Kama tulikubali uwanja wa ndege chato basi acha tukubali huu ujenzi au nakosea mzeee!??
Mkataba uwekwe wazi uchambuliwe ndipo maamuzi yafanyike.
Sasa kama haupo wazi na JPM alisema ni wa kinyonyaji na Spika anasema raisi kapotoshwa na JK aliubariki ss hatutakaa tujue nani mkweli hivyo tuachane nao maana viongozi wana ndimi nyingi nyingi.Huu mkataba kama mikataba mengine yote mikubwa ya uwekezaji hautawekwa wazi kwa kisingizio cha kulinda siri na maslahi ya mwekezaji dhidi ya washindani wake. Tusijidanganye wala kujipa matumaini kuna siku utawekwa hadharani wananchi waufahamu.
Mimi naomna nieleweshwe,kwasababu nijuavyo mimi, wawekezaji wa Bandari huwa faida yao wanaipata kwenye kazi ya Handling na Storage.
Sasa hawa China Merchant wanataka hata Ushuru wa forodha? kama jawataki TRA iwepo inamaana wao ndio wanataka wapewe hiyo Kazi ya kukusanya?
Halafu wanayaka hati ya umiliki wa hiyo Ardhi ya Bandari kwa miaka 99 je mkataba wanataka wa miaka mingapi?
Salamuni wanangu katika jamvi. Japo hili si jipya na limeishajadiliwa sana, kuna haja ya kushupaa ili kujua sababu zilizosimamisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo baada ya kifo cha Magufuli sasa inaonekana kupigiwa upatu na wapigaji. Si hili tu, hata mradi wa Nyerere wa kuzalisha umeme kule Rufiji tunaambiwa ni bomu. Kesho tutaambwa na SGR ni bomu ukiachia mbali kununua ndege. Hata mwili wa Magufuli haujaoza tunaanza kuonyeshwa mambo ya ajabu ajabu. Je kunani? Tuanzie na hili la Bagamoyo. Nani aliidhinisha na kwa nini? Nani aliubatilisha na kwanini? Je kuna kitu hapa umma unafichwa au ulifichwa? Miradi yote ni mali yetu na si ya watawala. lazima tuambiwe ukweli hata kama mchungu. Naomba kuwasilisha tena kwa heshima baba yenu nyote.
Sasa kama unajua hawataki kuweka mkataba wazi kila mtu ajionee kwanini uamini sio mkataba mzuri badala yake unanunaUnaifahamu vizuri serikali yako mkuu. Hawana utaratibu wa kuweka mikataba ya uwekezaji hadharani hivyo usitegee kuna siku utauona. Endapo mkataba utaridhiwa watakuja na maneno matamu tu ya kuupamba na kuwaaminisha wananchi kila jambo liko sawa kama ilivyofanyika kwenye mikataba mingine.
Magu na timu yake hawakuwa watu wa kuaminika sana hasa pale walipotaka mambo yao yaonekane yako sawa na wako sahihi siku zote ila upande wa wale wanaopigia chapuo bandari ya Bagamoyo kupewa Wachina waijenge wameshindwa kabisa kwa miaka sasa kukanusha hata dai moja la yale yaliyosemwa na Kakoko alipozungumza na waandishi wa habari sababu za huo mkataba kukataliwa!
Wale wanaopigia chapuo hiyo bandari kujengwa na Wachina wamekwepa kabisa kuzungumzia hivyo vipengele vinavyodaiwa vilikuwa kwenye huo mkataba, wamebaki kutuimbia wimbo mkataba ni mzuri sana, kuna uwekezaji mkubwa, ni fursa adimu tusiipoteze, wachina ndugu zetu na blah blah nyingine nyingi.
Jinga hao wanamezeshwa maneno matupu na watawala wao na wenyewe wanameza bila kuuliza
Mbona hujahoji project za Chato?Salamuni wanangu katika jamvi. Japo hili si jipya na limeishajadiliwa sana, kuna haja ya kushupaa ili kujua sababu zilizosimamisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo baada ya kifo cha Magufuli sasa inaonekana kupigiwa upatu na wapigaji. Si hili tu, hata mradi wa Nyerere wa kuzalisha umeme kule Rufiji tunaambiwa ni bomu. Kesho tutaambwa na SGR ni bomu ukiachia mbali kununua ndege. Hata mwili wa Magufuli haujaoza tunaanza kuonyeshwa mambo ya ajabu ajabu. Je kunani? Tuanzie na hili la Bagamoyo. Nani aliidhinisha na kwa nini? Nani aliubatilisha na kwanini? Je kuna kitu hapa umma unafichwa au ulifichwa? Miradi yote ni mali yetu na si ya watawala. lazima tuambiwe ukweli hata kama mchungu. Naomba kuwasilisha tena kwa heshima baba yenu nyote.
Bandari ya DSM itakufa kwa miaka 99 nakumbuka hii ya DSM ndio tunaitegemea na bagamoyo hatutaweza kukusanya kodi kwa miaka 99 kama ilivyo mlimani city na udsmKwangu mimi naona bora tuukubali huu wa wachina maana mwendazake mwenyewe alikua na ushirikiano nao mzuri na aliona ni ndugu zetu sio kama wale MABEBERU wa ulaya, au nasema uongo ndugu zangu ?
Sasa kama haupo wazi na JPM alisema ni wa kinyonyaji na Spika anasema raisi kapotoshwa na JK aliubariki ss hatutakaa tujue nani mkweli hivyo tuachane nao maana viongozi wana ndimi nyingi nyingi.
Sasa kama unajua hawataki kuweka mkataba wazi kila mtu ajionee kwanini uamini sio mkataba mzuri badala yake unanuna
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Unamuamini jiwe?Ndio ule Mkataba unaowala Djibout, Zambia na Kenya? Ule mkataba nakumbuka Mwendazake aliwahi kuweka baadhi ya masharti pindi tu ilipoibuliwa na Job bungeni. Moja kati ya Masharti alisema ni kutokuendeleza Bandari yoyote ile katika nchi hii na yeye Mchina ndiye angekuwa anasimamia kila kitu kuanzia Ukurugenzi mpaka kibarua hapo ndani kwa miaka 100 arudishe faida yake.