Tutarajie nini kwenye Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani

Tutarajie nini kwenye Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani

Uzuri mama anajua kizungu hata akiongea pumba it's okay ,katuokoa na like janga la "intapurinunywaaaaaaaaa na ze pipo yuzidi tu dai iini ze leki "
 
Waungwana, nawasalimu!

Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.

Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.

Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Atajielezea jinsia yake tuu. Hamna jipya
 
Waungwana, nawasalimu!

Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.

Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.

Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Hakuna Jipya haya mambo aliyafanya Prof Palamagamba Mwaluko Kabudi kwa ufasaha kabisa na kwa kuunguruma kwa sauti ya Simba. Pia RIP Mahiga was good at it bila kuona ni big deal.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Jana usiku wa manane nimeota kuwa leo kuna Paka fulani kutokea nchi fulani ya Afrika mashariki ya Corona wa kwenye oil na Mapapai litahutubia huko UN leo.
 
Waungwana, nawasalimu!

Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.

Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.

Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!


Nimeona Star kutoka Africa kwasasa ni Raisi mpya wa Zambia! Kesi ya Mbowe imefanya watu kusita kumtangaza Raisi Samia kama ni new star!. Kama tulivyosema kuna watu ambao ndiyo wame bambika kesi hawataki Raisi apate sifa
 
Waungwana, nawasalimu!

Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.

Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.

Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Haki ya nani ''msomi'' kama wewe ni hasara kwa Taifa. Mbona unaanzisha thread kwa mambo ya kijinga namana hii? Una access na Internet halafu unashindwa kupekuwa upate taarifa kama hii? NB: Najua nia yako ni ili tu uonekane na wewe ''unamkubali'' rais. Wakati wa mwendazake ulilamba makalio bila mafanikio sasa umeanza tena.
 
Aisee jamaa kweli mmeishiwa, so hapo umefurahi mwenyewe? Huyo Biden akikutana na marais wa nchi zote zilizohudhuria yeye mwenyewe atapata hata muda wa kunywa maji? Nikikuita mjinga sidhani kama nitakuwa nimekosea..
Hawezi kukutana na marais wote hata siku moja. Na hata akikutana na rais yeyote, shida za nchi yake haziwezi kuisha kwa kukutana na Biden. Tatizo liko hapa: Ujumbe wa mama Samia umekuwa desparate mno mno kutaka kwenda White House. Sijui ni Kikwete alimdanganya na kumshauri afanye kila juhudi ili aalikwe White House, lakini taarifa ni kwamba ujumbe wa Tanzania unahangaika sana ili aende White House. Mimi naona ni ujinga tu kwani aende au asiende, shida za watanzania wa kuzitatua ni sisi wenyewe.
 
Hawezi kukutana na marais wote hata siku moja. Na hata akikutana na rais yeyote, shida za nchi yake haziwezi kuisha kwa kukutana na Biden. Tatizo liko hapa: Ujumbe wa mama Samia umekuwa desparate mno mno kutaka kwenda White House. Sijui ni Kikwete alimdanganya na kumshauri afanye kila juhudi ili aalikwe White House, lakini taarifa ni kwamba ujumbe wa Tanzania unahangaika sana ili aende White House. Mimi naona ni ujinga tu kwani aende au asiende, shida za watanzania wa kuzitatua ni sisi wenyewe.
SOURCE ya taarifa yako kwamba ujumbe upo desperate kwenda WH ni ipi? Au ni hearsay?
 
Ukishaona mtu ana mind vitu vidogo vidogo kama mke mwenza jua kuna shida sana hapoo....
Naona imekuchoma mimi kumsahihisha Mumeo!

Uandishi ndio unao wakilisha hoja,kama uandishi ni wa hovyo,hiyo hoja itaelewekaje?

Ujumbe sahihi hufikishwa na lugha sahihi,

Msalimie Mumeo mwambie ajifundishe kwanza kuandika ndipo aje JF.
 
Back
Top Bottom