Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo kujiunga jf siku nyingi ndo kipimo cha kujua maarifa ya mtu?

Nimekuuliza kuna kiongozi iliye asisi mambo ya hovyo ndani nchi hii kama jiwe?
Huyo Rostam si alikaribishwa ikulu na jiwe zaidi ya mara tatu?
JPM hakuhitaji msaada wa machawa kuongoza nchi bali alipendwa na watanzania wengi, unamkumbuka Waziri Kangi aliyempamba jukwaani baada ya kumaliza hotuba yake akamtumbua pale pale.., zilikuwa zama za watu kukimbilia Tv kila ilipofika saa 2 usiku kusikiliza JPM amesema nini ? mpaka leo mamilioni ya Video clip za hotuba zake zipo random mitandaoni iwe You tube,Insta,Fb ama Tiktok zikiwa na mamilioni ya viewers kukiko rais yoyote aliyetawala nchi hii..
 
JK na huyo bibi wana mahusiano ya simu nyingi sana, ya "kibinafsi", naeleweka, na ya kiuchumi, kifisadi
 
Vipi uteuzi wa mama kuendelea umekaaje?ni kama naona wawenge vile!
Mama kajiteua mkuu na kikwete asingeweza kupinga! Upingaji wake utauona soon huyo mzee amebobea sanaa kwenye movie za kikorea mda ni mwalimu mzuri sana
 
utasubiri sana !
La kuvunda halina ubani !
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Unataka aendelee kufanya kazi ya Urais?

Hujui kuwa Jiwe alitaka kumtengenezea kesi feki ya kutaka kupindua serikali ili ammalize?, Nenda kasome kitabu cha Kabendera utaikuta hiyo!
Sasa ndio aunge mkono ujinga wa kumpitisha huyu Mama agombee tena uraisi?
 
Hazina yetu pekee iliyo baki nchini ni Rais Mstaafu JK, Watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama tunamuombea Mungu azidi kumpa maisha marefu yenye afya na maarifa tele.
Taifa linamtegemea na Afrika pia.

Sema uwezavyo,tuite majina utakayo ila mwisho wa yote utafika. Na atawajibika Kwa yote aliyo na anayotenda.
 
Umempa dozi kubwa kuliko uzito wake.
 
😂😂😂😂
 
Mkuu usisahau pia Kuwa Rais fisadi hudhibiti mafisadi ili abaki yeye mwenyewe kwenye kufisidi nchi!!! Zingatia 1.5T ya 2017.
1.5T 2017 na sasa tupo 2025 wahuni wanashindana kufisadi na sio kudhibiti ufisadi....

Unajua kuna tirioni ngapi kutoka 2oo5 hadi 2925 zimedhibitiwa ili kumfanya rais fisadi afisidi nchi?

Najua hujui ila nikuambie tu rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadi...

Nyongeza ni hii "wachawi walishakufa".
 
Umempa dozi kubwa kuliko uzito wake.
Ametoa ufafanuzi huu kupitia usaidizi wa AI hata hivyo Magu hakuwahi kuhudumu katika serikali ya Mwinyi.. ni meeneo mengi imekosewa bora angetumia Analyisis anayoijua yeye..
 
Nguvu ya kimamlaka aliyo nayo Samia kwa sasa anaweza kuitumia kumpoteza hata huyo Kikwete.
Bibie mwenye nyege zake nchini ampoteze mwanaume rijali anayemfanya atabasamu?

Hebu tafuta uongo mwingine wa kujifurahisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…