Tuwaombee Malawi hali yao kiuchumi ni mbaya sana

Tuwaombee Malawi hali yao kiuchumi ni mbaya sana

Tofauti yao na sisi ni nini?

Moja ya indicator kubwa ya nchi zilizoendelea ni umaskini uliotopea pia

Yaani katika matajiri wakubwa na kuna maskini wakubwa pia

Tanzania bado sana kwa umaskini sababu hujatembea
Kuna sehemu bado mlo mmoja ni shida, maji shida,
Mavazi shida
Elimu shida tena kubwa sana
Afya ndiyo kipengele
Miundombinu ni ya tabu sana( kuna sehemu bado magari hayawezi kufika)

Sasa tuna tofauti gani na Malawi?
 
Tofauti yao na sisi ni nini?

Moja ya indicator kubwa ya nchi zilizoendelea ni umaskini uliotopea pia

Yaani katika matajiri wakubwa na kuna maskini wakubwa pia

Tanzania bado sana kwa umaskini sababu hujatembea
Kuna sehemu bado mlo mmoja ni shida, maji shida,
Mavazi shida
Elimu shida tena kubwa sana
Afya ndiyo kipengele
Miundombinu ni ya tabu sana( kuna sehemu bado magari hayawezi kufika)

Sasa tuna tofauti gani na Malawi?
Kwa hiyo umeona wivu Malawi kutajwa kuwa ni maskini?
 
Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe🙌😔

Haya yote yanatokana na kula tunda kimasihara, wanazaliwa watu kimasihara halafu wanaishi kimasihara huku wakifanya mambo ya masihara. Mpaka tuache kufanya mambo kimasihara ndiyo nchi itanyooka. Masihara mpaka kwenye mambo yasiyohitaji masihara matokeo yake ni kuishi kimasihara katika nchi ya masihara
 
Haya yote yanatokana na kula tunda kimasihara, wanazaliwa watu kimasihara halafu wanaishi kimasihara huku wakifanya mambo ya masihara. Mpaka tuache kufanya mambo kimasihara ndiyo nchi itanyooka. Masihara mpaka kwenye mambo yasiyohitaji masihara matokeo yake ni kuishi kimasihara katika nchi ya masihara
Nadhani
 
Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe🙌😔
Pole Mamii,,Wasalimie Wanangu,Nawapenda Sana😍
 
Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe🙌😔
Nicheki pm nikuconnect na koy mzungu.

Kipaji cha kuchekesha unacho.
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Malawi wana tofauti gani na Tanzania kiuchumi? Kwanza Malawi ndio inatakiwa iiombee Tanzania kwa sababu ya Chama chakavu kinavyoomba mpaka msaada kutoka Japan wa kujenga matundu ya vyoo huko mashuleni.
 
Mi nadhani ungeanza na nchi yako kwanza...
Jana nimetoka mizungukoni nimewachukulia wanangu baadhi ya vitu wanapenda kula....nikaachana na daladala nikaingia kwa bajaji...kumbe Kuna zogo kati ya bajaji na daladala...mi nimo ndani wanarushiana maneno,nikamwambia tuondoke,anaondosha bajaji huku anaendelea na kamdomo....wakaanza kimbizia bajaji,dereva bajaji nae akaanza kukimbiza bajaji kama vile anakimbia kwa miguu,yaan ile unakimbia huku na kule ili usikamatwe...Mara ghafla kaparamiana na pikipiki iliyobeba trey za mayai....kibajaji kinataka kulala mi nikaruka...vitu vyangu vilisambaratika ...badala ya kusaidia watu wakaanza kuokota na kubugia bagia,wakaanza kuramba ubuyu....mayai wakazoa mpaka Ute wenye mchanga...bas ikabidi tujiinue sisi wenyewe🙌😔
Mbeya?? Kutoka wapi kwenda wapi
 
Huu mwezi nimekuwa Malawi mara kadhaa nimejifunza vitu vingi huku ila ukweli Malawi hali ni mbaya . Thamani ya pesa Yao imeshuka kuliko kawaida, kuna njaaa Maeneo mengi na majanga , bidhaa huku zinauzwa bei nafuu sana lakini mwananchi wa kawaida hawezi Bado kujipambania, tuwaombee hawa wenzetu, huu kwao ni mtihani hakuna ambaye yupo happy kuishi Malawi kwa sasa
Shida yako ulitaka kutujulisha wewe ni dereva wa malori
 
Zambia ipi hiyo mkuu? Na unailinganisha Zambia na nchi gani hadi useme hivyo?
Kwani unaijua zambia gani? Mi naijua zambia ambayo ina watu around 20m lakini inakosa umeme masaa 16 kila siku
Zambia amabyo watu wake wanaishi maisha ya kimaskini sana ambao wakija dar wanaona kama wamekuja ulaya
Nikiripoti kutoka hapa ibex hills lusaka
 
Back
Top Bottom