Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga
Jini ni safi ila tuzingatie kuwa huu usafi utaendelea mpaka kwenye level ya familia yani mke na mume! Nyumba nyingi zitavunjika kipindi hiki sababu ya kutetereka kwa kipato cha baba ambaye alikuwa anafanyia biashara zake barabarani!
Jiji safi lina faida gani ikiwa watu ni masikini hawawezi kuendesha maisha? Hahaa eti jiji safi.

Hangaya ni mpumbavu kabisa.
 
Jini ni safi ila tuzingatie kuwa huu usafi utaendelea mpaka kwenye level ya familia yani mke na mume! Nyumba nyingi zitavunjika kipindi hiki sababu ya kutetereka kwa kipato cha baba ambaye alikuwa anafanyia biashara zake barabarani!
Yaani kupendeza kunakuwa muhimu kuliko kula [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi magogoni ferry hali ikoje maana walivamia sehemu ya kuegama mvua na kuchukua meza zote, mwendazake aliwadekeza kichizi yaani.
 
Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Hizi akili mgando hizi nadhani unachoweza wewe ni kuvaa nguo usiwe uchi huwezi kuchambua mada wala mambo wewe ni completely zero brain.............. au wewe ni Bashite nini?
 
Halafu ukiwatoa hapo unataka wakale kwa mama yako?

Hii nchi ni masikini, lazima tuelewe kwamba vipato vya wananchi vinategemea biashara ndogo ndogo kuendesha maisha.

Huwezi kujenga shopping malls kwa ajili ya mamantilie wanaouza vitumbua na mihogo!

Grow up, kiddie. Acha utoto!
Tembea hatua nne mbele sema mimi ni mpumbavu kabisa nabishana na kitu kilichonizidi maarifa
 
Duka umelitoa wapi wewe kula kulala unayeishi kwa shemeji?

Wenzako wanapambana kweli kweli wanazunguka barabarani, wewe umebinua mkundu kwenye kochi unaandika upuuzi mtandaoni!

Jibidishe. Pambana.
Baasha wako aliyekuwa anakunyonya kipira ameshakufa nenda katambike na matako kwenye hekalu lake chato
Tunafukuza chawa nyie wote wachafu, mmechafua miji yote Tanzania nzima ...
Nyie ndio mnasababisha magonjwa ya milipuko, mnakunya kunya kila sehemu, mavi nyie...

1634721765317.png
 
Wameanza kurudi tena kwa style mpya.
Sasa hivi wanakuja na mobile vibanda
 
Back
Top Bottom