Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Mada nzuri sana,mikoa au maeneo yenye waislam wengi kuna hali duni za maisha hali iyo maranyingi huwa inazaa vibaka,singeli,vigodoro na wazazi kupuuzia malezi na elimu kwa watoto wao.
 
Haya mambo tukisema sisi tusiokiwa waislam tunashambuliwa na kutukanwa.

Sasa hatimaye ninyi wenyewe mnauona ukweli ambao tumekuwa tukiusema mara nyingi.
Una uhakika gani, hao ni Waislamu, huku kukiwa na muendelezo wa watu maalumu, wanaotafuta kuidhoovisha Tanzania kupitia imani.

Kila siku kuda mada ya dini ukristo kuuhoji uislamu.
Na mimi baadae nitauliza swali, waliomtesa yesu, kwanini walimvua nguo na kumvisha kile kinguo.
 
Lengo ni ujumbe ufike, kama kuna msikiti unaosimamia basi bambo yanatakiwa kubadilika au kuwashauri wasimamizi wa mambo hayo ukiwa nao karibu.
 
Mkuu, matatizo yaliyo jadiliwa kwenye mada, yapo au hayapo? kiuhalisia kabisa
 
Kujenga misikiti ni dili. Kuna kitu kitaopatikana kutoka kwa mfdhili ambachoanaye initiate kujenga huo msikiti atapata, tena siyo kidogo. WE acha habari hiyo!
 
هَكِكَ هُو نِ اُشَورِ مزُرِ كويتُ سِسِ وَيِسلَمُ
 
Mkuu, matatizo yaliyo jadiliwa kwenye mada, yapo au hayapo? kiuhalisia kabisa
Msikiti ndo kituo cha waislam kuwakutanisha hapo kwenye mambo yote ya ibada na mambo mengine ya kijamii.
hapo tunapata picha kua kumbe msikiti tayari ni kituo muhimu sana kwa waislam kukutana na kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii yao.
 
Acha tujenge misikiti kwanza , maendeleo ya kumjua Allah ndo kila kitu Mali hazina maana.
Yah huku tukijisifia utajiri wa waislam kadhaa tena waarabu walioshikilia record ya utajiri ndani ya nchi huku sisi wengine hata kula yetu ya kesho hatuna uhakika nayo sembuse ya leo.
 
Yani mimi mnaniacha hoi mwaka jana mwishoni nilitembelea Dar es salaam eti pale Kawe kuanzia ukwamani I think mpaka kwenye mnara wa Clouds kuna misikiti mitatu mikubwa, yani mikubwa kweli... sasa nikajiuliza kwamba wanawaumini wengi wasingetosha kwa msikiti mmoja? Yani ni walking distance kabisa... nikajisemea si angalau basi hata huo msikiti mmoja wangejenga zahanati? Nilitafakari sana mwishoni nikainua macho yangu juu nikafanya ishara ya msalama nikamwambia Mungu NINAKUSHUKURU KWA KUNIFANYA NIWE MKRISTO, NI KWA NEEMA TU AMBAYO SI KILA MTU UMEMJALIA
 
Yah huku tukijisifia utajiri wa waislam kadhaa tena waarabu walioshikilia record ya utajiri ndani ya nchi huku sisi wengine hata kula yetu ya kesho hatuna uhakika nayo sembuse ya leo.

Shukuru kwa kila Jambo

Msitamani Mali Ambazo mnakufa na kuziacha
 
Hakuna mtu anayeiingia ukirisito kwa kupewa msaada. Morogoro tuna chuo na shule nyingi tu. Na hospital zipo nyingi tu. Sijajua lengo lako nini. Uislamu unaongoza kwa maendeleo mengi nchini
Sijui unapinga ni na kwa sababu gani maana mwenzio aliyoyasema siyo kwamba hayaoni anayaona wewe unataja maendeleo ya hapo Morogoro ina maana waislam wapo Morogoro tu?
 
BAKIIF Islamic hata huku kwenye ukristo hasa PENTECOSTALS kazi yetu kubwa kilasiku tunawaza kufungua makanisa na kufungulia mziki Kwa fujo ....ufike muda walokole nao wajenge hospital,shule na huduma zingine za jamii kama ilivyo Kwa katoliki na kkkt
Hao ktk bold wanatoa sana sadaka na michango mbalimbali but ninyi huwa mnawacheka kwamba ni wajinga wanapelekea hela mapadre na wachungaji.

Mkiiga kwao mkubali kuwa watoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…