Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MinyooKwa njia haramu ya kununua uenyekiti huo
Mkuu ushaanza Christmas? Mbona unachanganya madesa?Ni lini Tundu Lissu aliwaamini CCM?
Sasa linakuhusu nini kama lishakua hivo, unahangaika na kukosa kulala kwa sababu ya mabumunda? Usijibu jipime tuJamaa lenu limeshakuwa bumunda sana!
Fikra za kizamani na za kijinga.Uchaguzi ukiwa huru na wa haki,mtu anakwenda kumchinja sultani mchana kweupe huku anajiangalia!, October 2025 ni unasukuma tuu kama kumsukuma mlevi!tatizo ni the ability and capability kuendesha serikali,Chadema hii uwezo huo haina!
P
Elewa mada ndugu,sio kwamba awaamini anaotaka kuwaongoza!!!,kapewa taarifa, mhimu uchunguzi ufanywe kujua ukweli wa hizo taarifa,lisemwalo lipo,kama halipo laja.Huyu ndio Tundu Lissu hawaamini hata watu anaotaka kuwaongoza! Ahahahahaha!!!
alipo sema kuna watu wanamfatilia wanataka kumuua, mlisema hivi hivi analalamika sanaMbona lisu anapenda sana kulalamika lete ushaidi hana inakuwaje au ndiyo anatakakuvuruga uchaguzi maana.
Kwanini Lissu ameanza kutuhumu kila mtu chamani baada ya kugombea uwenyekiti? Haya anayosema yameanza leo? Kama yalianza zamani, ALIKWINA?Elewa mada ndugu,sio kwamba awaamini anaotaka kuwaongoza!!!,kapewa taarifa, mhimu uchunguzi ufanywe kujua ukweli wa hizo taarifa,lisemwalo lipo,kama halipo laja.
Ndio ana haki yakusema!!, kwani kuna tatizo gani?Kwanini Lissu ameanza kutuhumu kila mtu chamani baada ya kugombea uwenyekiti? Haya anayosema yameanza leo? Kama yalianza zamani, ALIKWINA?
Lissu yupo sahihi wezi wapo kila sehemu, ni muhimu kutoa tahadhari mapemaTundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa
"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.
Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
hao hao wajinga,ndio wapiga kura。Fikra za kizamani na za kijinga.
Lisu akiwa mjinga, wewe utakuwa mwendawazimu kichaa.Lissu aache kutafuta huruma za kijinga
Sasa wewe unadhani Lisu ni kama wewe! Lisu ni kiongozi asiye rasmi lakini anayeheshimika sana. Ndiyo maana Rais alifunga safari kwenda kumwona Ubelgiji. Ndiyo maana hata kifo cha hayati Magufuli, alipewa taarifa yeye kwanza hata kabla ya makamu wa Rais, wakati wewe hata DC tu hawezi kukufuata nyumbani kwako kwa jambo lolote!!Lissu kila kitu kadokezwa na watu wakubwa itoshe kusema lissu ni muongo wa karne!
CHADEMA hawawezi kufanya hivyo, stay coolTundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa
"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.
Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
Tayari keshashindwa uyo, Hongera Mbowe Mwenyekiti!!Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa
"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura, watakapogundua kwamba mambo ya upande wao hayako sawa na mhusika amenidokeza kwamba, vyovyote itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki.
Tafadhari hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa huru na wa haki".
Anawanyoosha vibaya sanaTundu Lissu hana kifua kabisa
Kama uchaguzi ukiwa huru na haki tu ndiyo Lissu anaweza kumpiga chini Mbowe,lakini kwa dalili zilizopo sasa kuwa hata serikali na CCM ziko upande wa Mbowe itakuwa vigumu Lissu kutoboa. Mbowe atashinda kimagumashi kwani ni rahisi kuwahinga wajumbe 1200 lakini ndiyo itakuwa mwisho wa Chadema umma wa wanachadema na wafuasi wa Chadema hauna imani tena na Mbowe,hivyo ajue kupata madiwani,wabunge na kura za urais itakuwa kipengele kwa Chadema ya Mbowe,labda anategemea hivyo nusu mkate aliyoahidiwa na Samia.Lisu awezi kumshinda Mbowe.atamshinda vipi mtu anaepewa suport na tiss!
Mkuu uko kinyume na wanaccm wenzako wanaompigia debe Sultan.Uchaguzi ukiwa huru na wa haki,mtu anakwenda kumchinja sultani mchana kweupe huku anajiangalia!, October 2025 ni unasukuma tuu kama kumsukuma mlevi!tatizo ni the ability and capability kuendesha serikali,Chadema hii uwezo huo haina!
P