Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Aliendekeza uchafu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa kibanda weka kibanda.Aliendekeza uchafu...
Njombe imependeza mnoooo! Jamaa alikua na fikra za kimaskini sanaToa kibanda weka kibanda.
Ww uliendekeza nn ...sasa subiri uone hao ambao hawaendelezi uchafu km wataweza hata kufikia nusu ya alio yafanyaAliendekeza uchafu...
Kufeni naye mpate amani. Maana mnatupigia kelele tu na huyo kibwengo wenu.Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Watu hawataki kuzikia somo, tuliwaambia maneno ya wanasiasa sio katiba, msidhani yanadumu milele hawakusikia. Wacha niserebuke zangu na ka Serengeti kangu mwananaWanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Ni wachache sana wataelewa hii threadKufeni naye mpate amani. Maana mnatupigia kelele tu na huyo kibwengo wenu.
Miaka 6 yote mlishindwa kujitoa kqenye kundi la wanyonge, sasa alikuwa anawatetea nini ?
Sibishani, I am very sorryWw uliendekeza nn ...sasa subiri uone hao ambao hawaendelezi uchafu km wataweza hata kufikia nusu ya alio yafanya
Mizimu tu Kama wewe ndio wanaelewa. Kufa kama yeye sasa, mbona unatupigia kelele humuNi wachache sana wataelewa hii thread
Duu! Mungu akupe umri mrefu ushuhudie kizazi chako.Mshike adabu !Mmekuja mjini mnajifnya wajanja kuliko wenye miji, rudini kwenu mkalime, si mmetelekeza mashamba ya miwa, kahawa,mawese,ndizi mkayafufue acheni miji ya watu ipendeze.
Kumbe hii ishu ya wamachinga ni tz nzima?Njombe imependeza mnoooo! Jamaa alikua na fikra za kimaskini sana
Mku usiniombee duwa mbaya mie nipo kijijini wala huko Dar sipatamani. Ninalima na kumtegemea mungu sio mtu.Duu! Mungu akupe umri mrefu ushuhudie kizazi chako.