mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,040
- 2,428
Wewe utakuwa mtoto wa juzi,mi nimemaliza nyakabungo primary 2002 na hiyo mirongo sec.na nyakabungo sec.zilikuwa bado hazijaanzishwa.wapii mwalimu banana Mirongo secondary
Umemaliza nyakabungo primary mwaka gani bi dadawewe wakunyumbaaa kabisaa alfu ilkuwa ukisoma Nyakabungo unajiona mjanja kama maisha umeyapatiaaa kumbe hamna kitu Vida1
pacha wake nae mfupi?Nimesoma shule moja Tausi (yule muigizaji mfupi) ana pacha wake anaitwa Rose Mdegera. Mkorofi ni sijawahi kuona.
Sec mi nikiwa primary mshua anafundisha Tosamaganga basi nakaa kota alikua anasoma mdogo wake Prof J Black Rhyno alikua anaimba sana kwenye graduu
Kapiga sana, enzi hizo wolper ni mzuri hanuki mdomo tofauti na sahiv kawa waajabu mpk ananuka mdomo.
Yes! Bishoo haswa!Kuna jamaa niko nae mtaani ni msanii ila bado hajakua maarufu akishatoka ntakuja kuleta visanga vyake humu
[emoji23][emoji23][emoji23] ntafuta vumbi kila baada ya saaYes! Bishoo haswa!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Wolper mwenyewe alisema kiba ndio alimbikiriJamaa katafuna sana pale
Wolper mwenyewe alisema kiba ndio alimbikiriJamaa katafuna sana pale
Kwayu huyo mdogo wangu, enzi hizo single digits za ilikuwa kitu Cha kawaida.Kuna mzee alikua mkuu wa shule kabla ya ngozy jina kidogo limenitoka yule alikua smart sana na wanafunzi walitoboa sana enzi zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Medicine inaharibu sana vipajiNiliisoma primary na bwana mdogo anaitwa moshi katemi pale Isenga primary mwanza,,,kipindi icho nilikua naimba rap nilikua nakubalika kinoma,,,,nakumbuka niliushangaza umati siku ya kuhitimu nilivonata na biti kwenye mziki mkubwaaa na sikuwahi ifanyia mazoezi biti amabayo watu waliikalia chimbo miezi ili waje kufunika.
Washkaji hawakuamini kwa umahili niliouonesha walidhani niliwaibia kitambo kumbe walaaa.
Kipindi hicho moshi katemi (Mo-MUSIC) alikua shabiki yangu,,,leo hii mi ndo shabiki na mziki nlitupa kuleee nikapendana na shule ya medicine ndo nmezamia huko mazima
Kwayu huyo mdogo wangu, enzi hizo single digits za ilikuwa kitu Cha kawaida.
Kwayu huyo mdogo wangu, enzi hizo single digits za ilikuwa kitu Cha kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umetulisha tango pori, Idriss alikuwa Jkt Rwamkoma
Sent from my iPhone using JamiiForums
[/QUOTE ni kwel mkuu,alikuwa kambi ruamkoma Mara huko
Huyu hakusoma kabxa😀😀
Mwanza au?Nimesona na ROMA mkatoloki pale USAGARA SEC wakati huo yeye ni basketballer anaetegemewa na shule huku mm ndo mwanamuziki bora zaidi pale.
Nakumbuka alikuwa anakuja kunipa ushauri akiwa na ANTONIO NUGAZ huyu wa Clouds (msemaji wa YANGA)
Jamaa walikuw wananikubali sana japo kuwa walinitangulia kidogo ila walinitambua mchango wangu.
Hata ile ngoma ya Roma (TANZANIA ) tumeplay kwa first time mahome SAHARE SEPOCHO 1
Ila chukushangaza wenzangu wametoboa mimi kibarua changu KUBET
Sent using Jamii Forums mobile app
mauma n 2014 kwel ila DAB kamtangulia ka miaka miwil nyuma ivUshirika.. Kwani paul makonda na Maua sama si nyakati tofaouti? Maana 2013/2014 ndio nilkuwa namuona maua sama hapo ushirika
Machame girlz kama ckoseiTunda kasoma Kilimanjaro
ushiruka hapo sio?kwa kina kaberege