Tundu Lissu Wananchi wanamuelewa, Kariakoo imekuwa mfano mwingine

Tundu Lissu Wananchi wanamuelewa, Kariakoo imekuwa mfano mwingine

Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.

Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.

Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?


Nchi imekosa uongozi wacha Chadema wachukue nchi taratibu.
 
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.

Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.

Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?

ELIAH_NGASE%F0%9F%85%B0_on_Instagram%3A_%E2%80%9CNiyeye!!!!%E2%80%9D%22_.jpg
 
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.

Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.

Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?


Wanakuja kumshangaa tuu
 
Wakati mwingine huwa nawaza labda ID yake amiuza maana michango yake inatia mashaka sana sio yule tuliyemfahamu
Inasikitisha sana. The Boss tumempoteza kama Taifa tumepata Hasara.
 
Nimecheka, ccm mmetengeneza propaganda kisha mnaiamini wenyewe. Hivi watu wa kitengo cha propaganda huko CCM wote wameshazeeka nini? Mbona mbinu za propaganda hazibadiliki ni zilezile outdated?
Hilo jamaa linatetea dini yake.
Kipindi cha Magu hakumpenda hata nukta, hapo anatetea magaidi wenzake
 
Ccm bwana. The Boss ni mfano wa watu waliokata tamaa.

Hakuwa hivi huyu Jamaa. He was a good thinker wote tulimuamini.
Mkuu, hata mimi nashangaa! kimetokea nini? Hili suala la bandari limembadilisha kiasi kwamba hata wakati mwingine anachanganya hoja zake.
 
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.

Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.

Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?


Mh mbona chawa Lucas mwashamba amesema wafanyabiashara kariakoo wamempuuza LISSU?
 
Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.

Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Rudi 👇👇 ukachukue bongo lako, unazid kutia aibu!!
 

Attachments

  • IMG_20221210_125229.jpg
    IMG_20221210_125229.jpg
    95.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom