Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Wewe hupendi kabisa mabadiliko nchi hii na utakuta bado ni kijana mdogo tu, lazima una tatizo kuendelea kuishabikia ccm iliyoshindwa kuleta mabadiliko tuliyotarajia kwa miaka zaidi ya 60 sasa.
 
CCM ukiwambia tume huru hiyooo! wanakimbiana
 

ushahidi huu apa
 
Duu akili za bangi hatari sana, Kwani wewe unaishi kwa kuwafurahisha Wakoloni.
 
punguzeni mdomo
 
Vyama vya Siasa vya upinzani havina ushirikiano na hapo CCM ndipo anapopatia Point.Nakumbuka kuna Vyama vya Siasa vipo 17 vya Upinzani na hivyo vyote vikiamua kwamba hatutashiriki katika uchaguzi wa Mwaka huu kama mambo 1,2,3.... hayajarekebishwa,unafikiri CCM itakuwa na nguvu ya kusema itafanya uchaguzi hata kama mumesusa kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, ni lazima wangekaa Meza moja na kurekebisha pale kwenye mapungufu ambapo upinzani unaona hautatendewa haki.Lakini utakuta kuna Chama chenyewe hakina Mbunge hata mmoja hata watu hawakifahamu kinasema kitashiriki uchaguzi na hapo CCM ndipo inapopiga bao .
 
Nawakumbushia tu na pia nitawakumbusha tena baada ya Oktoba 28, 2020.
 
Magufuli kashaamza kutangaza atampa Lissu kazi.

Katangaza kwamba atampa Masele ukuu wa mkoa au ubalozi.

Yani mpaka mgombea mwenyewe, kwenye kampeni, si anafanya kampeni kwa kuomba kura awe rais, anatuambia tayari nani atampa kazi gani.

Kashajipitisha kwamba atakuwa rais.
 
Safari hii wakiiba kura ndo mwanzo wa kupatikana kwa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
Well, simlaumu sana yeye.

Bali nawalaumu washiriki wa uchaguzi ambao kila mwaka wa uchaguzi tokea 1995, huwapa uhalali CCM.

Naamini kabisa kama tokea 1995 wapinzani wangekuwa wanagoma kushiriki hizo chaguzi za maonyesho, basi sasa hivi walau tungekuwa tuna katiba mpya pamoja na tume iliyo huru kutoka kwenye makucha ya CCM!

Hivi ni wapi kwingine kwenye demokrasia ambapo Rais wa chama tawala huunda tume ya uchaguzi na baadaye yeye mwenyewe kushiriki kwenye chaguzi zinazosimamiwa, kuratibiwa, na kuendeshwa na tume aliyoiunda yeye mwenyewe?

Where they do that at?

That should have been a no - no for the opposition from the get go.

But for whatever reason, they choose to take part in the CCM’s shitshow.
 
Siyo mmoja wa washiriki ndo anakuwa mchezaji yeye, refa yeye, kamisaa yeye, mwajiri yeye, na kila kitu kingine kihusianacho na uchaguzi anaoshiriki, yeye.
yaani huu uchaguzi maigizo tu. kuna mteule mmoja wa tume huwa namcheki tu mitaani lakini namwona dhahiri kabisa anajua matokeo ni yapi. anyway, mgoja tuangalie tu
 
Nachoweza sema "huwezi kuwa Tajiri kwa kukaa tu ndani ukasusia hata kazi za kubeba mchanga kisa tu hujapata ajira unayoipenda "

Unakula nini Kama hutaki fanya kazi hata ndogo ndogo ?

Vipi kama hio ajira utaipata miaka 20 ijayo ukisema uiaubirie utakuwa ushazeeka pengine ushakufa kwa njaa na watu watakuwa hawana habari na wewe tena .

Ufanyaje?

Fanya kazi yeyote inayokuja mbele yako itakuongezea hamasa , connection ,na kipato utaendela kuishi watu watakuona watakusapo

Ndipo hapo muda muafaka ukifika utapata ile ajira ya ndoto zako

Inaweza ikachelewa lakini hakika utaipata hata Kama Ni uzeeni kwako .

NB:Soma kwa akili sio hisia [emoji3578]
 
Beggar's cannot be choosers,
Acha wapambane then watakachokipata ndicho kitakachotumika kupamabania cha ziada. Na ni matumaini raisi ajaye atakuwa muelewa kama JK arasikiliza zaidi malalamiko ya watu na wahisani then atamalizia mchakato wa katiba mpya by 2035.

I just wonder what would've happened if we had the JK's constitution (regardless of its flaws). Maybe tungekuwa tuna bargaining power kubwa zaidi ya haya mengine ambayo yalikatwa juu kwa juu na bunge la katiba.
 
Hivi Kenya, Zambia, Malawi, Ghana etc. , waliwezaje kuving'oa vyama tawala? Pengine lipo la kujifunza kote huko.

Afrika Kusini najua ni case tofauti sana, but inaonesha kitu kimoja......wananchi wakiamua inawezekana hata kama itachukua muda........na "peserviarance" pia ni muhimu. Muhimu ni wananchi .....
 
Watu washavurugwa akili yani unakuta mtu ana shauku kabisa na huu uchaguzi anajipa imani ya kuwa kutakuwa na mabadiliko ila amesahau kuwa hata chaguzi zilizopita alikuwa katika hali hiyo hiyo ila haikuwahi kubadili matokeo.

Ifike mahali watu wakubali kwanza hili tatizo lao la akili ndipo wataweza kubadili hii hali maana huku kila uchaguzi kuwa na shauku ya kuona ccm inatoka madarakani hali ya kuwa mnajua hakuna usawa kwenye uwanja wa mapambano na hakuna kilichofanyika katika kutatua hilo tatizo,ni wazi hili ni tatizo la akili.
 
Lama Nyani Ngabu amejibu hoja hii naomba unitag, tafadhali. Maana naona kwenye mada yake amefafanua changamoto kwa vyama vya upinzani bila kupendekeza hatua dhidi ya changamoto hizo za "unfair ground" ya uchaguzi.
 

Nimepima ujumbe wangu kwa mizani huru,
Nimetambua unaakili nyingi kuliko aliyeanzisha mada!
Mwanzisha mada itakuwa katumwa na either ndiye amekuwa akishauli wapinzani kususia chaguzi kama zile za serikali za mitaa.
Nadhani mkakani wa mleta mada ulishapitwa na wakati akamwambie aliyemtuma kuwa hawanielewi tena!

Hapa kazi ni moja tu ,twende jino kwa jino,pampa to bampa,haki bin haki,bandika bandua lazima wateme nyongo na ushindi upo kikubwa tusifumbe macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…