Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Huyo mwana mama ndio mtu wa kwanza kuanzisha chuo kikuu duniani.Fatma Al Fihri
 

Attachments

  • Fatma.JPG
    48.8 KB · Views: 5
Jibu nilichokuuliza.

Nakuuliza tena, Serikali inawapiga vita ninyi waislam msijenge hospitali?

Nakujibu tena , majibu utayapata kwenye vitabu vyenu vya kanisa , sikiliza wacha uvivu

 
Bakif...
Nimeandika kitabu "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika (1998).

Sehemu ya tatu na ya mwisho inaitwa "Conspiracy Against Islam."

Njama Dhidi ya Uislam.

Kitabu chote kimebebwa na sehemu hiyo.

Waislam baada ya kuupigania uhuru wakaja na mikakati ya kujiletea maendeleo.

Wakaweka jiwe la msingi kujenga chuo kikuu chini ya East African Muslim Welfare Society, (EAMWS)

Waliokuwa madarakani na wao wakaweka mikakati ya kuhakikisha Waislam hawajengi chuo kikuu wala shule ili wabakie duni daima.

EAMWS ikavunjwa na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir aliyekuwa kinara wa mikakati ya maendeleo ya Waislam akakamatwa kurudishwa kwao Zanzibar.

Serikali ikaunda BAKWATA na kuipa mali zote za EAMWS pamoja na shule, majumba na ardhi zilizokuwa Wakfu.

Miradi yote ya maendeleo ikafa.

Mfano ni sawa ya kumkamata Kadinali Pengo na kumfukuza nchini sababu anawajengea Wakatoliki shule na vyuo vikuu.

Chukulia pia huyu Kadinali Pengo akiuza kadi za TANU makanisani kutafuta uhuru wa Tanganyika.

Hakikisha unakisoma kwanza kitabu hiki ndiyo urudi hapa tufanye majadiliano.



 
Kaangalie nyie washamba wa kisukuma ndo Wa kwanza kuzaa ovyo na umaskini mkubwa kanda ya ziwa ...kwanza hata malezi mabaya ,uvaaji shida yaani totally umaskini unawaandama na Maisha duni
Wewe Mod unashida sana! Umejificha wapi? Usukumani maeneo yote yaliyokaliwa na waislam ndo yalikuwa yamekufa kiuchumi! Unaposema wasukuma maskini wewe hujielewi tu huku usukumani Mwanza ,Kahama,Geita,shy na bariadi utalinganisha na huko bagamoyo,na ukanda huko wa pwani ukitoa jiji la Dar!?
Bugando hospital SDA Pansiansi Hospital,Bukumbi hospital,Sengerema Missionary hospital,Kolandoto AIC hospital,Sumve hospital!
Pia upande wa vyuo SAUT,Bugando University,Sengerema College of health, Nassa College
Kahama College of Health
Kolandoto College of Health zote hizo ziko usukumani na Mali za wakristo! sasa nitajie wewe mvaa kobazi huko kwenu mna hospital gani za maana tofauti na usukumani huku?
 
Uislam unarudisha watu nyuma kimaendeleo haswa wanawake, hii dini pamoja na Ukristu hazina umuhimu wowote hapa kwetu Tanzania na Afrika kiujumla.
 
Tuleta tafiti hapa kama unabisha ,kwa kuzaa ovyo na umaskini
 
Nyinyi waislam ndo mnaomgoza kuzaa ovyo! Unakuta jitu lina wake watatu kila mke watoto watano maisha ovyo full mikeka huko ndani!

Yaani nyinyi waislma weusi akili zenu ovyo sana! Waarabu wenyewe hawana ujinga wa wake wengi wanajua madhara yake!
Anza na nyie wasukuma washamba
 
Uislam ukitawala dunia wewe utafaidikaje?Utakuwa Mkuu wa Wilaya?
 
Washamba ndo tunakufanya ule wali hapo pwani! Na tunakuzidi pia hela! Njoo huku mwanza ndo Utajua si sio sawa na nyinyi!
Huko kwenu nimekaa mnapika Mauchafu haswa hao samaki hawana utamu kabisa kama mazumbulu tu ...


Hata uwe na pesa ni geresha tu maana kuvaa ,hujui ,kula kwenyewe maugali tu ..Mnakosa Nuru za usoni kwa kula maugali ngozi zinakomaa kama kenge.
 
Huko kwenu nimekaa mnapika Mauchafu haswa hao samaki hawana utamu kabisa kama mazumbulu tu ...


Hata uwe na pesa ni geresha tu maana kuvaa ,hujui ,kula kwenyewe maugali tu ..Mnakosa Nuru za usoni kwa kula maugali ngozi zinakomaa kama kenge.
Wewe kote huko kutapatapa tu! Nyinyi wafuasi wa yule mjinga asiyejua hata kusoma alopewa unabii na shetani pangoni siku zote hamnazo!
Hamna future na taasisi zenu hazina uwekezaji!
Mjibu vizuri mtoa mada mnafeli wapi hata maeneo mnapopatikana kwa wingi maendeleo zero!
 

Maendeleo yapi mnayo?.siongei na masikini hata vyoo kujenga ni shida.


Kwenu nyie ni masikini wa kutupa kabisa kazi kuiba mitihani tu huko kanda ya ziwa au tulete takwimu "mazumbukuku"

Sibishani na msukuma !!
 
Ndio maana ww jamaa nilisha sema umejaa mavi kichwani badala ya akili yaani ww unaona ni sahihi nyinyi kujenga makanisa kila nyumba ili mueneze injili yenu ila waislam wakijenga misikiti kwa ajili ya kuhubili dini yao kwako ni tatizo ww ni mavi kabisa.
 
View attachment 2517034
Maendeleo yapi mnayo?.siongei na masikini hata vyoo kujenga ni shida.


Kwenu nyie ni masikini wa kutupa kabisa kazi kuiba mitihani tu huko kanda ya ziwa au tulete takwimu "mazumbukuku"

Sibishani na msukuma !!
Huyo ni mjinga mwenzako! Kwani alikabwa ili atoe fungi la kumi?
Hayo yote maneno ya mfa maji ukweli tushakwambia!
Hamuwekezi mnakalia ujinga wa huyo mtume wenu feki ajenti wa shetani!
Nyinyi ni waabudu mashetani ila kwa vile mko gizani hutakaa ukubali!
Quran yeye we kazi kuokotea aya za Biblia!
Kwa kifupi nyinyi ni Satanic religion ndo maana mnaupinga sana Ukristo!
 
Aya za biblia zip? Wakati haya yesu hakuwahi kuoa ..We swala la kuoa ukitoa wapi
 
Ahsante kwa ufunuo mwingine ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…