Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Sijui ulifika lini Sumbawanga mkuu Petrol station zipo zaidi ya hizo unazosema wewe

Usipende kuiongelea Sumbawanga uliyofika wewe miaka ya 90 mkuu
Hahaha tena kumi nimezidisha
Petro station Sumbawanga mjini hazizidi 10 ukitaka nikutajie sema
 
Kuishi kwenye kimji ambacho hakina planning (squatter)ndio sifa ,Tunduma ingekuwa impangiliwa kama tanga au Dodoma ingevutia watu wengi sana
Mkuu wewe inaonyesha umeyapatia hapa tunazungumzia mtu mwenye ajajipata hela zipo nje nje. Wewe kitendo tu cha kusema unapenda mji wenye umepangiliwa ina maana umejipata huku uitajiki.

Inaitajika watu wanao jitafta tu kuna wafaa Sana kwa mfano machinga wote wanao kuja Tunduma wote wanatokea mbeya kuja kufanya biashara za kuchinga huku.

Yani kwa machinga hela huku nje nje kama unauza viatu na nguo za mtumba.
 
Maji kama auna ni wewe na uchumi wako tu Ulitaka Nani akuchimbie kisima na hakuna mto Wala ziwa.
Miji yote ya Kisasa na ya Wastaarabu Maji ni huduma ya Umma ndio maana tunalipa Kodi sio hivyo vinyesinavyokunywa.

Yaani Kila mtu amechomba visima vya maji mna share uchafu wa vyoo na vile ni shaghalabaghala town ni shida tupu na kimji Cha hivyo kabisa πŸ˜€πŸ˜€

Kwa taarifa yako Mimi hapo Tunduma ndio kwetu ila siwezi kuishi huko bush hakuna ustaarabu wa Maisha.
 
Nilichoka hapo Tunduma baada ya kukuta vijana wamepanga hela mikononi kama milioni kumi kumi hivi wanabadilisha na dollar au kwacha ya Zambia. Hawana wasiwasi na maisha yanaenda tu, nilipowauluza wazawa wakasema hayo ndiyo maisha yao, kwa kweli sijawahi shuhudia sehemu nyingine yeyote ile hali. Inaonyesha mzunguko wa hela ni mkubwa sana hapo mjini Tunduma
 
Hakuna sehemu ambayo hela ni Nje Nje 😁😁

Ndio mnavyodanganya watu si ndio?
 
Hii Agro sio Mshani wewe??
Siyo Mshani Agrovet, Ila nimefurahia sana miaka yangu mitano niliokaa Tunduma, Kwa kweli nilihisi kama nipo Dar, Ndugu zangu Tunduma Kuna watu waungwana sana , Mimi nilipokelewa vizuri sana na Wana Tunduma , kwenye vijiwr vyao vya Mpira na vinywaji jioni , Nawakumbuka sana wadau wangu wa Valentine ya Standi hapo Kwa Chris, Valentine ya Iboya Kwa Nturo, Horizon Kwa Nyilema,. Olympia Kwa Furaha, Kwa kweli walinipokea vizuri sana, na nilikuwa member wa hivyo vijiwe,
 
Tunduma wa
Tunduma watu wamesoma sana, Tena wanasomesha sana watoto nje ya Nchii mfano Manyanya watoto wake wanadoma Ulaya, hao Wakings Wamepeleka sana watoto China, , Dubai, UK, France,
 
Ni sababu ya serikali yenu ya ccm ndo imesababisha yote haya aileti Huduma za maji hafu saizi umefikia wapi sioni ukimpamba mama kama zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…