Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Hakuna nyimbo Titanic ya ferre golla.
Ipo moja tu TITANIC ,
JB Mipana & Wenge BCBG 4×4
umeandika ili kujifurahisha ktk hali ya kunogesha mjadala au umeandika ili tu kuleta mabishano?.

twende kazi.
mwaka 2017, ferre gola alitoa album aliyoipa jina la QQJD.

album hii aliitoa kwa mtindo wa volume 1&2. kila volume ina nyimbo 11.

katika volume 1, track namba 11 ni wimbo mzuri wenye maadhi ya rumba unaokwenda kwa title ya jina "titanic".

wimbo wenyewe ni huu hapa:
Titanic | Boomplay Music tumia app ya boomplay kuusikiliza.

au kama vipi ingia hapa youtube.

na huu ndio mpangilio wa track list katika album yake ya QQJD volume1. titanic ni namba 11
View attachment 2306030View attachment 2306029
 
Uko sahihi miaka kadhaa nilikuwa nafanya kaz fulan baraza la vetenari tulikuwa tunakutana Sana pale canteen
 
200M,aisee ..kumbe watu washakula bata, ni majuzi nimefyekekea 5M nikajiona mjinga..kumbe kuna viumbe washachafua sana hali ya hewa..aliondoka alivyokuja duniani.
 
Wanamuziki wa Congo kumtaja mtu huwa sababu kuu ni pesa. Bila kuwa na hela labda uwe ndugu yake. Mimi namfahamu Mike Mosisi ambaye katungiwa hadi wimbo na Koffi Olomide. Huyo jamaa ni mwanasiasa pia mfanyabiashara. Familia yake pale Lubumbashi wanaishi kifalme. Huwezi amini kama ndo DRC yenye maskini walioshindikana. Kuna mdogo wake sharobaro alikuwa akiagiza kitu Dar hajali kabisa kuhusu bei.
 
Huu wimbo wa kibinda nkoyi naupataje mkuu

Ikibinda nkoyi ni verse za kuchagizia wimbo aka rap za Allan Mulumba Kashama mstahiki Meya sio kua ninwimbo, tafuta nyimbo za Diamond Sound Banda utakuna na hizo rap.
 
Unaujua ule wimbo
Nimepoteza kipenzi changu hapa tanzaniaaa[emoji445]
Nimepoteza mkanda wa kiuono[emoji445]
Nitarudii kwa Hidayaa[emoji445] hidayaaa hidayaaa[emoji445]

Unaambiwa Hidaya alikua ni mrembo vibaya sana enzi za uhai wake akiwa kijana

Shikamo seye” wa Joseph Kabasele Yampanya aka Pepe Kalle
Hidaya ni mama Yetu wa A CITY !
 

Hakuna wimbo unaitwa Hidaya
Wimbo unaitwa Shikamo Seye! Alafu Hidaya katajwa sasa humo ndani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…