KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
🙄Huo ni ubin sio jina la kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄Huo ni ubin sio jina la kwanza
Yaani kuwekewa utaratibu wa biashara ni tatizo?!😲Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
Hivi wanawapeleka wapi?
Wasiwasi ni akili....Pamoja na Nia njema kabisa iliyonayo Serikali yetu., wasiwasi wetu ni kuongezeka kwa vibaka mitaani.
Pamoja na Nia njema kabisa iliyonayo Serikali yetu., wasiwasi wetu ni kuongezeka kwa vibaka mitaani.
Hakika 👍Kwahiyo unaona wamachinga ndo vibaka acha dharau. Graduate wangapi wako mtaani na hawajaitwa vibaka.
Mtu akiwa mwizi ni mwizi tu hata apate nini kila kitu kina utararatibu wake hata ww kwako kama huna utaratibu juu ya watoto wako basi jua watoto watakwenda hovyo hovyo sana .Pamoja na Nia njema kabisa iliyonayo Serikali yetu., wasiwasi wetu ni kuongezeka kwa vibaka mitaani.
Pole sana kama nimekukwaza. Sikuwa na dhamira hiyo uliyo ifikiria.Kwahiyo unaona wamachinga ndo vibaka acha dharau. Graduate wangapi wako mtaani na hawajaitwa vibaka.
Hata wasingeunga mkono walipaswa kutekeleza agizo la serikali, sidhani kama viongozi wana nia mbaya na machinga la hasha!Yaani kuwekewa utaratibu wa biashara ni tatizo?![emoji44]
Btw uongozi wa Machinga mkoa wa Dar umeunga mkono zoezi hilo na wenyewe walikwenda pale Karume kusafisha.....na greda waliomba ofisi ya Mkurugenzi.....
FYI : Ofisi za Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wanatoa maeneo ya kufanyia biashara....hakuna anyimwaye!
UKWELI UTATUWEKA HURU
#Siempre JMT
Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
Lini CCM ilitegemea watu ili ishinde kwny uchaguzi?Kuna vyombo maalum vya kufanikisha ushindi huo.Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
PichaKUMEKUCHA, Nasikia dar imefanyiwa usafi ndani ya usiku mmoja na hawa vijana, watu wameamka asubuhi hawaamini wanachokiona ,sehemu ambayo ilikua haipitiki saivi unapita bila kugusana.
vibanda vyote vimevunjwa hivi vya service road sasa ufanyike usafi wa kwenda jiji liwe safi zaidi
kumbe inawezekana aisee khaa Suma jkt sio wa mchezo mchezo, waendelee kupewa tenda hawa vijana
Kwani graduate hawezi kuwa machinga? Labda ungeanza na maana halisi ya neno "machinga".Kwahiyo unaona wamachinga ndo vibaka acha dharau. Graduate wangapi wako mtaani na hawajaitwa vibaka.
Wanabomoa vibanda vyenu wanaweka vibanda vyao. Mtetezi wenu ndio kashaondoka pambaneni na Hali zenu. Wajanja wameangalia wamejua mnapiga hela maeneo fulani fulani. Wametafuta njia ya kuingia hapo na ndio hio kwamba vibanda vyenu vichafu havifai kuwa hapo ILA vibanda vyao visafi ndio vinastahili! Wewe mlalahoi kibanda chako peleka kijijini kwenu huku tunataka vibanda vya akini tipisi, fishifishi na wajanja wengine wa mjini
Pumzika kwa amani Jemedari chuma JPM, mzalendo na kiongozi madhubuti.
Mabeberu na Mafisi yamekuondoa mapema sana ingali taifa linahitaji uchapa-kazi wako.
Kila siku naikumbuka ile sauti yako yenye mngurumo wa radi. Kiongozi mwenye kinywa kilichojaa mamlaka na AMRI.
You have gone too soon John!
Hata huyo mnaodai ni mtetezi wenu alikuwa akiwatumia tu kwa maslahi yake sio kwamba alikuwa akiwapenda kutoka moyoni. Aliamua kuwakumbatia nyie ili kubalance lakini baadae angewaondoa tu.
Hahahaa[emoji13][emoji13][emoji13]umeandaa mzigo wa kuni sio