Isjui kilichokuwa kichwani mwa polisi katika kuandika barua hiyo kwa Mwenyeketi, ila ninadhani kuwa hawakutaka kuathri kampeini za CHADEMA wakati Lissu akiwa anahojiwa na polisi: ni uungwana tu kuhakikisha mwenyekeiti anaweka mtu wa kuendesha kampeini za Lissu wakati hayupo kwenye majukwaa.Sasa barua wamemwandikia Mwenyekiti wa Chama ama Lissu?barua hyo inamakosa mengi Ya kiufundi...
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kama IGP anambambikia Makosa mtu mwenye wafuasi wengi hivi, vipi kwa sisi raia wa huku chini chini?Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amemtaka mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, kuripoti kituo cha Polisi Moshi Kilimanjaro, kutokana na kitendo anachodaiwa kufanya cha kukaripia, kuwagombeza na kugombana na viongozi wa polisi.
Sasa kama akikataa wito wa Mwenyekiti wa Chama hvo polisi ndy watamkata Lissu? Hivi wewe ukiwa na Kaka yako polisi wakawa wa nakutaka uende hvo njia sahihi ni kumwandikia Kaka yako barua?Na sio wewe?? Hata kama sheria sikusoma sitaenda labda waje kunikamata na Tractor!! Hapa warudi tena shule kusoma!!Ameandikiwa Mwenyekiti wake wa Chama. Sasa kama amfika hatua ya kukataa maagizo ya mwenyekiti wake wa Chama...Mh. Mbowe kama barua inavyomuelekeza mwenyekiti kufanya. Dharau kwa vyombo vyetu halali kisheria na kikatiba kama Polisi, ukweli zitamponza kisiasa. Acha aendelee 'kuota mapembe'!
Jibu lako linarudi kwenye maana hiyo ya kuwa kwa vile Lissu ni mgombea, basi yeye yuko juu ya sheria. Lolote atakalofanya la kuvunja sheria za nchi hailiwezi kuchunguzwa na vyombo vha sheria vilivyopo bali tume ya uchaguzi tu: myopic view of the law hata kama unadhani wengie hatujui sheria. Polisi hawajasema Lissu ana jinai yoyote ndiyo maana wanataka kumhoji kuona kama kweli kuna suspicion ya jinai au la; wanaoamua kuwa Lissu kavunja sheria za jinai ni mahakama siyo polisi.
Kama wewe ni mpinzani na Ukiwa mchezaji wa Mpira wa miguu, ukicheza rafu usishangae ukalala sero kwa style hii. Aibu sana!Polis wanafanya makosa makubwa sana kisheria, sio kila kosa ni LA kushughulikiwa na polis hata kama linawagusa polis wenyewe.Kwa mfano tukio analodaiwa kutenda lissu limetokea katika mazingira ya kampeni za uchaguzi, polis walipaswa kupeleka malalamiko kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi, tukisema kila kinachofanywa na mgombea kipelekwe polis muda huu sio sawa..
Sheria umesomea wapi Wito wa simu kutakua na ushahidi gani Kama Mimi nimeitwa nyinyi hamkusoma mmekariri tu mlipokua darasani ngoja Sasa mfundishwe sheria ww na siro wakolissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Kudhalilika kivipi?. Hakuna aliye juu ya sheria, hata kama ni mwanasheria. Police watafanya kazi yao.Sirro akitaka kudhalilika aendelee kumfuata fuata Lissu
Kwenye issue ya Lissu video zipo kuhusu waluchokua wamekifanya wao na majibu aliowapa yapo na wananchi wenye ushuhuda wapo. Kama polisi walikuepo na walijua anamakosa kwanni hawakumkata? Wanamwita kuhoji nini. Wakat walikuepo??Mimi siyo mwanasheria wala mwanasiasa, lakini nina foundation nzuri sana kuhusu sheria kwa vile ninaishi mazingira ambayo ujuzi wa sheria ni wa muhimu sana. Kwa mfano polisi akikuwashia taa za rangi barabarani huwezi kukimbia ukidai kuwa hujaambiwa kosa lako; ukikimbia unakuwa umetenda kosa, na anaweza kukurushia risasa au kutafuta polisi wengine wakuzingire na hata kuangusha gari lako mtaloni kwani wakti huo tayari unakuwa ni mhalifu hata kama sababu waliyokuwa wanataka kukuuliza haikuwa inahusianiana na makosa yako binafsi. Simama umsikilize kwa nini kakuwashia taa za rangi, baada ya hapo ndipo uulizea uhalali wake kukusimamisha.
Polisi siyo mahakama, hawahukumu bali kazi yao ni kutafuta ushahidi, na raia anakuwa anavunja sheria kuwazuia polisi kutafuta ushahidi huo. Ukishashaingiza mambo ya sheria kwenye siasa basi unakuwa unapoteza watu wako, na pia kuvuruga jamii. hakuna uhusiano wowote kati ya sheria na siasa kwenye jamii timamu.
Kama confidential ili kuwaje siro akaitangazia dunia kwamba wamemwita??Dah..mbona naona barua imepigwa chapa ya "confidential " halafu imetundikwa mtandaoni.
"Chana cha Democracia"Nauliza jamani.
Hiyo barua imeandikwa na kupelekwa kwa.
Mwenyekiti wa.
"Chana cha Democrasia na maendelea"
Ndio nani huyo mwenyekiti wa
Chana?
Yaani Chana kama Chana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna tofauti kati ya kutii SHERIA bila shuruti na kutii AMRI bila shuruti.Basi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Toa mifano...Lissu kuwa mgombea urais hakumfanyi kuwa yuko juu ya sheria! Matamshi ya kwenye kampeini yanayovunja sheria hayawezi kuachwa bila kushughulikiwa na vyombo vya sheria kwani ni kuamini kuwa kwa vile yeye ni mgombea basi anaweza akavunja sheria bila kushughulikiwa na hivyo yuko juu ya sheria!
Nobody is above the law!!!!!!. Unless Lissu na wewe mna imani tofauti
Tulia wewe mammalia mbona unaweweseka lissu kuongea na hao mnaowaita mabeberu?Mwongo eti anaenda kukutana na mabalozi wakati anaenda kuhojiwa na tume ya maadili
Wajaribu waone
Duuu na Mimi nashangaa aisee....kweli Kuna watu wamechoka ndani ya mfumo....Tena nafikiri ni idara karibu zoteDah..mbona naona barua imepigwa chapa ya "confidential " halafu imetundikwa mtandaoni.
Tume ya maadili si imeshapita muda wake na hakuenda.Mwongo eti anaenda kukutana na mabalozi wakati anaenda kuhojiwa na tume ya maadili
Tulia ackson mjinga wewe.Anajua kabisa ameshashindwa.