Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
zichukueni tu, na wananchi wataanza kutumia matairi ya gari na kibiriti, nadhani mmeelewa.Ubaya walijenga njiani na kuziba baadhi ya office muhimu
Hope wamepata pa kuweza kuendelea kujipatia kipato
Vinginevyo tutaanza ile biashara ya kuanika nguo nje na kuzichunga zikauke