Tuvunje Wizara ya Ardhi na Tamisemi tuwape Wazungu

Tuvunje Wizara ya Ardhi na Tamisemi tuwape Wazungu

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
 
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
Haa hutaki Tamisemi wasimamie uchaguzi
 
Wazungu wa wapi ?
Wazungu be it Wamarekani, Waingereza, Warusi hata Wajeruamani.

Kusema ukweli Tanzania tumeshindwa kupanga na kujenga miji yetu. Hata Dodoma pale kinachoendelea ni vituko tu. Just next to Ikulu na Mji wa Serikali unakuta watu wanajijengea hovyo hovyo tu.
 
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
Lord denning WIZARA YA ARDHI TUWAPE MAREKANI.
Yani kuna upuuzi unaendelea mpaka unatakamani wakoloni warudi hata leo ya Adhuhuri.
Imagine Mji unawekwa bustani za wazi, kuna watu wanajiita makada wa chama "wanabadilisha matumizi na kujenga nyumba".
viwanja vya wazi vimefanywa garage nchi nzima.
Miji haina green belt.
Jangwani palipaswa kupandwa mikoko namiti mingine ila sisi tunataka tupaki mafuso.

Kinondoni , ilala na kigamboni hata pale magopmeni kwa mkuu wa wwilaya maeneo yote ya wazi makada wamegawana na wameweka makontena wanajifanya ni temporary lakini ukweli ni kwamba tangu nipo mtoto hawa makada wakiweka kontena hiyo ni permanent.
chiembe 6 Pack pale Mikocheni panaitwa "kwa Mwenyekiti" wanauza KITIMOTO, karibu na TLS au kwa KIKWETE, ni open space katikati ya makazi ya watu, huu ni mwaka wa 40 wameweka kontena wanasema ni temporary, Miaka 40 si mtu mwenye Hati ya kiwanja ya miaka 33 imeisha na sasa ana renew?
Watu wa mipango miji hata nyumba zao zenyewe hawajui kupanga. Hivi unawekaje msikiti au kanisa katikati ya magodown?
Unatoaje kibali cha restaurant katikati ya vyoo nas mitaro ya maji?
 
Lord denning WIZARA YA ARDHI TUWAPE MAREKANI.
Yani kuna upuuzi unaendelea mpaka unatakamani wakoloni warudi hata leo ya Adhuhuri.
Imagine Mji unawekwa bustani za wazi, kuna watu wanajiita makada wa chama "wanabadilisha matumizi na kujenga nyumba".
viwanja vya wazi vimefanywa garage nchi nzima.
Miji haina green belt.
Jangwani palipaswa kupandwa mikoko namiti mingine ila sisi tunataka tupaki mafuso.

Kinondoni , ilala na kigamboni hata pale magopmeni kwa mkuu wa wwilaya maeneo yote ya wazi makada wamegawana na wameweka makontena wanajifanya ni temporary lakini ukweli ni kwamba tangu nipo mtoto hawa makada wakiweka kontena hiyo ni permanent.
chiembe 6 Pack pale Mikocheni panaitwa "kwa Mwenyekiti" wanauza KITIMOTO, karibu na TLS au kwa KIKWETE, ni open space katikati ya makazi ya watu, huu ni mwaka wa 40 wameweka kontena wanasema ni temporary, Miaka 40 si mtu mwenye Hati ya kiwanja ya miaka 33 imeisha na sasa ana renew?
Watu wa mipango miji hata nyumba zao zenyewe hawajui kupanga. Hivi unawekaje msikiti au kanisa katikati ya magodown?
Unatoaje kibali cha restaurant katikati ya vyoo nas mitaro ya maji?
Kuna upuuzi hii nchi unatia hasira unaweza piga watu risasi kwa kweli
 
Wazungu be it Wamarekani, Waingereza, Warusi hata Wajeruamani.

Kusema ukweli Tanzania tumeshindwa kupanga na kujenga miji yetu. Hata Dodoma pale kinachoendelea ni vituko tu. Just next to Ikulu na Mji wa Serikali unakuta watu wanajijengea hovyo hovyo tu.
Jaji Maarufu Lord denning maskini wanawachukia sana wamarekani na wana amini wamarekani ndio wamewaletea umaskini wao japo kila kukicha wapo ubalozi wa marekani wakitafuta visa na greencard kwenda huko huko Marekani.

Maskini wa Tanzania wanaamini Russia na China ndio mkombozi waomila hawaonekani kwenye balozi za China na /Urusi wakiomba visa wakaishi huko Russia.

Maskini wapo easly manipulated na wanasiasa , kila mwanamke na mwanaume anatakamani aongee kingereza cha kimarekani, avae kama mmarekani, sasa kwanini wasianzae kuvaa na kuongea kama wachina wanaowapenda?
MAREKANI hajatawala nchi yeyote hapa AFRIKA, sasa yeye katuleteaje umaskini?
 
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
Lord denning WIZARA YA ARDHI TUWAPE MAREKANI.
Yani kuna upuuzi unaendelea mpaka unatakamani wakoloni warudi hata leo ya Adhuhuri.
Imagine Mji unawekwa bustani za wazi, kuna watu wanajiita makada wa chama "wanabadilisha matumizi na kujenga nyumba".
viwanja vya wazi vimefanywa garage nchi nzima.
Miji haina green belt.
Jangwani palipaswa kupandwa mikoko namiti mingine ila sisi tunataka tupaki mafuso.

Kinondoni , ilala na kigamboni hata pale magopmeni kwa mkuu wa wwilaya maeneo yote ya wazi makada wamegawana na wameweka makontena wanajifanya ni temporary lakini ukweli ni kwamba tangu nipo mtoto hawa makada wakiweka kontena hiyo ni permanent.
chiembe 6 Pack pale Mikocheni panaitwa "kwa Mwenyekiti" wanauza KITIMOTO, karibu na TLS au kwa KIKWETE, ni open space katikati ya makazi ya watu, huu ni mwaka wa 40 wameweka kontena wanasema ni temporary, Miaka 40 si mtu mwenye Hati ya kiwanja ya miaka 33 imeisha na sasa ana renew?
Watu wa mipango miji hata nyumba zao zenyewe hawajui kupanga. Hivi unawekaje msikiti au kanisa katikati ya magodown?
Unatoaje kibali cha restaurant katikati ya vyoo nas mitaro ya maji?
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Jaji Maarufu Lord denning maskini wanawachukia sana wamarekani na wana amini wamarekani ndio wamewaletea umaskini wao japo kila kukicha wapo ubalozi wa marekani wakitafuta visa na greencard kwenda huko huko Marekani.

Maskini wa Tanzania wanaamini Russia na China ndio mkombozi waomila hawaonekani kwenye balozi za China na /Urusi wakiomba visa wakaishi huko Russia.

Maskini wapo easly manipulated na wanasiasa , kila mwanamke na mwanaume anatakamani aongee kingereza cha kimarekani, avae kama mmarekani, sasa kwanini wasianzae kuvaa na kuongea kama wachina wanaowapenda?
MAREKANI hajatawala nchi yeyote hapa AFRIKA, sasa yeye katuleteaje umaskini?
Kuna shida kubwa sana kwetu na wanasiasa wetu wajinga wameuona huu ujinga wetu na sasa wanauchukulia kama mtaji wao katika kutupiga na kujinufaisha binafsi
 
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
John , kama ni muandishi unaweza andika kitabu, tena more than one volume.
Brother , ngpozi nyeusi ina laana.
Hivi ushaona weupe wanauana wenyewe kwa wenyewe?
Ushaona wanagombea kitu kipuuzi?
congo mtu mweusi anavamia kijiji jirani yake anachinja kijiji kizima, unajiuliza hivi ni lana ama mwisho wa dunia umefika na hao ni mashetani?
 
Kuna shida kubwa sana kwetu na wanasiasa wetu wajinga wameuona huu ujinga wetu na sasa wanauchukulia kama mtaji wao katika kutupiga na kujinufaisha binafsi

Punguza jazba na hasira ztakuletea matatizo na msongo wa mawazo

kwa kifupi, idara ya ardhi ngazi ya wilaya kwa sasa wanawajibika moja kwa moja wizarani hapo TAMISEMI wapo tu kwakuwa wapo karibu na maeneo ya kufanyia kazi yaan wapo karibu na wananchi
hvyo lawama zako ni moja kwa moja kwa wizara ya ardhi

ingefaa zaidi kama nchi ingepimwa na kujua mapori ya akiba ni kiasi gani na maeneo ya matumizi kiasi gani. Watu wajimilikishe maeneo ikiwezekana wapewe kwa gharama nafuu
 
Punguza jazba na hasira ztakuletea matatizo na msongo wa mawazo

kwa kifupi, idara ya ardhi ngazi ya wilaya kwa sasa wanawajibika moja kwa moja wizarani hapo TAMISEMI wapo tu kwakuwa wapo karibu na maeneo ya kufanyia kazi yaan wapo karibu na wananchi
hvyo lawama zako ni moja kwa moja kwa wizara ya ardhi

ingefaa zaidi kama nchi ingepimwa na kujua mapori ya akiba ni kiasi gani na maeneo ya matumizi kiasi gani. Watu wajimilikishe maeneo ikiwezekana wapewe kwa gharama nafuu
Huna akili
 
Punguza jazba na hasira ztakuletea matatizo na msongo wa mawazo

kwa kifupi, idara ya ardhi ngazi ya wilaya kwa sasa wanawajibika moja kwa moja wizarani hapo TAMISEMI wapo tu kwakuwa wapo karibu na maeneo ya kufanyia kazi yaan wapo karibu na wananchi
hvyo lawama zako ni moja kwa moja kwa wizara ya ardhi

ingefaa zaidi kama nchi ingepimwa na kujua mapori ya akiba ni kiasi gani na maeneo ya matumizi kiasi gani. Watu wajimilikishe maeneo ikiwezekana wapewe kwa gharama nafuu
Umejielekeza vibaya na wewe inaonekana ni mnufaika wa Wizara hii mbovu kabisa.
Jaji Lord denning ameeelezea kila kitu wewe upo unakula posho kwa kupitisha mabadiliko ya matumizi ya ardhi, hujali, endelea.
 
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
Hilo nalo litazamwe!
 
Umejielekeza vibaya na wewe inaonekana ni mnufaika wa Wizara hii mbovu kabisa.
Jaji Lord denning ameeelezea kila kitu wewe upo unakula posho kwa kupitisha mabadiliko ya matumizi ya ardhi, hujali, endelea.

una uhakika na tuhuma ulizonipatia au ndio umeona sawa kuropoka kwa maandishi, pole

kwa kifupi, idara ya ardhi haipo TAMISEMI

mwambie mtoa mada aache ndoto za mchana, haiwezekani wizara kufutwa na kupewa wazungu labda kichaa ndio mwenye kuwaza hvyo

malalamiko idara ya ardhi yako mengi
1. Migogoro ya mipaka
2. Ujenzi holela
3. Utapeli ktk umiliki wa ardhi
4. Maeneo kutokupimwa kwa wakati sahihi

migogoro yote hiyo inaweza kuisha kwa maeneo\ardhi kupimwa na kuwa na database inayoweza kufikiwa na mwananchi kihurahisi ht kwa kutumia simu janja
 
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili
1. Wizara ya Ardhi
2. Wizara ya Tamisemi.

Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza, Arusha na hadi Dodoma nasikitika kwa kuona Nchi hii imefeli kwa sehemu kubwa sana kwenye mipango miji.

Naumia sana kuona mtindo wa watu kupanga bidhaa chini hadi barabarani ndo kama fashion yetu kufanya biashara.

Hivi Wizara ya Ardhi na Tamisemi wameshindwa kweli kupanga miji yetu ikapangika vizuri watu wakajenga na kufanya biashara kwa mpangilio?

Hivi kweli kwenye miji yetu hii mikubwa tumeshindwa kujenga masoko ya kisasa kwenye vituo vikubwa vya mabasi yenye uwezo wa kua accommodate hata wafanyabiashara 4000-5000?

Mfano pale Dar es Salaam Mbezi, imeshindikana kujenga Masoko mawili yenye uwezo wa ku accomodate wafanyabiashara 2000 kila soko kwa upande wa kuelekea kinyerezi na upande wa pili huku kuelekea Goba??? Hatuna watu wenye akili nzuri wanaoweza kufikiria tuwalipe watu tubomoe majengo yao na tujenge hayo masoko??

Hawajui tukifanya hivyo tunaweza tukarasimisha biashara nyingi za hawa machinga na kuanza kukusanya kodi?

Pale Mwenge(Dar) tunashindwa kuwalipa wananchi kuchukua maeneo yao kujenga soko zuri la kisasa kwa hawa wafanyabiashara wadogo alafu tukawarasimisha na kuwapa mashine ya kutoa risiti ili tukusanye kodi kutoka kwao?

Hivi wanasiasa wetu huwa wanajiskiaje kuona mpangilio mbovu wa maisha na biashara kwenye miji yetu??? Au nao ushamba na ujinga vinawafanya wasione kitu?

Hawajui kuna kodi nyingi zinakosekana kwa ufanyaji biashara holela huu??


Niishie hapa kwa leo!

Lord Dennig!
Na fedha??
 
Back
Top Bottom