Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Na mimi nipo na Ujumbe nakuambia hatujafanya hivyo...Ni mimi, nikiwa na ujumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nipo na Ujumbe nakuambia hatujafanya hivyo...Ni mimi, nikiwa na ujumbe.
Hahahahass kwel ameenda kujikosha anataka mselelekoHakuna madini yoyote apo ,ni kuwapigia magoti mabeberu ili tupewe misaada..naskia sauti inasema MTANIKUMBUKA
Kwani alikwenda kuonana na Biden na Kamala au alienda kwene mkutano wa UN?Mama kakataliwa kukutana na Rais Biden wala mwanamke mwenzake Kamala hamtaki. This is so insane.
Nani ana muda wakupoteza Dogo?Waungwana, nawasalimu!
Leo ndiyo siku ya tarehe 23/9/2021 iliyotajwa kama siku muhimu kwa nchi yetu ambapo Rais wetu na Mama yetu Samia Suluhu Hassan atalihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko Marekani.
Kwa yeyote anayefahamu, hotuba ya Mama Samia itakuwa muda gani na itarushwa na runinga gani ili nasi tuweze kuifuatilia? Kimsingi, tunatarajia madini ya kutosha kwenye hotuba ya Mama na kutoa muelekeo wa nchi yetu kimataifa.
Kila la heri Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!