Tupate mkataba wa uendeshi wa hospital za Bugando (TEC) na KCMC (KKKT) ili tujadili bandari vizuri

DP World masharti yake ni kama yanasema "nikija kukaa kwako, itabidi unipe na mke wako, watoto nao surname inabidi wabadilishe watumie ya kwangu. Mali zako uzihamishie kwenye jina langu"
 
;labda tuanze na agakhani kwanini inapewa misamaha ya Kodi wakati huduma zake ni gharama kubwa
 
Kwa hiyo mwanza na Kilimanjaro hapakua na hospital za serikali!?..kichwa kikubwa ka buyu kimejaa mbegu tu
Serikali kule Mwanza na kilimanjaro hawana hospitali ya Rufaa wana za kawaida tu tena za kawaida mno
 
Serikali kule Mwanza na kilimanjaro hawana hospitali ya Rufaa wana za kawaida tu tena za kawaida mno
Wote tunajua hospitali za manispaa zikoje,Wacha uwongo,na hata kipindi hicho watz hawakuwa wakijaa hospital Kama sokoni Kama ilivyo siku hizi,huduma za hospital za mikoa zilitosha kabisa
 
Hatimaye sasa mkataba unapandikiza udini, nashauri watanzania tuwe makini sana maana uhakika nilionao ni kuwa udini huishia pabaya
 
Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
Kwani Serikali ilihusika katika ujenzi
Shida ya nchii hii Vilaza ni wengii Sana.

Unawezaje kufananisha bandari taasisi ya Serikali na taasisi ya Dini flani.

Wakojani bwana sijui vichwa vyenu mnaswith off wakati flanii
 
Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
kuendeshwa kwa ubia maana yake serikali iliona inahitaji huduma zake hasa kwa ajili ya wananchi na kwa ajili ya kuajiri watumishi ambao wanalipwa na serikali (not sure kama ziko designated kama zingine ), na zinatibu waislam na wakristo. na hii inatokana na kwamba watu wengine ni wavivu na wasiojali elimu na huduma kwa jamii bali kuabudu na hawakuwa na kitu cha kuleta mbele ya serikali ili nao waingie mou. na watu hao hao ndio walalamishi na wakimaliza kulalamika wanaenda kutibiwa kwenye hospitali hizo hizo. aliyewaloga mnatakiwa mumlaumu sana na ana moto wake special.
 
;labda tuanze na agakhani kwanini inapewa misamaha ya Kodi wakati huduma zake ni gharama kubwa
Kuna vitu vingine havisemwi

Nianze kueleza kwanza maana ya kutaifisha ni nini? Kutaifisha sio.kuchukua mali ya mtu binafsi au taasisi ya dini bure la hapana .Ni kuwa unaamua kuinumua mali yake si kwa malipo ya mkupuo bali ya muda mrefu taratibu kila mwaka unamlipa kiasi fulani hadi deni liishe

Sasa nini kilitokea ? Serikali ilitaifisha mashule na mahospitali ya taasisi za dini kibao ikiwemo.taasisi za Agha Khan nk serikali ikafanya Mwanzoni malipo yalikuwa yakienda vizuri baadaye hasa baada ya vita ya Uganda na Tanzania hali ikawa mbaya kifedha madeni hayalipiki.Ndipo baadaye serikali ikaona wakae wajadiliane na taasisi wanazoshindwa kulipa wawalipe.kwa utaratibu upi mbadala? Ndio.mahesabu yakspigwa kuwa serikali kupunguza madeni irudishe baadhi ya shule na Hospitali kwa wenyewe na zikabuniwa njia xongine za kulipa hayo madeni ikiwemo hiyo misanaha ya kodi nk mfano waislamu walipewa bure majengo ya chuo kikuu chao kilichoko Morogoro kilichokuwa chuo cha Tanesco

Gharama za kutaifisha vya watu matokeo yake ndio hayo na mengine yakaja ya ubinafsishaji kuuza mali.zilizotaifoshwa kwa wawekezaji serikali ipate pesa ipunguze mzigo wa madeni na kulipa
 
Kwani Serikali ilihusika katika ujenzi
Shida ya nchii hii Vilaza ni wengii Sana.

Unawezaje kufananisha bandari taasisi ya Serikali na taasisi ya Dini flani.

Wakojani bwana sijui vichwa vyenu mnaswith off wakati flanii
simple, kama serikali haikuhusika na ujenzi, majengo ni ya kanisa, serikali si iondoke ione kama kanisa litashindwa? sisi uwa tunatumia sadaka na huwa tunatoa sana sadaka. tunaweza kujiendesha bila serikali kama mkiona vipi. na ikiwa hivyo sijui mtatafuta hospitali zenu za kwenda kutibiwa? au mtakuja tu kwasababu sisi huwa hatulipizi kisasi tutawapokea tu, Mungu wetu ni wa upendo.
 
DP kaokota dodo hasa, manake amekuta kila kitu kimejengwa, yeye kuendesha tu, na anataka amilikishwe ardhi ambayo tayari imeshajengwa miundombinu. si aseme tu anataka tumpe majengo yote ya mandari bure ili yeye apige pesa? na atuzuie tusishindane na bandari zake za DUBAI.
 
Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
Mjinga ka wewe sijui unaendeleaje kuishi, better ungekufa. Badala ya kujenda hoja unaharibu kabisa dhamira safi ya rais Samia. Hivi unadhani wanaopona kwa kutibiwa KCMC au Bugando ni wa kristo tu??? Idiot kabisa.
 
Fact! Na tunataka bandari zetu zibaki kuwa mali yetu daima.
 
Weka mkataba acha maelezo
 
Ni pale wadau wanapogombana na kurushiana maneno kwa Imani zilizokuja na Merikebu ili ku-justify kumilikishwa mali zao nyingine kwa mgeni....

Makes you wonder...., "How did we Get Here"!!!!!!!!!
 
ASANTE NA KWELI UMESAMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…