Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

dah umenikumbusha mbali sana mwanangu ngozye sikuwahi kumdhania kama angekuaja kua mkuu wa shule pale na hata nlipoambiwa nlishangaa sana

majembe ya pale yalikua mengi sana kama kwayu, mkongo, mlokozi, kihanda na wengineo na wao waikua wanajua wanafundisha watu wenye akili so topic moja unaweza ukapigiwa yote siku moja hahahah

kuhusu wabishi wa kitengo wakilizua balaa lao linakua kama shee alolishwa nguruwe

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yah, mara ya mwisho nakutana nae ilikua mwisho wa lami ile njia inayotoka uwanja wa ndege kupitia jet kuelekea buza jamaa alikutwa amekufa kwenye kitanda chake gheto

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah so sad... alikuwa mwanangu san tapa square! Alikuwa na nyimbo yak moja inaitwa 'sambona' bonge moja la ngoma..RIP kwake daah ndo nmejua leo asee
 
Kipindi Cha kina Romano mwanyesya
 
[emoji23]mkuu, tiny white wakati mnakunywa nae chai kitaa , alikua na ujinga wake hivi hivi ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jamaa n mcheshi sana kiasili, yaan katika kila kitu anaongea kuna ladha ya utani na ucheshi, in short he is kind of guy you wanna hang arround with all the time.Hakunji na yuko peace kinyama.
 
Shule ni Dar es salaam Christian seminary maarufu kama Vosa ipo Kongowe
 
Huyo alouliwa Mbagala ndiyo yule alokuja kwenye birthday ta demu akamkuta na mchizi mwingine? Au yule demu alohama kutoka kitaa chao na kuja Mbagala, ndiyo akamfuata kuja kumwona na alomwitia mwizi ni mlinzi
 
Same here nlipokua primary ndoto yng ilkua kusoma Azaboi thnx GOD aljbu nkaingia uboizin kpnd ambacho benard ngozye ndo H/M jamaa ni miyeyusho knoma akiwa na mwenzie boy na mlokoz...Azaboi haikua ile tena

Azaboi ikawa km seminary kulkua hakuna zile hamsha hamsha tena, ilfka point hata ukienda don bosco bonge la kesi kwa tuliokua hostel ndo ungese mtupu yaan

makundi ya wahun hayakuwpo full malokoo ya kise n ge se nge

i used to love ths slogan “solidarity forever”[emoji123]

地那天刚才妇产科☆
 
VOSA hii if am not mistaken mana me nilikua nasoma st pius ya juu pale
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ilikua raha sana Tisheti mpaka leo ninayo zile za nembo kubwa kuanzia kifuani hadi tumboni...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mlokozi alikua Ndezi tu Labda wangemoa mwalimu Matai(sina hakika hilo jina) yule mzee wa nyaraka alikua poa busara nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…