Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Jiwe laanatulahhHana kinyongo
Ndg yetu ,ameombwa na wanafanyabiashara akanywe kahawa hajakataa ,kama ilivokua Kwa magufuli
Nimecheka, ccm mmetengeneza propaganda kisha mnaiamini wenyewe. Hivi watu wa kitengo cha propaganda huko CCM wote wameshazeeka nini? Mbona mbinu za propaganda hazibadiliki ni zilezile outdated?Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa......
Dr Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Sawa mke wa Slaa tumekusikia.Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Wewe akili zako zipo AbudhabiHahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Lissu sio wa kukosa watu, hata akija hapo nje ya kibanda chako atajaza wa kutosha..Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Foe sure simpendi lissu hata kidogo tu. Ila kama atagomvea urais mwakani kura yangu anayo mchana kweupe sababu sijaona wengine wanaowaza kwa kichwaUkitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Yani unataka tuamini kwamba wewe unaijua sheria kumzidi Tundu Lisu na Mzee Warioba?Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Upo sahihi kabisa.Foe sure simpendi lissu hata kidogo tu. Ila kama atagomvea urais mwakani kura yangu anayo mchana kweupe sababu sijaona wengine wanaowaza kwa kichwa
Tunataka watu wanaosikiliza na kusikilizwa. Ukiskia hotuba na maswali ya wananchi utajua kuwa Lissu wanamuelewa sana.View attachment 2679457
Samia, vipengele vya mkataba.
Nimeamini kweli watu wengi ni wafata maslahi.Yani unataka tuamini kwamba wewe unaijua sheria kumzidi Tundu Lisu na Mzee Warioba?
Ndani ya wiki tatu, umetoka kua "The boss" mpaka kua "The loss"
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kazi na DawaFurniture Safi 🇹🇿0786437672
✔️Kitchen cabinet ya kisasa
✅Juu plate ndan vyombo
✔️Tsh 200,000 tu
✅Tunapatikana manzese Argentina View attachment 2679415
Jamaa kageuka kabisa. Siku hizi anawaza kwa level ua chini sana.Lissu sio wa kukosa watu, hata akija hapo nje ya kibanda chako atajaza wa kutosha..
Ccm bwana. The Boss ni mfano wa watu waliokata tamaa.Nimecheka, ccm mmetengeneza propaganda kisha mnaiamini wenyewe. Hivi watu wa kitengo cha propaganda huko CCM wote wameshazeeka nini? Mbona mbinu za propaganda hazibadiliki ni zilezile outdated?