Wewe hujielewi na inaelekea umejitoa fahamu zote hujui kuwa ulinzi kwa mgombea Urais ni haki yake siyo Ombi kwani polis hulipwa mishahara kwa kodi za watanzania wote, abugudhiwe mara ngapi? Kupiga mabomu si bughudha hiyo? Kumwita ita Polisi kwa maelekezo ya maccm ni bughudha ingine mbaya zaidiKajipanga kwa kitu gani? Zaidi ya fix za kitoto.
Hivi unadhani huko serikalini watu ni bogus kama yeye kwenye international matters.
Ni hivi Lissu so far amekuwa akipewa heshima, ashiriki chaguzi kwa amani, afanye campaign zake bila ya kubughuziwa na ndio wote tungependa kuona kinatendeka.
Hila yeye tangia amerudi amekuwa mtu provocative tu halafu anachekewa.