UTAKUJA UJE
Member
- Aug 4, 2020
- 34
- 78
Lissu jembe,jeshi la mtu mmoja lakini mijituishajinyea kweli!FYAMBAFU ZAO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkumbusheni Lisu kuwa kuna mstari baina ya kuwa mgombea na kuwa Rais,
Sasa yeye anafikiri kuwa mgombea wa Urais ndio tayari ushakuwa Rais hivyo unakuwa juu ya vyombo vya dola.
Aende tu huko anakoitwa kwani jamaa wanauwezo wa kumfuata na kumchukua muda wowote wakitaka.
Ataenda baada ya barua ya wito kwa IGP tokea ICC kwanzaK
Barua haijatoa muda anaweza enda hata mwakani
bila kodi za raia hawana mishaharaHata mimi tu RAIA naweza kumkaripia polisi kwa sbb hawa ni watumishi wa RAIA. Yaani raia ndiyo mabosi wa polisi....hili liko wazi sana!
Wanaanza kuchosha nao huyo Lissu amekuwa anabembelezwa sasa.
Kwanza Polisi wengi huwa hawahiji kwa mjibu wa Taaluma zao bali huandikiwa mahojiano na CCM hawafanyi kazi kwa mjibu wa Sheria bali kwa shinikizo la CCMHebu ficha ujinga wako hapa, yani LISSU aogope kuhojiwa na hao form four failure.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Weka kifungu hapa ili tuone ni wapi sheria inasema hivyoLissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
HGL na HKF form six? No, thanks!Don't mess with a lawyer!
Kama kawaida analeta ule ujanja wake wa kizembe? Katambi said thisTundu Lissu katika Ukurasa wake wa Twitter, ameweka Barua ya Polisi na kuandika Maneno haya "Wito wa polisi sio barua ya kirafiki, ni amri ya kisheria. Wito huo unatakiwa kueleza kosa la mtuhumiwa. Barua hii haielezi kosa ninaloitiwa na imepelekwa kwa Mwenyekiti wa chama. Huu sio wito wa polisi kwa mujibu wa sheria. Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi kesho."
Soma pia: IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro
Hivi tangia ICC imefunguliwa imeshakamata viongozi wangapi?Hata wewe unachosha sana ICC imekuwa ikiwabembeleza sana
Kilichopo kichwani mwa Polisi wa ccm ni maagizo ya kumkoa Lisu tokea kwa ccm tu si zaidi ya hapoIsjui kilichokuwa kichwani mwa polisi katika kuandika barua hiyo kwa Mwenyeketi, ila ninadhani kuwa hawakutaka kuathri kampeini za CHADEMA wakati Lissu akiwa anahojiwa na polisi: ni uungwana tu kuhakikisha mwenyekeiti anaweka mtu wa kuendesha kampeini za Lissu wakati hayupo kwenye majukwaa.
Hicho si kigezo cha kuwazuia kuja kumkata IGP na mkurugenzi wa Tume isiyo huru ya uchaguziHivi tangia ICC imefunguliwa imeshakamata viongozi wangapi?
Hawana ata uwezo wa kutoa sanctions mabeberu yote yenye nguvu duniani sio wanachama US, China, Russia na karibu nchi zote za EU ikiwemo UK.
Hivi kwa akili zako ICC taasisi yenye nguvu, that’s just a toothless dog it only barks.
Hapa hatuzungumzii mazoea, tunatungumzia sheria inasemaje.Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
maccm hata Lisu akikohoa huhisi anawatukana wanakimbilia polisi kutaka kumkomoaMwenzao kapigwa risasi 16 na sita kavumilia wao kufokewa tuu wameshndwa kuvumilia😂
IGP ni wa kumsamehe wazee,
Anayo ongea si kwamba ana afiki, ni maagizo batili kutoka kwa boss wake
HahahhahNothing more nothing less..
Kweli Lissu anawapeleka mchaka mchaka [emoji3]
Walishindwa kwenda kuwakamata Kenyatta na Ruto waliohamasisha fujo na kila siku wapo nje ya nchi waje kumkamata Sirro Tanzania.Hicho si kigezo cha kuwazuia kuja kumkata IGP na mkurugenzi wa Tume isiyo huru ya uchaguzi