maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Nina uhakika dada Ummy atarudi tena wizara hiyo hiyo. Tuupe wakati nafasi. Aliyofanya wizara ya afya ni makubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mother wanazingua ila acha nijitoseHana mume mkuu .Yule ni chronic single mother jiachie tu
Kwani yote haya yameanza wakati wa Ummy? Mara nyingi tatizo kubwa katika mifuko kama hii bi serikali kukopa bila kurudisha. Wizi na ubadhirifu unachangia lakini sio kama ukopaji wa serikali. Bila kulishughulikia hili NHIF haiwezi hata siku moja kutimiza majukumu yake ipasavyo. Hata aje nani.Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.
NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.
Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Na wajawazito kufa huko Handeni na Kahama kwa kukosa pesa. !😳🙄Banda la kuvukiza nyungu muhimbili
Kwa kusababisha vifo kwa watoto wa masikini kwa kuwaondolea toto afya kadiUteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Ummy ni katili na mtu wa hovyo snTumkumbuke kwa kuinajisi NHIF.
Macho yake yanacheza kama kaingiwa mchanga.
Samia akitoboa 2025 mniite huhuhu!
Masauni, Bashe, Mwigulu, Mbarawa, Aweso ni wasanii tupu hawana la maanaNchi inahitaji kufanyiwa overhaul kwa kuiondowa ccm imeshafeli waje kuongoza watu wapya.
Chini ya ccm maigizo yataendelea tu, sasa jiulize waziri wa hovyo kama Mwigulu mbona haguswi?
Katibu mkuu ndio injini ya wizara😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Kwa hyo mkuu cku zt wizara n km ilikuwa tu hkn muendeshaji siyo,,View attachment 3070279
NHIF imegeuka mfuko wa kukopesha badala ya kuhudumia wanachamaAmefanikiwa kuua NHIF
Anefanikisha kampuni ya mabasi TGT/DAR na kuleta ushindani kwa Rahaleo na Tashrif na Simba mtoto.
Sitting president hagusiki acha kujidanganyaTumkumbuke kwa kuinajisi NHIF.
Macho yake yanacheza kama kaingiwa mchanga.
Samia akitoboa 2025 mniite huhuhu!
Ummy alizidi aseeKiburi, jeuri na dharau ata ivyo mawaziri wote wezi tu
Vyeo vya mawaziri ni vya shukrani wala havina tija yoyote kwa nchiCcm yote imeoza, hawana jipya wakae pembeni.
Chadema pelekeni kesi mahakamani, hii ni timing ya kuwaondowa kudai haki ili mjikite kwenye Futuhi za ccm.
Kila siku tunasema hapa mawaziri wasitokane na wabunge hawatusikii, matokeo yake umeishiwa wa kuteuwa unakuja kuturudishia kituko kama Kabudi, Uprofesa wake zero kabisa kazi kutowa mijicho tu.
Hapana, Wizara aliyopo anaitendea haki labda angemuongezea na hiyo Wizara ya Afya awe anaongoza Wizara mbili!Dorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Wa vituo vya afya na hopsitali ni tamisemiAmesimamia mageuzi mapya katika sekta ya Afya kwa awamu ya 4 na 5! Ujenzi wa vituo vya afya,hospitali za wilaya,ununuzi wa vifaa mbali mbali vya Matibabu,uboreshaji wa majengo,nk
Kwa kweli alijitahidi,mnyonge mnyongeni lakini yake mpe!
Nadhani Mama ameamua kumpumzisha kama Prof.Kabudi na Lukuvi,huenda atamrusha kama ataendelea mpaka 2030!
Tafuta vita na mkwele,unamkumbuka Babu seya?Ummy ni kisu ile laana. Yule mama angekuwa single ningetupa ndoano.
Nani akasema "yamneanza wakati wa Ummy Mwalimu", hivi huwa hamuelewi mnachokisoma au mnakurupuka tu?Kwani yote haya yameanza wakati wa Ummy? Mara nyingi tatizo kubwa katika mifuko kama hii bi serikali kukopa bila kurudisha. Wizi na ubadhirifu unachangia lakini sio kama ukopaji wa serikali. Bila kulishughulikia hili NHIF haiwezi hata siku moja kutimiza majukumu yake ipasavyo. Hata aje nani.
Amandla...
Kwani nimemtaja mtu? Mimi nimeuliza swali ambalo inaelekea hautaki kulijibu. Nilichokisema ni kuwa tatizo NHIF sio la Ummy bali ni la mfumo mzima.Nani akasema "yamneanza wakati wa Ummy Mwalimu", hivi huwa hamuelewi mnachokisoma au mnakurupuka tu?
Ummy mwalimu katekeleza majukumu yake kwenye baraza la mawaziri, sasa inabidi apate muda wa kujifungua kitu kipya na kulea wanawe wengine.
Kama ulikua huelewi, naona sasa umeelewa. Utamuona bungeni kama mtoto atawacha kumchagiza tumboni.