Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Nyanda za juu kusini tajiri mkubwa atoke songea? Unawafaham matajiri wa njombe? Waarabu wa Iringa je?
 
Yah mwamba yupo vizuri,Ile ford yake kaka co kitoto,hv mbeya Kuna chuma kali zaid ya Ile anayotembelea Achimwene?
 
Ulijuaje kuwa wafanyabiashara wengine walikuwa hawawez kukopeshwa?
 
Hivi Mr pipa nikuulize hapa tanzania,mtu binafsi aruhusiwa kumiliki soko kama ulivyoandika hapo?
 
Uchumi umeshikiliwa na waarabu na wahindi
Sasa mkoa kama Shinyanga kuna tajiri gani zaidi ya waarabu matajiri wa Mabus ya Ally's Star
Na mzee Mohamed wa Mabus ya Mohamed Trans sema nae alipitia mitihani ya kufilisiwa
Kweli mkuu,uchumi wa Tanzania upo mikononi mwa waarabu na wahindi kuanzia dar mpaka mikoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…