Chozizwa 2020
Senior Member
- May 19, 2023
- 122
- 77
Mkuu na wewe GT wa JF?Unamchagua Lissu? Mara 10000 umchague hashimu rungwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na wewe GT wa JF?Unamchagua Lissu? Mara 10000 umchague hashimu rungwe
KumbeUkitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa...
Sikiliza hotuba uje uchangie sio uje kuuliza wakati hujasikiliza.Kwani kikubwa wamesemaje? Kwamba Chadema haitawatiza Kodi au? 😁😁
Kuna watu wana chuki kweli kweli hadi wanashindwa kujificha. Sifa za Lissu utazi- ignore sababu ya Chuki tu.Mkuu na wewe GT wa JF?
Ni siasa za maji take tu zile. Video na picha hizo hapo.Mh mbona chawa Lucas mwashamba amesema wafanyabiashara kariakoo wamempuuza LISSU?
Inawezekana kalipwa. Sio kawaida kabisa.Mkuu, hata mimi nashangaa! kimetokea nini? Hili suala la bandari limembadilisha kiasi kwamba hata wakati mwingine anachanganya hoja zake.
Chadema hawajawahi kuja na suluhisho la kitu chochote zaidi ya kulalamika na kuponda unlike act wazalendo.Sikiliza hotuba uje uchangie sio uje kuuliza wakati hujasikiliza.
Choice wewe ni mtu wa heshima acha kujiharibia heshima yako
Sasa ndo umeandika nini hiki?Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Hbr yako mlinda legacy!!Unamchagua Lissu? Mara 10000 umchague hashimu rungwe
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Ni ujinga unawasumbua,Sasa Lisu atawasaidia Kwa lipi? Au Chadema imewaambia chochote Cha maana ambacho itafanya?Wafanya biashara wananasikiliza na kutoa duku duku zao kuliko walivyofanya kwa fujo mbele ya PM majaliwa.
Hairuhusiwi kuuza id?🤪Ccm bwana. The Boss ni mfano wa watu waliokata tamaa.
Hakuwa hivi huyu Jamaa. He was a good thinker wote tulimuamini.
Anauliza wakili wa utetezi. Je, ni nini ambacho kinajadiliwa na kupitishwa na bunge kisheria kati ya makubaliano na mkataba. Anaendelea..."hakuna mahali panaposema kuwa makubaliano yatapitishwa na bunge isipokuwa mkataba/mikataba ndiyo itakayojadiliwa na kupitishwa na bunge".Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Inawezekana kaiuza.Hairuhusiwi kuuza id?🤪
The Boss asikupotezee muda najua anaujifanya hajui anatuchora tuAnauliza wakili wa utetezi. Je, ni nini ambacho kinajadiliwa na kupitishwa na bunge kisheria kati ya makubaliano na mkataba. Anaendelea..."hakuna mahali panaposema kuwa makubaliano yatapitishwa na bunge isipokuwa mkataba/mikataba ndiyo itakayojadiliwa na kupitishwa na bunge".
Ni ujinga unawasumbua,Sasa Lisu atawasaidia Kwa lipi? Au Chadema imewaambia chochote Cha maana ambacho itafanya?
Imethibitika aiseewatu wamebadilika sahivi hawataki tena ulaghai wa CCM