Nchi imekosa uongozi wacha Chadema wachukue nchi taratibu.Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Ni mtu wa watu sana.Hana kinyongo
Ndg yetu ,ameombwa na wanafanyabiashara akanywe kahawa hajakataa ,kama ilivokua Kwa magufuli
Wafanya biashara wananasikiliza na kutoa duku duku zao kuliko walivyofanya kwa fujo mbele ya PM majaliwa.Nchi imekosa uongozi wacha Chadema wachukue nchi taratibu.
Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Mwamba huyo nani?
LissuMwamba huyo nani?
Wakati mwingine huwa nawaza labda ID yake amiuza maana michango yake inatia mashaka sana sio yule tuliyemfahamuCcm bwana. The Boss ni mfano wa watu waliokata tamaa.
Hakuwa hivi huyu Jamaa. He was a good thinker wote tulimuamini.
Wanakuja kumshangaa tuuUkitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Inasikitisha sana. The Boss tumempoteza kama Taifa tumepata Hasara.Wakati mwingine huwa nawaza labda ID yake amiuza maana michango yake inatia mashaka sana sio yule tuliyemfahamu
Umesikiliza michango na hoja za wafanya biashara?? Kama hivyo ndio kumshangaa basi wamshangae sana tuWanakuja kumshangaa tuu
Kwani kikubwa wamesemaje? Kwamba Chadema haitawatiza Kodi au? ππUmesikiliza michango na hoja za wafanya biashara?? Kama hivyo ndio kumshangaa basi wamshangae sana tu
Too LowHahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Hilo jamaa linatetea dini yake.Nimecheka, ccm mmetengeneza propaganda kisha mnaiamini wenyewe. Hivi watu wa kitengo cha propaganda huko CCM wote wameshazeeka nini? Mbona mbinu za propaganda hazibadiliki ni zilezile outdated?
Mkuu, hata mimi nashangaa! kimetokea nini? Hili suala la bandari limembadilisha kiasi kwamba hata wakati mwingine anachanganya hoja zake.Ccm bwana. The Boss ni mfano wa watu waliokata tamaa.
Hakuwa hivi huyu Jamaa. He was a good thinker wote tulimuamini.
Mh mbona chawa Lucas mwashamba amesema wafanyabiashara kariakoo wamempuuza LISSU?Ukitazama jinsi wafanyabiashara wa Kariakoo walivyotulia na kumsikiliza Tundu Lissu haraka haraka unaweza kudhani Wafanya biashara walikuwa Chini ya Mamlaka kubwa.
Umati wa watu wametulia na kusikiliza Makamu Mwenyekiti Chadema Taifa Mh Tundu Lissu aki address wafanya biashara kariakoo.
Huu utulivua na mwitikio unatokana na nini?
Rudi ππ ukachukue bongo lako, unazid kutia aibu!!Hahaha kaona hapati watu kaamua kwenda kkooo kabisa.
Dkt. Slaa anamtia wasiwasi inabidi na yeye ajitoe ufaham aanze kumshambulia Samia hata kama anajua IGA sio mkataba
Unamchagua Lissu? Mara 10000 umchague hashimu rungweFoe sure simpendi lissu hata kidogo tu. Ila kama atagomvea urais mwakani kura yangu anayo mchana kweupe sababu sijaona wengine wanaowaza kwa kichwa