Tuwe makini sana na simu. Sitokuja kusahau siku niliyoposti kwa bahati mbaya status ya pilau 18+ na simu ikazima, kijasho kilinitoka

Dawa ni kuto tunza picha/video na SMS kwenye Simu futilia mbali huko.

Mimi Simu zangu watoto wangu nawapa kwenda kutoa pesa, hivyo Password wanazijua hivyo Situnzi kitu ambacho siku moja kitanivunjia heshima.
 
Bila shaka waliokutana na hii kadhia huwa wanapagawa sana na wengi huwa hawajui wafanye nini papo kwa hapo.

Kuna mdogo wangu yeye alikua na tabia ya kutumiana nyuchi na mpenziwe. Siku kalala mpenziwe akampigia simu kua kammisi, ooh basi nione hata dushe.

Jamaa na mausingizi yake akachukua simu akajirekodi anapiga puchu hata hakumaliza akaipost akajifunika zake gubigubi.

Ebanaa eeh kumbe kapost status na sio kumtumia dem.
Asubuhi simu kibao watu wanamuuliza dogo umekuwaje?? Namna gani kijana?? Vipi umekua mcheza porn?? Dar imekuharibu sana mwaisa!!

Dogo akapagawa, bila kufikiri akaandika sms ndeefu ya kuomba msamaha na porojo kibao, akatutumia wote na sisi ambao hatukuona tukaanza upepelezi dogo anaomba msamaha wa nini.

Text aliyotuma ndo ilifanya watu wafatilie zaidi.
Dogo anakuja kunipa mkasa nikajua fika chalii alipagawa na kufanya maamuzi ya kipuuzi kabisa.
 
Mtu mzima kabisa una familia inayokutegemea acha kuhifadhi picha za ngono kwenye simu au PC utakuja aibika siku moja.
Huwa sielewi logic ya kuwa na picha za uchi sema tunatofautiana Ila binafsi stipend kuhifadhi vitu vingi kwenye iwe Siri au nn so nipo clean hata magroup sina labda Kama n muhimu nipo huru hata nisipo weka lock hakuna kitu Cha hovyo mtu ataona ,watu wanajisahau sana
 
Bora hata ingekuwa normal..anal??..kudadadeki.
 
Dawa ni kuto tunza picha/video na SMS kwenye Simu futilia mbali huko.

Mimi Simu zangu watoto wangu nawapa kwenda kutoa pesa, hivyo Password wanazijua hivyo Situnzi kitu ambacho siku moja kitanivunjia heshima.
Sahihi kabisa, simu ya mzazi inatakiwa kuwa safe space kiasi hata mtoto anaweza shinda nayo asione chochote cha ajabu.

Huu wa kutunza “maajabu” nao ni ulimbukeni wa aina yake, ndio maana kuna watu simu zao zikishikwa inaibuka vita.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwamba amepambana akapata hela! Uanaume kazi!
 
wewe shabiki wa uto umeniwua mbavu
 
Blackmailing inafanyika na wewe ukiwa umeficha identity yako, sasa wewe unamblack mail mtu live bila chenga. Inaweza kuja kukucost vibaya sana.

Uwe makini. Mimi ningekuwa huyo mama ningekwambia tu uziachie, baada ya kuziachia narelease press statement kuwa sio mimi nimeeditiwa, watu watasema wiki tu yanaisha , halafu mimi na wewe tutajua pakumalizina labda uhame nchi.
 
Siku nyingine usipaniki baada ya mambo kuharibika tafuta namba ngeni wajulishe watu wako wote mnaoheshimiana kuwa umeibiwa simu.

Baada ya siku tatu wajulishe tena unefanikiwa ku-renew number na pole kwa yeyote aliyetapeliwa.
Pole kwa yeyote aliyetapeliwa au siyo 😂 kama vile hujui kilichotokea 😂
 
Nilimtumia mzee wa kanisa txt ya mapenzi badala ya pisi niliyokuwa naisarandia😂😂😂
 
Hilo ni suala dogo sana.
Ingekuwa mimi baada ya kugundua nimekosea kutuma.

Ningeandika txt nyingine kumwambia kuwa...unaona majitu yalivyo majinga, hiyo txt fulani tuko naye ofisini kanitumia kimakosa..yaani majitu majinga sana hayaheshimu wapenzi wao🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…