Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Umeanza wanga wewe
Internacional schools zote zinafuata mtaala mmoja hakuna ilyo bora kuliko nyingine[emoji3][emoji3][emoji3] wivu utakuua
 
Umeanza wanga wewe
Internacional schools zote zinafuata mtaala mmoja hakuna ilyo bora kuliko nyingine[emoji3][emoji3][emoji3] wivu utakuua
 
Soko la hisa la bongo ni takataka.


Hizo thamani za hisa unazoziona ni sawa na hot air balloon.


Mpaka makampuni ya KITAPELI Kama JATU yako DSE
Wewe wivu utakuua
Hahaha Kila mahali unapigwa na kitu kizito Wachaga ni level nyingine aise
 
Duh kumbe ndio maana watu Wana wivu na Wachaga Kila mahali huwakosi
 
Umeanza wanga wewe
Internacional schools zote zinafuata mtaala mmoja hakuna ilyo bora kuliko nyingine[emoji3][emoji3][emoji3] wivu utakuua


Husiweke shule za matajiri group moja na hizo za kwetu

Standard za hizi shule , kikubwa ni walimu wawe wa kimataifa kweli unafungua black ryno unatoa walimu Kenya unaiita shule yako Cambridge or international school , IST Mpaka Wapishi wazungu na ndio maaana school fees hailipiki kwa watanzania wengi ni kubwa hili kuweza kulipa mishahara na maintenance ya standard zao
 

Attachments

  • IMG_9734.jpeg
    271.2 KB · Views: 6
Mimi nakaa Uchaggani. Wenye Mafanikio ni wale wa "old money"

Waliofanikiwa kupiga enzi hizo. Hawa walevi wa Sasa hivi tunakula nao sahani moja.
Wivu utakuua
Hâta usa maskini wapo
Uchagan família nyingi zina uwezo
Uchagan ukipita Karibu Kila nyumba Kuna wasomi
Dalili ya kwanza ya maisha bora ni makazi bora,huwezi ukamiliki Jumba kubwa alafu ukawa na maisha finyu
Kwahyo hâta ukitembelea uchagan yote hutojiuluza utajua tu watu hawa wana uwezo tofauti na ninyi wengine ambao Hadi MDA Huu makwenu mnatumia maji ya lamboni na mifugo,wakati uchagani Karibu Kila nyumba Ina maji Safi ya bomba na umeme
 
Bado wivu utakuua
Kumbe unakiri zamani mlikuwa hamjui kitu Wachaga wakawapiga gap
Sasa kama tangu Zaman tumewapiga gape je Sáhv ndo mtatufikia?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Uchagan ushaona watu wanatumia maji ya lambo na mifugo kama kwenu msalala?
Aisée aliyetangulia katangulia tu
 
Mleta mada mbona hujaitaja Kembos na Kaizilayege za kule Bukoba au zenyewe sio intaneshino?
 
Hâta Usa ulevi upo Lkn Tanzania haiwez kuifikia usijifariji nenda kaonee huruma watu kule kwenu usukumani wanachangia Maji na mifugo
Nb
Si unaona unaishi Kilimanjaro mambo Safi makazi bora,usafi , miundombnu Safi hakuna watoto kurundikana madarasan,mijengo ya kisasa Vijijin, Yan nimekupa assignent ya kutafuta nyumba ya nyasi hâta Moja tu Hadi Sáhv sioni hutaki 5m mkuu?
 
Bado wivu utakuua
Kumbe unakiri zamani mlikuwa hamjui kitu Wachaga wakawapiga gap
Gap waliwapiga wazee wetu Kwasababu ya uungwana wao. Silaha kubwa ya Mchagga ni WIZI na UNAFIKI.
Sasa kama tangu Zaman tumewapiga gape je Sáhv ndo mtatufikia?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
GAP la Sasa labda ni ULEVI, MIRUNGI na KITIMOTO.
Uchagan ushaona watu wanatumia maji ya lambo na mifugo kama kwenu msalala?
Aisée aliyetangulia katangulia tu
Kilimanjaro huwezi hata kuchimba kisima, Kwasababu eneo limekaa tenge kutoka milimani.

Ndio maana wakategesha mabomba kutoka huko juu kuleta maji. Ingawa Kuna maeneo maji ni ya shida kupindukia.

Hata maeneo yenye mabomba bado wakati wa ukame hakuna maji. Upumbavu mtupu
 
Maskini hakosi sábabu
Nchi nzima Wachaga wamejaa na wanamiliki assets Kila Kona hâta vijijin hko ni watu wanaowaza future
Dar wameinunua wamekaribia kuimaliza[emoji3] kariakoo pale ghorofa nyingi ni Zao[emoji3][emoji3]
 
Kilimanjaro tuchimbe visima vya Nini wakati tuna maji natural ya mlima Kilimanjaro?
Maji ya visima ni hko kwenu usukumani
Sisi Karibu 95% ya Kila nyumba uchagan Ina maji na umeme.
 
Kiangazi uchagan ni kifupi kwasababu wanalima misimu miwili kwa mwaka
Kwenye kiagazi ni usukumani maana wamefyeka miti yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…