Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
AiseeJipige kifuani ukijiambia kuwa ww ni MJINGA.
Hata wasingeunga mkono walipaswa kutekeleza agizo la serikali, sidhani kama viongozi wana nia mbaya na machinga la hasha!
Kinachofanywa ni kuweka mazingira ya miji katika utaratibu wake kwa mujibu wa miongozo ya mipango miji japo bado kasoro zipo nyingi.
Miji ilionekana kuwa michafu muda wote kila mahali, fujo tupu na kuzalisha vibaka, piga picha pale viwanja vya mnazi mmoja yaani ilifikia hatua kupishana ilikuwa shida ni mwendo wa kupigana vikumbo.
Sehemu nyingi zilianza kuwa makazi ya mateja. Mara nyingi unakutana nao wanazurura na kicheni kimoja au betri mbovu kumbe anakula timing ukikosea tu imekula kwako.
Natoa hongera kwa viongozi wetu zoezi hili litapunguza na kuondoa kero hii.
Toa kibanda weka fremuToa kibanda weka kibanda.
Kuwa na wamachinga wengi.Yaani kuwekewa utaratibu wa biashara ni tatizo?![emoji44]
Btw uongozi wa Machinga mkoa wa Dar umeunga mkono zoezi hilo na wenyewe walikwenda pale Karume kusafisha.....na greda waliomba ofisi ya Mkurugenzi.....
FYI : Ofisi za Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wanatoa maeneo ya kufanyia biashara....hakuna anyimwaye!
UKWELI UTATUWEKA HURU
#Siempre JMT
Ila 2025 itakuwa zaidi ya 2020 .maana NI kazi ngumu itakuwepo.kama magufuli alipita kwa njia ile sijui huyu mama atapita kwa njia ipiLini CCM ilitegemea watu ili ishinde kwny uchaguzi?Kuna vyombo maalum vya kufanikisha ushindi huo.
nchi yako imezalisha ajira kiasi gani?Huku ndio kuendekeza ujinga, unafahamu serikali ilipoteza mapato kiasi gani kwa kuruhusu machinga kila kona, kariakoo yenyewe ilikua imeshajifia kwani hata wafanyabiashara wa nje waliikimbia kisa msongamano
Kwani tunafanyaga uchaguzi????Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
Njia Ni Ile Ile mzee baba.Combination ya polisi+tume ya uchaguzi+usalama itawapa ushindi wa kishindo wa 95% Kama kawaida yao.Ila 2025 itakuwa zaidi ya 2020 .maana NI kazi ngumu itakuwepo.kama magufuli alipita kwa njia ile sijui huyu mama atapita kwa njia ipi
Matairi, petrol na vibiriti vya kuwachomea moto tumehifadhi majumbani, waambie waje watujaribu.Pamoja na Nia njema kabisa iliyonayo Serikali yetu., wasiwasi wetu ni kuongezeka kwa vibaka mitaani.
We jamaa graduate ndio kipimo cha ubinadamu ?Kwahiyo unaona wamachinga ndo vibaka acha dharau. Graduate wangapi wako mtaani na hawajaitwa vibaka.
Kwanza machinga halisi wanatembeza vitu vyao hawafungui maduka bubu kujiita wamachinga.Kwani graduate hawezi kuwa machinga? Labda ungeanza na maana halisi ya neno "machinga".
Wewe ni Tajiri?Mungu awaongoze..hatuwezi ishi bila utaratibu..nchi lazima iwe na utaratibu..na mpangilio wa mji uonekane.
Jinsi wamachinga walivyo haribu na kuchafua miji nazidi kuamini kuwa masikini ni watu wenye laana.
#MaendeleoHayanaChama
Kivipi?Mnazalisha majobless.
Huyo mama 2025 mtampa shida sana
unadhani wamachinga wote watapata nafasi huko wanapowapeleka?Kivipi?
Ndio watapataunadhani wamachinga wote watapata nafasi huko wanapowapeleka?
Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa AMESHINDWANjia Ni Ile Ile mzee baba.Combination ya polisi+tume ya uchaguzi+usalama itawapa ushindi wa kishindo wa 95% Kama kawaida yao.