Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Wew mjinga sana unavamia nyuzi za watu na kuleta ***Wewe ni mpumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew mjinga sana unavamia nyuzi za watu na kuleta ***Wewe ni mpumbavu.
Ha ha hahaaa....Bado sana mkuu. Lakini utapona Ha haaaa!Unasapoti upumbavu
Msaidie ndugu yako aache zakeHa ha hahaaa....Bado sana mkuu. Lakini utapona Ha haaaa!
Wewe hata hizo akili za hovyo huna.Akili zako ni za Hovyo
Mama kakataliwa kukutana na Rais Biden wala mwanamke mwenzake Kamala hamtaki. This is so insane.
Mchana mwema MkuuWewe hata hizo akili za hovyo huna.
Atajielezea jinsia yake tuu. Hamna jipyaWaungwana, nawasalimu!
Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.
Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.
Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

#unga2021Hakuna Jipya haya mambo aliyafanya Prof Palamagamba Mwaluko Kabudi kwa ufasaha kabisa na kwa kuunguruma kwa sauti ya Simba. Pia RIP Mahiga was good at it bila kuona ni big deal.Waungwana, nawasalimu!
Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.
Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.
Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Alisema yeye na Magu ni kitu kimoja ivyo asitegemee matokeo tofauti!Mama kakataliwa kukutana na Rais Biden wala mwanamke mwenzake Kamala hamtaki. This is so insane.
Waungwana, nawasalimu!
Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.
Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.
Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Ukishaona mtu ana mind vitu vidogo vidogo kama mke mwenza jua kuna shida sana hapoo....Ukisha ona mtu ana andika apo badala ya hapo hiyo inatosha kabisa kujua huyu ni mtu wa aina gani.
Haki ya nani ''msomi'' kama wewe ni hasara kwa Taifa. Mbona unaanzisha thread kwa mambo ya kijinga namana hii? Una access na Internet halafu unashindwa kupekuwa upate taarifa kama hii? NB: Najua nia yako ni ili tu uonekane na wewe ''unamkubali'' rais. Wakati wa mwendazake ulilamba makalio bila mafanikio sasa umeanza tena.Waungwana, nawasalimu!
Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.
Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.
Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Hawezi kukutana na marais wote hata siku moja. Na hata akikutana na rais yeyote, shida za nchi yake haziwezi kuisha kwa kukutana na Biden. Tatizo liko hapa: Ujumbe wa mama Samia umekuwa desparate mno mno kutaka kwenda White House. Sijui ni Kikwete alimdanganya na kumshauri afanye kila juhudi ili aalikwe White House, lakini taarifa ni kwamba ujumbe wa Tanzania unahangaika sana ili aende White House. Mimi naona ni ujinga tu kwani aende au asiende, shida za watanzania wa kuzitatua ni sisi wenyewe.Aisee jamaa kweli mmeishiwa, so hapo umefurahi mwenyewe? Huyo Biden akikutana na marais wa nchi zote zilizohudhuria yeye mwenyewe atapata hata muda wa kunywa maji? Nikikuita mjinga sidhani kama nitakuwa nimekosea..
SOURCE ya taarifa yako kwamba ujumbe upo desperate kwenda WH ni ipi? Au ni hearsay?Hawezi kukutana na marais wote hata siku moja. Na hata akikutana na rais yeyote, shida za nchi yake haziwezi kuisha kwa kukutana na Biden. Tatizo liko hapa: Ujumbe wa mama Samia umekuwa desparate mno mno kutaka kwenda White House. Sijui ni Kikwete alimdanganya na kumshauri afanye kila juhudi ili aalikwe White House, lakini taarifa ni kwamba ujumbe wa Tanzania unahangaika sana ili aende White House. Mimi naona ni ujinga tu kwani aende au asiende, shida za watanzania wa kuzitatua ni sisi wenyewe.
Naona imekuchoma mimi kumsahihisha Mumeo!Ukishaona mtu ana mind vitu vidogo vidogo kama mke mwenza jua kuna shida sana hapoo....
Ni mimi, nikiwa na ujumbe.SOURCE ya taarifa yako kwamba ujumbe upo desperate kwenda WH ni ipi? Au ni hearsay?