Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WatajijijuFaizaFoxy ameshasema hizi ni picha zilizochorwa na wazungu hazina ukweli kabisa, leteni picha original.
Hizo akili zenu za 'MASHOGA GANG' aah kumradhi ni 'MSOGA GANG' zinapaswa kuwa sharpened zikae sawa hamwezi kusapoti masuala ya kipuuzi kwenye nchi yetu. Komeni kabisa kuchezea ardhi hii.
Hao hapo, wengine wanataka kurudiFaizaFoxy ameshasema hizi ni picha zilizochorwa na wazungu hazina ukweli kabisa, leteni picha original.
Hawa ni Waafrica mbona.Hao hapo, wengine wanataka kurudi![]()
Hoja upingwa na hoja iliyo bora zaidiHao hapo, wengine wanataka kurudi![]()
Muulize huyo anayetaka Original...ana HadithHawa ni Waafrica mbona.
Twende kwenye hoja, hiyo ilikua ni harakati za kuratibisha ummaTatizo hayo ni matusi ya nguoni kwa wakina mama, sasa uwe unajaribu kupunguza jazba ukatetea hoja yako badala ya kuwa aibisha wale unaokuja kuwatetea.
Hiyo sio sanity unayodai imeletwa halafu unaichafua....Akiba yako ya maneno ndio ipi?
Unasahau kuwa hata Hawa alikuwa ni mwanamke (mama yetu sisi wote) lakini alimrubuni Adamu na kumuingia kwenye mkataba wa kumuangamiza milele Adamu na kizazi chake chote kiasi cha kupoteza umiliki wa bustani ya Eden.Wasalaam wana zengwe
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...www.jamiiforums.com
Kuuza nchi maana yake nini?
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...www.jamiiforums.com
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo😁😁Yaani uende ukanunue nchi inayokaliwa na watu zaidi ya milioni 60 kwa kipande cha karatasi (mkataba) kwa kuwarubuni viongozi wachache, nani anaweza ku-bear hiyo risk? A conscious businessman. Tufikiri kwa vituo
Tanzania ni nchi ambayo haiaminiki, kila uongozi unapobadilika wanazingua wawekezaji, nani anayeweza ku-bear hiyo risk?
Taifa haliwezi kuwa la maandamano, kila kitu maandamamo, tuchakate kwanza vitu kwa majadiliano tukishindwana ndiyo tuandamaneUhuru upi umetamalaki?
Maandamano ya kupongeza OK ila ya kupinga watu wanakamatwa.
Ili jambo mmelielewa vibaya. Elimu inahitajika zaidi, ila taratibu litaelewekaUnasahau kuwa hata Hawa alikuwa ni mwanamke (mama yetu sisi wote) lakini alimrubuni Adamu na kumuingia kwenye mkataba wa kumuangamiza milele Adamu na kizazi chake chote kiasi cha kupoteza umiliki wa bustani ya Eden.
Delila naye alikuwa ni mama, na bado aliingia kwenye mikataba ya kilaghai ili kumuangamiza Samsoni na taifa lake lote.
Katika hili la Bandari, Samia namuona na Delila tu, na wale waarabu wa DP world ni sawa na wafilisti.
Hawawezi kukubaliHakika, IGA iendelee kuboreshwa kabla ya mkataba kati ya TPA na DP World
Hayo ni maoni yako mkuu, jikite kwenye hojaU
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo😁😁
Tena nikisema mdogo nakuonea ni finyu,short rudi shule
Kwamba wamehongwa hela nyingi sana mpaka wanajitoa ufahamu na akili kabisa?Hawawezi kukubali
Pitia andiko la TLS halafu uje hapa kutunza hiyo akiba ya manenoWasalaam wana zengwe
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...www.jamiiforums.com
Kuuza nchi maana yake nini?
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...www.jamiiforums.com
Tatizo siwezi bishana na ww uwezo wako ni finyu ,unawaza Matusi na kimasihara,Hayo ni maoni yako mkuu, jikite kwenye hoja
Mpaka wanaona aibu, SEMA hizi Simbilisi hazinaga mshipa wa aibu aiseeee. Hili bunge (genge la ma-ccm) likivunjwa tukaanza upya nitatoa sadaka, wale jamaa ni Zaidi ya Nyani paleKwamba wamehongwa hela nyingi sana mpaka wanajitoa ufahamu na akili kabisa?