Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Bro nenda kafanye upya uchunguzi wako ndio urudie ulichosema. Kwanza main campus ya Braeburn ipo arusha na tawi tu ndio lipo dar es salaam. Huwezi kusema Ada mtoto wa IST ni sawa na kusomesha watoto kumi shule kama UWC , KENNEDY HOUSE , AMA HATA ST COSTANTINE achilia mbali BRAEBURN.
Nenda kwenye pages zao utaona tuition fees maaana wenzetu hawafichi Ada. Gharama za mtoto kwenye hizi shule zinatofautiana kwenye grades mtoto aliyopo. Mfano mtoto wa grade 2 hawezi kulipa Sawa na wa grade 6 vivohivo kwa watoto hadi wa high school.

Mfano hii ni fees ya watoto wa primary pale st Constantine
 

Attachments

  • Screenshot_20230725_053132_Instagram.jpg
    210 KB · Views: 19
Hâta Usa ulevi upo Lkn Tanzania haiwez kuifikia
Ulevi wa Kilimanjaro ni next level. Biashara ya pombe ni kila mtu anafanya mpaka muuza hardware
usijifariji nenda kaonee huruma watu kule kwenu usukumani wanachangia Maji na mifugo
Huko wanakochangia maji na mifugo ndiko unakokimbilia kila siku.
Kaa kwenu Kama ni kuzuri
Nb
Si unaona unaishi Kilimanjaro mambo Safi makazi bora,
Makazi Bora ya popo,njoo uishi Kama ni makqzi Bora.
Usafi huujui. Ngoja nikae kimya tu.
miundombnu Safi hakuna watoto kurundikana madarasan,
Watoto hakuna. Wenye Watoto mmekimbilia mijini.

Kwahiyo unatarajia msongamano gani wakati Watoto wa kichagga wanasoma huko mikoani kwenye kusababisha msongamano
mijengo ya kisasa Vijijin,
Nakuuliza Tena wewe mlevi, Kilimanjaro MJINI ni wapi?

Ili tutofautishe mjini na VIJIJINI
Yan nimekupa assignent ya kutafuta nyumba ya nyasi hâta Moja tu Hadi Sáhv sioni hutaki 5m mkuu?
Nimeshakujibu kuwa hakuna nyumba za nyasi, hata Handeni hakuna.

Ila nyumba kibao za TOPE na nyingine za Mbao.

Ukihitaji utapata hata picha 3,000
 
Hebu nikusaidie...maana hawa Jamaa kwa misifa wamezidi Hadi wahaya siku hiz...na mbaya wanajisifia uongo ...
Nyumbani kwa shirima huko Moshi
luambo makiadi
 
Sisi tuko busy na ujenzi wa vyuo vikuu...mambo ya shule tushatoka huko...

Kagera kwenye elimu ishafika peak...kilichobaki ni kuwafanya wasomi warudi kwao...na kweli wameanza kurudisha neema kwao....

View attachment 2698527View attachment 2698528
Sisi vyuo vikuu tushakuwa navyo tangu kitambo nyie ndio kwenu kunakucha?
Nyie ni watoto wetu kwenye Kila kitu
 
Hebu nikusaidie...maana hawa Jamaa kwa misifa wamezidi Hadi wahaya siku hiz...na mbaya wanajisifia uongo ...
Nyumbani kwa shirima huko Moshi
luambo makiadi View attachment 2698534
Yani weee ni mshamba Hadi mwisho
Sasa hapo huoni ni kama makumbusho ya MTu aliyefanikiwa Sasa anaamua kukumbuka? Hyo poster hapo si inajieleza? Huoni na gari IME pack hapo?
Unachekesha
 
Ulevi hâta ulaya upo nimeishi Eindhoven, Rotterdam watu wanapombeka na maendleo yapo
Wewe maskini utapata wapi Hela ya Bia?
 
Hko si tunaenda kununua mpunga wao Sasa bila Sisi kwenda si watakufa njaa?
Wazungu unaowaona huku Africa kwahyo kwao n kubaya?
 
Hela IPO tunaotesha mahekalu ya mamilion wewe maskini utaweza?
 
Moshi ni mojawapo ya miji Safi miaka n'a miaka,Vijijin pia makazi yamepamgiliwa vizuri kwa usafi WA Hali ya juu
Imagine hapa ni kijijin
 

Attachments

  • IMG_20230401_085537_5.jpg
    425.9 KB · Views: 17
Kilimanjaro Kila mahali ni mjini hatuna ushamba WA kutembea kilometa 200 kwenda kupata huduma kama nyie kule nzela
Sisi Kila kitu kipo Kila Mahali kuanzia Banks, supermarkets, na hospitals
Wilaya ya Rombo pekee Ina matawi zaidi ya sita ya bank just imagine
 
Nÿumba za mbao hâta Finland zipo
Nilikuwa Helsinki niliziona
Alafu nyumba ya mbao Kilimanjaro ina sakafu,ina bati,ina umeme,ina maji kwani nini mbaya? Huyo kwa Kilimanjaro ndio maskini
Ila ukija kwenu usukumani maskini ni yule hohehahe kbs analala nyumba ya nyasi,ana share maji na ngombe kwahyo huwez kuwaweka kundi Moja maskini Hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…