Tuwe makini sana na simu. Sitokuja kusahau siku niliyoposti kwa bahati mbaya status ya pilau 18+ na simu ikazima, kijasho kilinitoka

Tuwe makini sana na simu. Sitokuja kusahau siku niliyoposti kwa bahati mbaya status ya pilau 18+ na simu ikazima, kijasho kilinitoka

Sad story: Tuko kwenye group ya familia, familia 5 tofauti tofauti, Sio ukoo, Humo kuna Wababa, wamama na watoto.

Mama mmoja wa familia moja akatuma kwenye group clip ya ngono, mbaya zaidi ni anal. Sijui alikuwa anamtumia nani masikini.

Group lilipoa siku 5 mfululizo hakuna aliyecomment chochote, yule mama sijui nani alimshtua akafuta baadae.

Mpaka leo hii binafsi sina uhakika aliyefungua ile video, na ambae hakufungua, Sina uhakika kama mama yangu na kaka yangu mkubwa walifungua, (maana hawa ndio niliowawaza sababu ndio wanaonihusu)

Mama yangu ni kama hajui kilichotokea, sina hakika na kaka yangu na siwezi anzisha huo mjadala na yeye…. Nilipita kwenye hiyo stress as if mimi ndiye niliyetuma, sijajua aliyetuma alijisikiaje na familia yake. Nisiwe mnafiki binafsi niliifungua ile clip maana sina auto download , deliberately niliidownload nikaangalia nikafuta .

Swali langu kichwani hadi leo, nani alidownload nani hakudownload 😂
 
Kuna apps zina zinaficha picha za mambo yetu yale.Bora ufiche hizo picha huko.Kuna siku mm mtoto wangu kadogo kaomba aangalie katuni nilikuawaga nimeungwa kundi la wahuni furani kumbe wametuma video chafu.Ghafla nasikia milio ya ajabu namuona na mtoto anakuja mbio baba hawa wako uchi ......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sad story: Tuko kwenye group ya familia, familia 5 tofauti tofauti, Wababa, wamama na watoto.

Mama mmoja wa familia moja akatuma kwenye group clip ya ngono, mbaya zaidi ni anal. Sijui alikuwa anamtumia nani masikini.

Group lilipoa siku 5 mfululizo hakuna aliyecomment chochote, yule mama sijui nani alimshtua akafuta baadae.

Mpaka leo hii binafsi sina uhakika aliyefungua ile video, na ambae hakufungua, Sina uhakika kama mama yangu na kaka yangu mkubwa walifungua, (maana hawa ndio niliowawaza sababu ndio wanaonihusu)

Mama yangu ni kama hajui kilichotokea, sina hakika na kaka yangu na siwezi anzisha huo mjadala na yeye…. Nilipita kwenye hiyo stress as if mimi ndiye niliyetuma, sijajua aliyetuma alijisikiaje na familia yake. Nisiwe mnafiki binafsi niliifungua ile clip maana sina auto download , deliberately niliidownload nikaangalia nikafuta .

Swali langu kichwani hadi leo, nani alidownload nani hakudownload [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni 2017 nlikuwa nachati na wadau whatsapp mida ya saa tatu usiku, muda huo umeme ulikuwa umekatika, simu ikawa inakaribia kuisha chaji nikaona sio mbaya niweke status.

Nikiwa nimeingia sehemu ya status kwenye gallery ghafla ni kama nilimistouch nikachagua video ya x (nilikuwq nimejoin group la connection) na ikajipost status, ebwana ee ukisikia siku ya nyani kufa miti inateleza basi ndio hio, yani nikawa naona naenda kuua heshima yangu, Nilipaniki !! kichwa hakikutulia yani nikaanza kushikilia power button nizime simu ili niizuie, hapan nikaona niweke airplane mode kuzuia data lakini naingia whatsapp naona ishaenda, nilidata zaidi yani nikawahi kuwasha data niifute lakini ghafla simu ikazima !!

Tumbo lilizunguka kwa spidi ya ajabu akili iliniviriga nikawa nimedata nawaza itakuwaje sasa watu tunaoheshimiana wakiiona, hapo kumbuka umeme umekata mtaa mzima hakuna umeme,

nilitoka nje kama nilivyovaa kikaptula, kivesti na kandambili, sehemu ya boda boda ipo moja tu nae kanaiambia kuna mteja anamsubiri kwakweli sikuweza kusubiri boda mwengine, nikamwambia ntampa elf 5 tena sehemu yenyewe ya karibu ni ofisi ya kamari / kubeti huwa wanawasha jenereta.

yani nikiwa naelekea huko tena nakumbuka nilisahau chaja maweee!! nilienda duka la njiani niliambiwa chaja elf 10 wala sikuafiki niliitoa kama ilivyo.

nafika ofisi za kubeti hawakunielewa kuchaji simu nikatoa hapo hapo elf 5 ambayo ilibidi iwe ya boda boda nikasema tutajuana mbele kwa mbele.

yani nikaingia whatsapp nakuta kuna views kama 3 tayari ila kwa bahati nzuri zilikwa za marafiki wa viwanjani, kwenye inbox wanaomba full clip.😂😂

boda nae akanitwanga zaidi kwa kisingizio alikuwa na mteja mwengine nimevurugia ratiba......
Pole sana
 
Ilikuwa nimtumie meseji jamaa yangu kwenye hiyo meseji kuna neno inye gwedegwede/ndembendembe nilituma meseji vizuri tu nikijua nimemtumia mshikaji.Si mda mrefu maza ananipigia simu anasema umenitumia meseji ina neno inye gwedegwede maana yake ni nini dah kidogo simu iniponyoke idondoke kwa kutetemeka ila nilijitete kuna mtu nilimuazima simu yangu pengine amekosea namba akatuma kwako meseji maza alinielewe na kizuri zaidi hakuwa anajua inye ndembendembe maana yake nini
 
Matukio ya simu kwangu ni mengi sana ila nitaelezea kwa uchache,
1.Nilimtumia wife sms nakupenda bby tukiwa tumekaa nae pamoja, hapo nilikosea kureply kwa mchepuko, kishikaji baada ya kugundua hilo nikaenddleza sms nyingi kumchanganya, nikamwambia nimekuangalia nimegundua sikukosea kuchagua, nikaongeza nyingine hakika nakupenda sana mke wangu .... MAGE, etc zikawa nyingi hadi hakujua na hapo tunaenda chumbani kumalizana maana nilimlowanisha gafla😄😄😄


Nilishawahi, kumtumia mama sms Bby nimemis kukuto....mB, hapa napo nilichanganya mafaile ndio siku nilihis kichwa kinayumba mwili mzima uliloa kijasho chembamba mkono nilikuwa nikishika simu inatereza, Ishanlah mungu mwema mama hakaagi na simu bahati nzuri simu ya maza alikuwa nayo dogo anacheza game, dogo alivyoiona ile sms alichanganyikiwa maana alifikiria vitu tofauti naona dogo uvumilivu ulimshinda akaanza kunipgia nami kwa aibu nikawa sipokei ili baadae nimtafte nimwambie sim nilimwachia jamaa, Bahati nzuri Dogo akajibu sms "vipi bro umechanganyikiwa au?" Hapo ndio nikashusha pumzi nikapga sim kapokea dogo nikaongea nae akasema ameisoma yey simu ya mother alikuwa nayo yeye, nikamwambia nimechanganya na hapo ndipo akili ikakaa sawa,

3, Nilishawahi kumjibu mjomba sms "qumamaqe mseng...unafil...rwa, hapa nilikuwa nachati na mshikaji wangu katika utan utani, nakumbuka miaka hiyo mjomba alikuwa yupo Sudani alikuwaga mjeda, kumbe alikuwa na shida na mke wake akimpigia hapatikani alivyoniona nipo online whatsup akaona anitext, kumbe sms yake ya whatsup ime display juu ya screen nami nachat normal text na mwanangu ilenajua nareply kwa mwana kumbe nareply kwa mjomba bila kujijua, kibaya zaidi sikuzingatia, Baadae sasa naingia online kumbe mzee alimind nae kanitukana matusi kama yote, tena mazito zaidi ya lile nililotukana hapo ndio nikamjibu tukayamaliza,

Mwisho kabisa u
Huwa napenda kuconnect bloothot kwa sim nikiwa hom naskiliza mziki sasa siku hiyo niliconect kisha nikaweka sim mfukoni, nikaendelea na shughuli zangu, sasa imefika mida katika harakati kuna dem flan kanitumia porn flani ilikuwa ni mazoea ya kufanya hivyo, nikaona niiplay, Basi nikapunguza sauti kiasi kisha nikaplay sasa nashangaa kuona sauti haitoki kila nikijaribu kuongeza sauti bado haisikiki, Basi nikana isiwe taabu nikaendelea kuangalia ile nashtuka naskilizia ile milio ya fakifaki faki faki, ooooh my God faki mee bebiii, nikazima gafla ile nafika sebureni nakuta watu wote wanashangaana maana hata wao kama ile milio iliwachanganya. Uzuri alikuwepo dogo na bek 3 tu na watoto, ila nahisi zile sauti zilipenya hadi nje kwa majirani,


Nyongeza, Siku moja dem flan nilikuwa silikubali ila likawa linaniletea shobo ila sina hisia nalo kabisa sasa siku moja likaja geto likakaa kitandani kwangu sasa kila nikijaribu kutest kitambo naona data hazisomi, nikaona usinitanie nikachukua Earphone nikaweka sikioni nikaona nichek blackboot moja ili inipe vibe, kumbe nikikuwa sijachomeka vzuri earphone sauti inasikika kote nje na ndani ya earphone, sasa mimi nimejikausha nacheki, mara naskia dem linanipiga begani we terminator wew,, afu hayo mavitu unayoangalia sio vizuri, ile kutoa earphone kumbe kitu kipo live bila chenga, nilijiona bonge la rofa.😃😃😃
 
Ni 2017 nlikuwa nachati na wadau whatsapp mida ya saa tatu usiku, muda huo umeme ulikuwa umekatika, simu ikawa inakaribia kuisha chaji nikaona sio mbaya niweke status.

Nikiwa nimeingia sehemu ya status kwenye gallery ghafla ni kama nilimistouch nikachagua video ya x (nilikuwq nimejoin group la connection) na ikajipost status, ebwana ee ukisikia siku ya nyani kufa miti inateleza basi ndio hio, yani nikawa naona naenda kuua heshima yangu, Nilipaniki !! kichwa hakikutulia yani nikaanza kushikilia power button nizime simu ili niizuie, hapan nikaona niweke airplane mode kuzuia data lakini naingia whatsapp naona ishaenda, nilidata zaidi yani nikawahi kuwasha data niifute lakini ghafla simu ikazima !!

Tumbo lilizunguka kwa spidi ya ajabu akili iliniviriga nikawa nimedata nawaza itakuwaje sasa watu tunaoheshimiana wakiiona, hapo kumbuka umeme umekata mtaa mzima hakuna umeme,

nilitoka nje kama nilivyovaa kikaptula, kivesti na kandambili, sehemu ya boda boda ipo moja tu nae kanaiambia kuna mteja anamsubiri kwakweli sikuweza kusubiri boda mwengine, nikamwambia ntampa elf 5 tena sehemu yenyewe ya karibu ni ofisi ya kamari / kubeti huwa wanawasha jenereta.

yani nikiwa naelekea huko tena nakumbuka nilisahau chaja maweee!! nilienda duka la njiani niliambiwa chaja elf 10 wala sikuafiki niliitoa kama ilivyo.

nafika ofisi za kubeti hawakunielewa kuchaji simu nikatoa hapo hapo elf 5 ambayo ilibidi iwe ya boda boda nikasema tutajuana mbele kwa mbele.

yani nikaingia whatsapp nakuta kuna views kama 3 tayari ila kwa bahati nzuri zilikwa za marafiki wa viwanjani, kwenye inbox wanaomba full clip.😂😂

boda nae akanitwanga zaidi kwa kisingizio alikuwa na mteja mwengine nimevurugia ratiba......
Nawaona Malegend.
 
Kipindi kile kabla ya simu za touch. Zilikua zile Nokia 3310, nilimuandikia mchepuko msg ndefu kuhusu alivyonipa Jana yake, kuhusu papuchi yake ilivyokua ya viwango na maujinga mengine mengi na kitu nitakachomfanyia ikiwa Ni pamoja na kumnunulia kiwanja, kwa bahati mbaya Ile msg niliituma kimakosa kwenda namba ya waif. Sikutilia maanani nikaendelea na shughuli zangu ofisini. Baadaye nikajiuliza mbona huyu mchepuko nimemuahidi kiwanja lkn hajibu msg? Eeh bwana we, kwenda kuangalia vizuri kumbe nimechanganya madesa, msg imeenda home port kwa waif. Nikaanza kupanik fasta nikatoa udhuru, kipindi kile hakuna bodaboda, Ni daladala, Niko Kurasini ofisini naitafuta Kimara home. Nikapanda la Kariakoo kutoka Kurasini, Kariakoo nikapanda la Kimara, Mimi naona gari haitembei. Kufika Kimara nikashuka kwenda home fasta kuliko upesi. Kijasho kimenitoka nakuta waif Yuko mu sitting room anaangalia tamthilia ananiuliza mbona uko hivyo, namuuliza nikovipi, akasema hauko sawa. Nikazama chumbani na kuikuta simu ya waif imetulia kumbe Ile msg hajaisoma, Nikafuta Ile msg huku nacheka kimoyo moyo. Nikivyotoka nikamuambia siku hiyo asipike.
Surprise inamsubiri.
Msala Sasa ukabaki kwa mchepuko maana Ile msg niliyokusudia kwa waif ilienda kwa mchepuko. Lkn nikasema hata anijie juu si yeye ni Malaya tu Bora nimeokoa ndoa. Just imagine waif Angeona nimeisifia papuchi ya mchepuko krwamba Ina viwango, ningekua mgeni wa Nani miye?
Me nature ya kazi yangu sometimes kama kuna kimeo tunakua job usiku kucha then narud asubuh. Sasa sababu sometimes tunakua job night basi nkawa natumia hiyo km advantage.

Sasa siku moja tuna kimeo fulan, kwa hesabu zangu nkajua nkajua hii kazi kufika saa sita usku itakua imeisha, ila sina uhakika.. ngoja niage kabisa kwa wife. Nkamtumia sms wife kuwa leo sirud. Kuna kimeo. Bdae nkapata wazo,hiki kimeo tukifanikiwa kukisolve, bora niende kwa mchepuko nkalale huko. Nkaandika sms, kumpanga demu kuwa leo nakuja sleep over ajiandae. Na asilale mpaka nifike. Ile sms badala ya kutuma kwa demu nkatuma kwa wife. Halafu sikugundua.

Saa tano hivi kimeo tukawa tumesolve,nakasepa kwenda salasala kwa demu. Nafika kalala fofofo. Nafika ananishangaa. Nauliza mbona umelala akat nmesema naja?? Nmekutumia sms.. anaangalia haoni sms. Kucheki kwangu sms ipo, ila nmeituma kwa wife.

Weeee nilitoka mbiooo nkachukua boda. Home ni mbali, boda akanambia 20k. Nkasema poa.. nafika home nagonga nafunguliwa wife alkua kalala. Nacheki naona simu yake iko chaji. Sms zote mbili hajazisoma.. nilifurahi saana
 
Bado tukiwa kwenye kutuma ujumbe kwenye simu. Usiforward msg ukiwa umelewa utajuta na ushahidi utakuwepo. Siku moja Niko Kimara Kona Latemba bar Mara ikaingia message kwangu ya kijinga tu.
Ilikua inasema makabila mbali mbali wanavyowaomba wake zao mzigo.
Mfano.
Wakurya....geuka huku nikurenge.
Wahaya... Mama Koku geuka tu perform.
Wapare ....So nikudenge.
Wasambaa... Hituka na kunu
Wasukuma..........
Basi Ile msg ikanifurahisha Sana kwa sababu nimeanza kulewa nikaona niwaforwardie na rafiki zangu.
Nikajichanganya nikamtumia mmama mmoja mhaya MTU na heshima zake nyingi.
Nadhani alihisi nimelewa hivyo akatulia. Kesho yake mchana Sina hili Wala lile Niko ofisini, mama wa kihaya akanipigia simu, tukasalimiana vizuri halafu akaniambia, msg yako nimeipata, nauliza ulikua na maana gani kunitumia msg ya matusi usiku ulikua fika Niko na mume wangu?
Nikaona korodani Kama zimepotea na mjulus ghafla amesinyaa, nikamuuliza msg gani mama?
Kanirushia Ile msg halafu akapiga simu Tena. Aisee nilikua mpole na namba yake nikai delete. Aibu Sasa ikabaki tukikutana kanisani kwenye Baraza la wazee maana Mimi na yeye Ni wajumbe.
 
Back
Top Bottom