Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

pacha wake nae mfupi?
 
Medicine inaharibu sana vipaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwayu huyo mdogo wangu, enzi hizo single digits za ilikuwa kitu Cha kawaida.

Nadhani atakuwa anamzunguzia Donald Chavilla alikuja baada ya kuondoka Kwayu mwaka 2005 mwishoni. Huyu Chavilla hakukaa sana, alivyoondoka Chavilla ndiyo akaja Ngozye, lakini kabla ya Ngozye kuwa Head kuna madam anaitwa Ngoda aliwahi kukaimu hiyo nafasi
 
Kwayu huyo mdogo wangu, enzi hizo single digits za ilikuwa kitu Cha kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app

Enzi za Kwayu na Chavilla, zero zilikuwa chache sana, unakuta division 1 ziko 100 au 90. Yaani ukiwa miongoni mwa waliopata zero shule nzima inajua flani kapata zero. Kuna jamaa alimaliza 2003 tulikuwa tunaishi naye kitaa, jamaa alizungusha pale azania, yaani mtaa mzima ulijua na shule nzima ilijua. Zero zilikuwa chache mno.
 
mw
Mwanza au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…