Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

Mababu na Mababu
DPWorld na Watanganyika
arabSLAVERY.jpg
FaizaFoxy ameshasema hizi ni picha zilizochorwa na wazungu hazina ukweli kabisa, leteni picha original.
 
Hii nchi ina majuha wengi sana
Hizo akili zenu za 'MASHOGA GANG' aah kumradhi ni 'MSOGA GANG' zinapaswa kuwa sharpened zikae sawa hamwezi kusapoti masuala ya kipuuzi kwenye nchi yetu. Komeni kabisa kuchezea ardhi hii.
 
Tatizo hayo ni matusi ya nguoni kwa wakina mama, sasa uwe unajaribu kupunguza jazba ukatetea hoja yako badala ya kuwa aibisha wale unaokuja kuwatetea.
Hiyo sio sanity unayodai imeletwa halafu unaichafua....Akiba yako ya maneno ndio ipi?
Twende kwenye hoja, hiyo ilikua ni harakati za kuratibisha umma
 
Wasalaam wana zengwe

Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.

Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.

Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,

Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.

Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.

Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.

Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.

Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.

Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.



Unasahau kuwa hata Hawa alikuwa ni mwanamke (mama yetu sisi wote) lakini alimrubuni Adamu na kumuingia kwenye mkataba wa kumuangamiza milele Adamu na kizazi chake chote kiasi cha kupoteza umiliki wa bustani ya Eden.

Delila naye alikuwa ni mama, na bado aliingia kwenye mikataba ya kilaghai ili kumuangamiza Samsoni na taifa lake lote.

Katika hili la Bandari, Samia namuona na Delila tu, na wale waarabu wa DP world ni sawa na wafilisti.
 
U
Yaani uende ukanunue nchi inayokaliwa na watu zaidi ya milioni 60 kwa kipande cha karatasi (mkataba) kwa kuwarubuni viongozi wachache, nani anaweza ku-bear hiyo risk? A conscious businessman. Tufikiri kwa vituo

Tanzania ni nchi ambayo haiaminiki, kila uongozi unapobadilika wanazingua wawekezaji, nani anayeweza ku-bear hiyo risk?
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo😁😁
Tena nikisema mdogo nakuonea ni finyu,short rudi shule
 
Uhuru upi umetamalaki?

Maandamano ya kupongeza OK ila ya kupinga watu wanakamatwa.
Taifa haliwezi kuwa la maandamano, kila kitu maandamamo, tuchakate kwanza vitu kwa majadiliano tukishindwana ndiyo tuandamane
 
Unasahau kuwa hata Hawa alikuwa ni mwanamke (mama yetu sisi wote) lakini alimrubuni Adamu na kumuingia kwenye mkataba wa kumuangamiza milele Adamu na kizazi chake chote kiasi cha kupoteza umiliki wa bustani ya Eden.

Delila naye alikuwa ni mama, na bado aliingia kwenye mikataba ya kilaghai ili kumuangamiza Samsoni na taifa lake lote.

Katika hili la Bandari, Samia namuona na Delila tu, na wale waarabu wa DP world ni sawa na wafilisti.
Ili jambo mmelielewa vibaya. Elimu inahitajika zaidi, ila taratibu litaeleweka
 
Wasalaam wana zengwe

Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.

Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.

Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,

Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.

Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.

Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.

Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.

Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.

Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora zaudi, jiratibu.



Pitia andiko la TLS halafu uje hapa kutunza hiyo akiba ya maneno
 
Hayo ni maoni yako mkuu, jikite kwenye hoja
Tatizo siwezi bishana na ww uwezo wako ni finyu ,unawaza Matusi na kimasihara,
Rudi shule kasome jinsi mikataba ilivyo
Au pata mfano wa Lucky emely kocha wa zamani wa yanga na yanga,Kesi ilivyo amuliwa, ww ni mchache sana
 
Back
Top Bottom