Sijaiangalia hiyo clipp mkuu,nipo kwenye makelele,kama ni kweli kasema hivyo,MI SIKUBALIANI NAYE,hata nisipokubaliana naye katika hilo sitamuondolea sifa yake ya MWANASHERIA MBOBEVU KUWAHI KUTOKEA HAPA TANGANYIKA
Tumpongeze Mh.Rais kwa kuwezesha ili maana mingi CHADEMA walikua awawezi kufanya mikutano..Mama Samia mpaka akasema usalama upo njoo mdogo wangu Tanzania. Mama Samia ni lulu kweli.
Tumpongeze Mh.Rais kwa kuwezesha ili maana mingi CHADEMA walikua awawezi kufanya mikutano..Mama Samia mpaka akasema usalama upo njoo mdogo wangu Tanzania. Mama Samia ni lulu kweli.