Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

Nyie mnaamini anayosema huyu waziri ? Kuna njia nyingi za waziri kuonana na rais. La mwisho angeweka tatizo lake rasmi kwa maandishi.
 
Steve Nyerere au Shilole wana nguvu kuliko Waziri
 
😲😲😲
 
Sasa huyo Waziri kama kweli alikuwa na lengo la kuonana na rais akakataliwa alishindwa nini kumpigia Steve Mengele, au Shilole au Mwijaku wamsaidie? Ina maana hana namba zao?
🤔 🤔 🤔
 
Ukitzama vyema yule mleta kikaratasi alipita nyuma hadi upande aliokuwa amekaa katibu wa rais then ndio akaja na kimemo
 
Mwaka gani na mzazi alikuwa na cheo gani?
 
Rais ni Taasisi..lile jumba leupe limejaa watu wanapiga kazi - Samia hajai jumba lote lile - hao watu ndo wanaongoza nchi, hao watu ndo wanateua hao mawaziri kwa niaba ya Rais, hao watu ndo wanateua wakuu wa mikoa, wilaya etc.Rais akifanya kila kitu si atakufa kabisa - watu wanareport kwenye PRESIDENCY - Ndio maana Samia anatembea ulimwenguni huko lkn huko nchi inatembea na mikeka inatoka.
Usishangae..huo ndo ukweli mawaziri sio watawala - sio Dola but Wakuu wa Mikoa na Wilaya ni sehemu ya watawala na Dola.
 
Mkenda yuko tayari kwa lolote hataki ujinga na hili lilimkera sana ndo maana ameongea hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…