Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bado kidogo kijijiniImethibitika aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kidogo kijijiniImethibitika aisee
Sijaiangalia hiyo clipp mkuu,nipo kwenye makelele,kama ni kweli kasema hivyo,MI SIKUBALIANI NAYE,hata nisipokubaliana naye katika hilo sitamuondolea sifa yake ya MWANASHERIA MBOBEVU KUWAHI KUTOKEA HAPA TANGANYIKASi ndio anawaambia hivyo watalipa kidogo? Akawasaidie walipe kidogo au wasilipe
Yupo vizuri mno.Huyu jamaa ana kitu kichwani, kumbe ndio maana walitaka kumuondoa
Mama yupo vizuri kwenye uhuru na kujali uhai. Ila kuna wahuni wanataka kumzidi nguvh hukoTumpongeze Mh.Rais kwa kuwezesha ili maana mingi CHADEMA walikua awawezi kufanya mikutano..Mama Samia mpaka akasema usalama upo njoo mdogo wangu Tanzania. Mama Samia ni lulu kweli.