Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Hii Agro sio Mshani wewe??
 
ni kama Mbeya mjini tu. Tunduma pamejengwa hovyohovyo sana, has haya maeneo ya Chapwa kuelekea Mpemba. Wangeiga mpangili mzuri kama wa mji wa Sumbawanga ama Kasulu, mji ungependeza sana.
 
UNGEKUWA UNAMSIFIA YESU KAMA HIVI UNGEFIKA MBALI SANA

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Sijui ulifika lini Sumbawanga mkuu Petrol station zipo zaidi ya hizo unazosema wewe

Usipende kuiongelea Sumbawanga uliyofika wewe miaka ya 90 mkuu
Saizi Kuna Ujenzi wa petrol station Mpya 3,mwaka Jana pia petrol station Mpya 3 zilifunguliwa.

Hao wamezoea story za kusimuliwa hawasafiri.Mwisho.kusema Tunduma Ina petrol station zaidi ya 50 ni uongo wa mchana kweupe,zilizopo hazizidi hata 30 na Hadi juzi sijaona ujenzi wa service station yeyote hapo Tunduma.
 
Kkoo kweli ni kubwa ila hapa tunashangaa mji mdogo Tunduma kuwa na mambo yanayokimbizana na Kkoo
Sidhani kama Kariakoo Kwa volume ya biashara inaifikia Tunduma,najua mtabisha ila tukija kwenye figures ndio utashangaa.

Mkoa wa Songwe ni WA 6 Kwa mapato makubwa(TRA) Tanzania na 90% ya mapato hutoka forodha ya Tunduma zaidi ya Bil.150

Kariakoo ni bil.40 πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ni kama Mbeya mjini tu. Tunduma pamejengwa hovyohovyo sana, has haya maeneo ya Chapwa kuelekea Mpemba. Wangeiga mpangili mzuri kama wa mji wa Sumbawanga ama Kasulu, mji ungependeza sana.
Sasa si Bora hapo katikati ya Chapwa na Tunduma walau pamepangwa ila huko kwingine ni mabanda ya hovyo hovyo Bora liende.Walau Sumbawanga road ndio nimeona wanajitahidi kupanga Mji japo ushamba Sasa wa kujenga nyumba za kufanana ndio umezidi πŸ˜‚πŸ˜€

Wote wanakomaa na pitched roof,wanashindana kench kupaa Juu,ujinga.

Mwisho Huwa sipendi kuishi Miji ya hivyo ni Miji ya watu wasio soma ila Wana hela Sasa wanakosa aspects ya utaalamu/shule kwenye mambo Yao mengi.
 
Nakuunga mkono 100%. Kwa Tanzania napakubali Sumbawanga na Tanga kwa mpangilio. Halafu yote ni miji inayosifika kwa ushirikina
Ila wahamiaji kutoka.mbeya/Songwe wameanza kuharibu Mji wa Sumbawanga kama walivyofanya huko kwao.

Maana wafipa walishazoea kuishi Kwa order na kuachiana nafasi Barabara za mitaa nk na ni Karibu Mkoa mzima eg Namanyere.

Ila Sasa hao ndugu zetu wa huko Mbeya wanataka kuharibu Mji maana Huwa sio wastaarabu kiasi kwamba kama Sehemu Bado haijapimwa na Serikali itageuka kuwa squatter wakikaa wao.
 
Kuishi kwenye kimji ambacho hakina planning (squatter)ndio sifa ,Tunduma ingekuwa impangiliwa kama tanga au Dodoma ingevutia watu wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…