kuhakikishiwa ulinzi kwa mujibu wa sheria.

Kuna ugumu gani kwa Mama Samia kama mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kumhakikishia mhanga huyu usalama wake kwa mujibu wa sheria?
hivi cc watz wengine hatujahakikishiwa usalama wetu?!?. inawezekana mimi sielewi kuhakikishiwa usalama ni kupi huko??!!??,Rais kutoa tamko tu kwamba utakuwa salama!???!, au ni kupewa ulinzi wa jeshi lenye silaha 24/7?!? au ni kupi huko?!?. Kama TL anatumia p/port ya Tanzania huko aliko asome ndani huko kuna sehemu Rais wa nchi anatamka kuhusu usalama wa raia wake!! kwani hilo si hakikisho?!? TL wewe rudi home bwaana, yalishaipita hayo ya visasi ukishindwa kumwamini hata mama aliyekusalimia wakati uko mahututi nairobi, kaja ubelgiji kama Rais akaomba muonane bado hujamkubali tu??!!?. Nahisi ma cake na machopstick ya ulaya yanakulemaza au POSHO za ukimbizi hupendi kuziacha. Home tupo salama NJOOO!!!
 
Ohooo! kusha kucha huku

Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi

Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee
Unajielewa wewe, kwani ulitegemea wasimpe ulinzi kwa walicho kifanya?
 
Back
Top Bottom