Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

Serikali kuongozwa kidini hulemaza sana taifa, kwa mfano Iran ni watu wenye akili ila wanacheleweshwa sana na dini ya Kiislamu, sasa hivi wangekua supapawa.
Wawe supapawa mara ngapi....!!!! Ukiona taifa linaogopewa na huyo unaemtambua wewe kama supapawa ujue hilo taifa nalo ni supapawa
 

Waafrica hawajielewi
 
Unakosea sana kwa kutueleza kuwa wanaovaa kile kitambaa ni waislam huku ukijua kabisa ya kwamba masista wa kikatoliki wanavaa pmj na wafuasi wa kakobe nao wanavaa
 

kama kutwa mnashindia kuvalishana mahijabu na kujadili dini maendeleo mtayatoa wapi
 
MBONA UNAKWEPA WEWE MKOSA RINDA! KAFIRI MKUBWA WEWE UMESAHAU YESU MUNGU MTU WENU JUZI JUZI AMETOA AMRI MUWE MASHOGA MAKAFIR WOTE ULIMWENGUNI

mwanaume kuleta maada za ushoga kwene mijadala huo n ushoga!!
Nawasiwasi naww!!
Sasa hapo unatetea nn huwezi kutukana (ushetan) halafu ukamtetea mungu never au ukaitetea dini ya haki kwa matusi Never
 
Kuna watu wanachanganya dini na culture.

Waarabu wanavaa kanzu , baraghashia na hijabu kutokana na hali ya hewa kule kwao ni asili ya jangwa hivyo mavazi yale ni ideal.

Ila kuna watu wengine wanachukulia kuvaa hivyo ndio dini yenyewe.
Unalijua joto la Jangwa wewe hadi nyuzi 50, Hapa dar tu joto likipanda hadi 36 unaweza vua nguo zote ubaki na boksa sembuse huko kwenye majangwa? Hijab sio vazi la waarabu ni vazi la kiisilamu, kabla Amri ya Hijab haijaja hawakuwa wakivaa na mpaka kesho waarabu wakristo hawavai ama waisilamu ambao sio religious.
 
Katika suala la kuendelea hapo Kaka umetereza.
Egypt Ina maendeleo kuliko Tunisia .
Labda useme Tunisia ndio inapiga hatua za maendeleo YA kiuchumi Ila haijaendelea kama usemavyo.
Tunisia ndio nchi YA kwanza Afrika ikifuatiwa na Morocco kuwa Na illegal migrants kuelekea Ulaya Kwa ukosefu mkubwa Wa ajira Na Maisha magumu.
 

illegal immigrants Tunisia wanapita kutokea sub saharan afrika kama vile waethiopia wanavyopita tanzagiza kwenda afrika kusini, …
 
Ulikuwepo kabla ya Amri ya kuvaa hijabu??
 
illegal immigrants Tunisia wanapita kutokea sub saharan afrika kama vile waethiopia wanavyopita tanzagiza kwenda afrika kusini, misri …
Achana Na hao raia Wa Afrika magharibi Na Afrika ya Kati wanaotumia mkondo Wa Bahari ya Tunisia Kama njia.
Tunisia yenyewe imeripoti kuwa Na wimbi la vijana Wa Kitunisia wanaohama nje kiharamu Kwa kukimbia ukosefu Wa ajira.
Tizama habari Kaka .
 
hakuna anaeruhus kuvaa nywele za marehem , hayo mawigi wavaaj wakubwa ni waislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…