Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Simjui [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe me napitaga tu pale me naishi namole
Namole sijawahi kufika ila niikwenda Msongwa maeneo ya Kwa Big Muyaya mkulima mkubwa sana , nikawa naonyeshwa Namole na Chewezi. Kuna kale kamlima kana njia panda ya kwenda Namole na Chiwezi
 
Namole sijawahi kufika ila niikwenda Msongwa maeneo ya Kwa Big Muyaya mkulima mkubwa sana , nikawa naonyeshwa Namole na Chewezi. Kuna kale kamlima kana njia panda ya kwenda Namole na Chiwezi

Big Muyaya muuza vyombo mkubwa Tdm
Msongwa kwa matajiri kule na me nina kibanda changu maeneo ya kwa msomali na chipaka nako nina kibanda ila sikai huko nilipapenda tu!
 
Big Muyaya muuza vyombo mkubwa Tdm
Msongwa kwa matajiri kule na me nina kibanda changu maeneo ya kwa msomali na chipaka nako nina kibanda ila sikai huko nilipapenda tu!
Hongera sana , Sister ukiwekeza Tunduma hizo ni Hela. Pale Kwa Msomali mfuga kuku, Chipaka upo maeneo gani ? Kwa Mchungaji Kayange, or Kwa kina Sikaonga, or Monrovia Church, or CAMP or Vilabuni, , Uwanja I or Chipaka Kwa Msomali?
 
Hongera sana , Sister ukiwekeza Tunduma hizo ni Hela. Pale Kwa Msomali mfuga kuku, Chipaka upo maeneo gani ? Kwa Mchungaji Kayange, or Kwa kina Sikaonga, or Monrovia Church, or CAMP or Vilabuni, , Uwanja I or Chipaka Kwa Msomali?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe nawe acha ufukunyuku mwisho wakawatafute wapangaji wangu nianze kufatiliwa na wanga

Nyingine iko Nyerere Tdm mgodi ule uliojificha
 
Sorry nje ya mada kidogo, Vipi kuhusu makanisa maana nasikia huo mkoa kila baada ya nyumba kadhaa kuna church sasa hawa manabii wetu wa mafuta na chumvi si watakuwa wengi sana huko wanapiga hela zilizogaa kwenye mzunguko wa huko
 
Ongeeni yooote, mwisho wa siku kwa Tanzania hii hakuna sehemu yenye mzunguko mkubwa wa pesa kama Kariakoo hata ukiweka mahaba yako ila uhalisia utabaki kuwa kama ilivyyo. Ukishangaa uuzwaji wa bidhaa kwa bei nafuu Tunduma, nenda Katoro na Geita kwa ujumla na ni miji ambayo haiko mpakani ila kuna bidhaa zina either bei nafuu kama Kkoo au sawa na Kkoo lakini mwisho wa siku bado wafanyabiashara wanapahitaji Kariakoo.
 
Kwa hili nakubaliana na wewe, Katoro bidhaa zinauzwa kwa bei rahisi ukilinganisha na maeneo kama jiji la Mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…