Hii Agro sio Mshani wewe??Yule Jamaa pamoja Mpunga anaomiliki ila Bado ni mtu mungwana mnyenyekuvu msikivu Unamkuta yupo pale Dukani kwake anacheka na kutaniana na wateja wake , Huwezi zania ametoka Mbozi ndani ndani Maduka yake yote yameunganishwa na Mifumo ya kisasa piya Vituo vyake vya Mafuta vimeunganishwa kwenye mifumo mizuri ya kisasa kudhibiti Wafanyakazi wezi.
amini kwamba, uyo ni kabari yaoSema mnyiha kaupiga mwingi
amini kwamba, uyo ni kabari yao
Ni kweli, ukianzia Kizwite mpaka Bangwe kuna vituo kama nane vya mafutaAlafu Sumbawanga makao makuu ya mkoa wa Rukwa petro Station hazizidi 10
ni kama Mbeya mjini tu. Tunduma pamejengwa hovyohovyo sana, has haya maeneo ya Chapwa kuelekea Mpemba. Wangeiga mpangili mzuri kama wa mji wa Sumbawanga ama Kasulu, mji ungependeza sana.Changamoto kubwa ya Mji wa Tunduma ni kukosa u uni kwenye eneo la Mipango miji, huu Mji uliathiriwa sana Siasa kwenye Issue za Mipango Miji Angalia Town Planer wamepeleka Huduma zote muhimu upande Moja wa Mji :- Wamepeleka Hospital ya Rufaa eneo la Mpemba, Wamepeleka parking ya Malori yanayosuburi kuvuka boarder Mpemba, Stand Ipo Mpemba, Uwanja wa Mpira upo Mpemba, Ofisi za Halimashauri na mkuu wa Wilaya zipi Mpemba. Na eneo Hilo la Mpemba Lina changamoto ya Foleni ya Malori makubwa , piya barabara ya Mpemba inamteremko hatari sana Kwa kupisha malori, magari madogo na Bajaji. Baadhi ya Huduma wangepeleka upande wa Sumbawanga Road kuanzia Njia panda ya Msongwa, Chipaka na Mizani ikangamo.. Leo Hii watu wanaoishi upande wa Msongwa Chipaka , Nyerere wanapatavShida sana kwenda Standi mpya Mpemba
Duh..kweliWote wamepoteana chezea chuma cha Chato kulikua na mwingine anaitwa Nyanje naye kapoteana
Vijana watu hapo wako sharp sharpWote wamepoteana chezea chuma cha Chato kulikua na mwingine anaitwa Nyanje naye kapoteana
Ndio hivo banaDuh..kweli
Ova
Ipo sema ss hivi nilivyopita hapo nililala Tunduma white hotelVijana watu hapo wako sharp sharp
Safi sana..hawajazubazuba
Hivi hoteli yetu Silverstone ipo bado
Ova
Nakuunga mkono 100%. Kwa Tanzania napakubali Sumbawanga na Tanga kwa mpangilio. Halafu yote ni miji inayosifika kwa ushirikinaKuhusu mipango miji, Sumbawanga wako mbele sana ya miji mingi, including Dar
Hahaahaha mrangi hiyo hotel niliwahi kulala hapo. Ina wahudumu waliokuwa wananifanya niikumbuke Matako Bar ya Mianzini Arusha.Vijana watu hapo wako sharp sharp
Safi sana..hawajazubazuba
Hivi hoteli yetu Silverstone ipo bado
Ova
Ya kishamba sana. Ikiongozwa na LindiAcha kutupanga kwaiyo mikoa yetu niyakishamba
UNGEKUWA UNAMSIFIA YESU KAMA HIVI UNGEFIKA MBALI SANAZile deal za Black market upande wapili nyuma ya frame za Viatu ule upande unazalisha sana Madoni Kila mwezi kwenye deal za:-
Vipodozi.
Vitenge.
Mafuta ya Kula.
Sukari.
Sigara .
Mbegu za Mahindi / Zamsed.
Mafazeti used kutoka Zimbabwe, South Africa.
USD ;- zinatoka Congo na unazipata upande wapili, Pombe za Viroba, na Pombe za vichupa vidogo wanauza Bei ya Tshs 1000/= na Viroba vinaanzia 250-500 maeneo ya Black na Iboya.
Kuna matajiri wanspiga Hela kwenye Biashara ya kubadilisha Fedha, yeye ana Supply fedha Kwa Vijana jioni anarudishiwa na Faida , Hao wanaitwa wenye Visima , mtu ana Supply hata billioni Moja Kwa Vijana wake 30 wanaokwenda kutafuta Dolla Hadi Congo.
Kuna Wababe kwenye Biashara ya Mafuta ya Petroleum kupeleka upande wa Zambia Kuna Yule Msomali wa Petroafrica mwenye upara aliwakamata sana wa Zambia.
Kuna Yule Tajiri wa Valentine Bar ya Pale Boarder na Valentine night club Jamaa anajimbiza sana kaanzia kwenye Bar Hadi kushika soko la Viatu Hadi Kumiliki Kusoma pale Kisimani.
Yupo Dubai Tyre Jamaa anakimbiza sana kwenye biashara ya Tyre Sasa amehamia kwenye Mafuta Bei zake za Tyre ni kama Dar es salaam. Yupo yule Manyanya ameshika biashara za maduka balaa pale Boarder piya yeye ndie amehamia kwenye vituo vya Mafuta, Wapo Hawa Jamaa wa Olympic petroleum anauza Mafuta Kwa wholesale Kwa Bei ya Depot'.
Mjii wa Tunduma una Bank zaidi ya Sita, Petrol Station zaidi ya Hamsini, lodge na Bar zimetapaka Kila baada ya nyumba mbili or tatu,
Saizi Kuna Ujenzi wa petrol station Mpya 3,mwaka Jana pia petrol station Mpya 3 zilifunguliwa.Sijui ulifika lini Sumbawanga mkuu Petrol station zipo zaidi ya hizo unazosema wewe
Usipende kuiongelea Sumbawanga uliyofika wewe miaka ya 90 mkuu
Sidhani kama Kariakoo Kwa volume ya biashara inaifikia Tunduma,najua mtabisha ila tukija kwenye figures ndio utashangaa.Kkoo kweli ni kubwa ila hapa tunashangaa mji mdogo Tunduma kuwa na mambo yanayokimbizana na Kkoo
Sasa si Bora hapo katikati ya Chapwa na Tunduma walau pamepangwa ila huko kwingine ni mabanda ya hovyo hovyo Bora liende.Walau Sumbawanga road ndio nimeona wanajitahidi kupanga Mji japo ushamba Sasa wa kujenga nyumba za kufanana ndio umezidi ππni kama Mbeya mjini tu. Tunduma pamejengwa hovyohovyo sana, has haya maeneo ya Chapwa kuelekea Mpemba. Wangeiga mpangili mzuri kama wa mji wa Sumbawanga ama Kasulu, mji ungependeza sana.
Ila wahamiaji kutoka.mbeya/Songwe wameanza kuharibu Mji wa Sumbawanga kama walivyofanya huko kwao.Nakuunga mkono 100%. Kwa Tanzania napakubali Sumbawanga na Tanga kwa mpangilio. Halafu yote ni miji inayosifika kwa ushirikina
Kuishi kwenye kimji ambacho hakina planning (squatter)ndio sifa ,Tunduma ingekuwa impangiliwa kama tanga au Dodoma ingevutia watu wengi sanaTunduma ukienda kwa ajiri ya starehe mkuu apakufai ila kwa mtu anae jitafta ni Bora kwenda tunduma kuliko kwenda dar.
Mimi naona ukishindwa kuishi Tunduma wewe sehemu zote uwezi kuishi
Pale vitu ni Bei ndogo Sana sio msosi sio pakulala ukiwa Tunduma unapata advantage kubwa ya vitu vikipanda upande wa bongo unafuata upande wa zambia.
Mpaka mabando pale ukiwa na laini ya zambia unatumia vizuri tu maana mtandao unashika vizuri tu,unaweza pata GB2 kwa 10kwacha ambayo kwa kibongo ni kama 1350 tu.
πππMkoa wa mwisho kwa umaskini hapa nchini ni upiYa kishamba sana. Ikiongozwa na Lindi