Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sisi tupo hapa maeneo ya ilala boma...bango tunaliona ila pa kuenda hatujajua
Subirini hapo hapo sisi ndio tupo hapa tunachukua amri za mwisho mwisho kuja kupiga mabomu hapo na kuvunja vunja mabanda yenu.Mkuu sisi tupo hapa maeneo ya ilala boma...bango tunaliona ila pa kuenda hatujajua
Kuna machinga nimepita pale ilala bado wapo… nishaandaa viboko gunia zima kwaajili yao. Acha nilale niamke na nguvu watakoma.
HaahaaaKuna machinga nimepita pale ilala bado wapo… nishaandaa viboko gunia zima kwaajili yao. Acha nilale niamke na nguvu watakoma.
Mtoto mzuri kumbe uko DIT hapa[emoji3526]Huku DIT wapo busy wanabomoa wenyewe, huruma lkn wateja tulishawazoea [emoji848]
Ndiyo mkuu, uko around pia?Mtoto mzuri kumbe uko DIT hapa[emoji3526]
Nyie ndio mna promote uharibifu wa mipango miji.Huku DIT wapo busy wanabomoa wenyewe, huruma lkn wateja tulishawazoea [emoji848]
Karume pia watoke, waende Machinga Complex...Hebu tupeane update za zoezi la.kuhama kwa wamachinga eneo ulipo.
Mimi nimepita pale UHASIBU kutokea Kigamboni, nimekuta Wamachinga woote wameitikia wito wa kuhama, wapo busy wanabomoa vibanda vyao
Ilikua hatariiiMbagala zakhem imekua safi asubuhi ya leo njia ya kwnda mbagala kuu ilikuwa haipitiki kwa gari
Huku DIT wapo busy wanabomoa wenyewe, huruma lkn wateja tulishawazoea 🤔
Ferry , karibu na nyumba nyeupe walivama ijumaa.Hebu tupeane update za zoezi la.kuhama kwa wamachinga eneo ulipo.
Mimi nimepita pale UHASIBU kutokea Kigamboni, nimekuta Wamachinga woote wameitikia wito wa kuhama, wapo busy wanabomoa vibanda vyao