Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
NimekuulizaUnajisifu ujinga Gen Z eti 2000 na 11 na tuliokuwepo tangu JF inaitwa Jambo Forum tusemeje?
Umejiuliza au umemuuliza?Nimekuuliza
Smart na mrembo yana maana nyingine au hii hii nayoijua?πππππ
πππππSmart na mrembo yana maana nyingine au hii hii nayoijua?πππππ
Kumbe mimi ni mrembo na mnaninyamaziaga Depal Hope urassa
Usicheke, ngoja niwatafutie kosa hawa niwachambe πππππππππ
Unapenda vita πππUsicheke, ngoja niwatafutie kosa hawa niwachambe ππππ
Hapana, Hao hawatakiwi kupoa, wamebeba weigh up bright future.Unapenda vita πππ
ππ Tulikwambiaga mbonaSmart na mrembo yana maana nyingine au hii hii nayoijua?πππππ
Kumbe mimi ni mrembo na mnaninyamaziaga Depal Hope urassa
Huna heka heka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitulie kwa sababu gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo modes wanatoa ban, kumbe ilibidi waache watu waenjoy burudaniiii.Waje hata na ids zao nyingine jamani ili uzi uchangamke[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huwezii!!!Sio wenzie sema mimi
Kabisaa uwe unaniita dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ntakua nakuita kwenye matukio maalumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba nawee unataka heka heka sahivi?ephen_ nimefanya kazi kwa kulipua, haki tena nimekuja mbiombio na mbona utulivu 100%
Au twende kule kwenye uzi wa Gen z kuna chawa nikamjibu, kaniandikia utumbo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia wanaolazimisha ugomvi tena kuchambama na wanawake. Huenda wote ni wanawake na hatujui.
Tuwaombee bana, warudi, tuenjoy jukwaa lichangamke.
Mnaniambia mkiwa mnaniomba Soda we kuamini ππππ Tulikwambiaga mbona
Ila ubishi ukagoma kukubali
Merciππ» mon amiTeAmo
Nani kamuudhi humu ili nikamchapeHana mpango kabisa huyo jamaa