Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga
Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Kufeni naye mpate amani. Maana mnatupigia kelele tu na huyo kibwengo wenu.

Miaka 6 yote mlishindwa kujitoa kqenye kundi la wanyonge, sasa alikuwa anawatetea nini ?
 
Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Watu hawataki kuzikia somo, tuliwaambia maneno ya wanasiasa sio katiba, msidhani yanadumu milele hawakusikia. Wacha niserebuke zangu na ka Serengeti kangu mwanana
 
Fasihi hii😀😅 ukiusoma uzi juu unamiss sarcasm na persona.

Everyday is Saturday................................😎
 
Duu! Mungu akupe umri mrefu ushuhudie kizazi chako.
Mku usiniombee duwa mbaya mie nipo kijijini wala huko Dar sipatamani. Ninalima na kumtegemea mungu sio mtu.
Hio miji inawenyewe,mngekuwa na nyie ni wa huko mngekuwa na fremu wala msingebishana na serkali.
Aliewapeleka mjini ndio wa kumuuluza kwa nini aliwapeleka barabarani .
 
Back
Top Bottom