EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Fafanua mkuuJumapili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua mkuuJumapili
Ukiwa Jumapili jana yake inaitwa Jumamosi na hiyo jumamosi ikiwa kesho basi leo lazima iwe ijumaa.....NDO HIVYO MKUUFafanua mkuu
Mzee baba hapo nimekupata, lilishanishindaga hili swaliUkiwa Jumapili jana yake inaitwa Jumamosi na hiyo jumamosi ikiwa kesho basi leo lazima iwe ijumaa.....NDO HIVYO MKUU
Naongezea,,,Kwa nini umri wa mtoto unaanza kuhesabiwa anapozaliwa na sio tangu mimba akiwa tumboni?kwanini tunahesabu akiwa timboni akija kuzaliwa tunaanza kuhesabu upya?
Naongezea,,,
Kwanini ukitoa mimba wanasema umeua mtoto?
mungu hakuumba yai mkuuKati ya yai na kuku kipi kilianza...
giza ni matokeo ya kuto kuwa na mwangaa. giza ni mwenyeji wa hii dunia na ulimwengu pia giza halikuubwaaTukitaka kutoa giza tunawasha taa kuleta mwanga...je tukitaka kutoa mwanga tunaeza vipi kuwasha giza?!
kwann maji ya bahari ya bluu lakin ukiyachoota kiasi ni meupeeKwa nini anga lina rangi ya bluu ?
kama ndo ivo maji ya bahari ya reflect from what maana na yenyewe yakiwa mengi yanaonekana ya bluu. then white is not asingle colourIyo ni reflection ya maji(Bahari,maziwa na mabwawa)
Hahahaaa,......Ni kweli inachanganya na kuumiza kichwa kidogoMzee baba hapo nimekupata, lilishanishindaga hili swali
Elfu 6Juma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
Hapana, jaribu tena baadaeElfu 6
Destiny ni Hatma,Future ni Baadaediffer btn destiny and future?