Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...
Ni kweli akina mama ni waaminifu na Wana huruma ndio maana hata Mungu akaona ni vyema binadamu wote kabla hawajafika duniani ni lazima wakae kwenye tumbo la mwanamke kwanza.
Ila kuna nasaha kwenye maandiko ya wahenga/Manabii kwamba "haitengemai ile jamii ambayo jambo lao la juu kabisa la uongozi wamemwachia mwanamke".
Hivyo, tuwe makini sana na nasaha hii ya Manabii.
Ni kweli akina mama ni waaminifu na Wana huruma ndio maana hata Mungu akaona ni vyema binadamu wote kabla hawajafika duniani ni lazima wakae kwenye tumbo la mwanamke kwanza.
Ila kuna nasaha kwenye maandiko ya wahenga/Manabii kwamba "haitengemai ile jamii ambayo jambo lao la juu kabisa la uongozi wamemwachia mwanamke".
Hivyo, tuwe makini sana na nasaha hii ya Manabii.
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...
Ni kweli hakuna atakayeondoka na hata Mita ya mraba moja, Ila tatizo ni kuwa, hiyo Mita moja ya mraba unapokuwa huna maamuzi nayo, hunufaiki nayo, hitakiwi hata kuikanyaga licha ya kwamba ni yako, itakuwa na kazi gani? Mfano wa ya Afrika ya kusini, rasilimali, utajiri unahidhiwa na wazungu, weusi ndio nao ni nchi yao, ila haiwafaidii lolote, kipi bora? Rais apewe muda, mambo ya kisheria haya, ukishaingia, umeingia kutoka ni mbinde na gharama lukuki, nani atakayelipa?
Ni kweli hakuna atakayeondoka na hata Mita ya mraba moja, Ila tatizo ni kuwa, hiyo Mita moja ya mraba unapokuwa huna maamuzi nayo, hunufaiki nayo, hitakiwi hata kuikanyaga licha ya kwamba ni yako, itakuwa na kazi gani? Mfano wa ya Afrika ya kusini, rasilimali, utajiri unahidhiwa na wazungu, weusi ndio nao ni nchi yao, ila haiwafaidii lolote, kipi bora? Rais apewe muda, mambo ya kisheria haya, ukishaingia, umeingia kutoka ni mbinde na gharama lukuki, nani atakayelipa?
Nani kakudanganya ardhi ya bara la Africa ni exclusive kwa ajili ya mtu mweusi? Watu weupe wa SA wameenda kule 16th Century wakati babu zake malema wanacheza tumba. They rightfully acquired land na waka invest.
Sijui kama unajua kinachopigwa? Mara kamali mara waarabu. Kamwambie awe na focus na consistency. Tunapinga mkataba na jinsi DPW alivyopatikana sio uboreshaji wa bandari.
Kesi ipo mahakamani, kama mmekula hela rudisheni
Nani kakudanganya ardhi ya bara la Africa ni exclusive kwa ajili ya mtu mweusi? Watu weupe wa SA wameenda kule 16th Century wakati babu zake malema wanacheza tumba. They rightfully acquired land na waka invest.
Sijui kama unajua kinachopigwa? Mara kamali mara waarabu. Kamwambie awe na focus na consistency. Tunapinga mkataba na jinsi DPW alivyopatikana sio uboreshaji wa bandari.
Kesi ipo mahakamani, kama mmekula hela rudisheni
Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi.
Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World.
Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza utimamu wa mijadala na akili ni kuwa na akiba ya maneno,
Napata shida sana kuamini kwamba huyu kiongozi aliyerudisha sanity kwenye admnistration ya nchi na kuruhusu haki na uhuru wa wananchi kutamalaki, awe na nia ovu kubwa kama hii ya kuuza nchi.
Kwangu mimi, mama ni kielezo cha usalama wa familia, ni nadra sana kukuta mama akikengeuka na kuhatarisha usalama wa familia. Kwa mantiki hiyo, bado ninamuamini S.S.H.
Hakika, wasi wasi ni akili, ila ushauri wangu ni kwamba mijadala ifanyike kwa kuzingatia matumizi makubwa ya akili na si hisia. Ni muhimu pia kuwa na akiba ya maneno, haswa kwa viongozi wakubwa wa kitaifa kwani wanaweza kuleta sintofahamu na taharuki.
Tumpe nafasi, S,S. H afanye kazi alafu tumuhukumu baadae.
Ieleweke kwamba, hii inchi inataendelea kuwa yetu na bandari zitaendelea kuwa zetu ata kama kuna mtu au kikundi cha watu watajidanganya kuuza au kununua.
Hakuna atakayeweza kuondoka ata na millimetre moja ya mraba ya ardhi yetu tukufu. Tuache kuwa na unfounded fear of unknown.
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa. Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi? Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote...
Hoja nyepesi mno. Unajua watu wanatofautiana kwenye vitu mbalimbali.
Mmoja kwake uhuru wa kuongea sio tatizo lakini unapokuja kwenye kuuza nchi anauza kama nyanya.
Mwingine uhuru wa kuongea mwiko na anachukia wawekezaji mno. Anawabana watendaji sana maofisini lakini yeye hana haki na huiba kwa njia kubwa kubwa. Mkataba upingwe.
Hoja nyepesi mno. Unajua watu wanatofautiana kwenye vitu mbalimbali.
Mmoja kwake uhuru wa kuongea sio tatizo lakini unapokuja kwenye kuuza nchi anauza kama nyanya.
Mwingine uhuru wa kuongea mwiko na anachukia wawekezaji mno. Anawabana watendaji sana maofisini lakini yeye hana haki na huiba kwa njia kubwa kubwa. Mkataba upingwe.
Ni Yale ' cha kuokota si cha kuiba, mwenye Mali ndiye mjinga'.
Kama walitoka walikotoka kwenda nchi nyingine na kujitwalia, hiyo si haki, haijalishi wenyeji walikuwa wajinga kiasi gani.
Hata kwa suala letu, hapo tunatia sahihi, kama wananchi hatukushirikishwa, na hatujui tunaingizwa kwenye nini, hakupaswi kukaa kimya hata kama bandari haiendi popote bado iko Tz. Tunaona nini ya Umasaini, ardhi ipo pale pale, ila Wamasai wanatolewa na kuhamishwa.
Nani kakudanganya zamani kulikua na permanent settlement iliyowastahilisha claim of ownership ya land.
Hii dunia kila mtu ana haki ya kuishi popote na acquisition of land ilifanyika kwa namna yoyote ile pamoja na kushinda vita na kuchukua maeneo. Haya mambo formal yameeanza juzi juzi tu na sioni kwanini wajihisi wao ndiyo wana haki, hao watu weusi wa huko SA
Ni Yale ' cha kuokota si cha kuiba, mwenye Mali ndiye mjinga'.
Kama walitoka walikotoka kwenda nchi nyingine na kujitwalia, hiyo si haki, haijalishi wenyeji walikuwa wajinga kiasi gani.
Hata kwa suala letu, hapo tunatia sahihi, kama wananchi hatukushirikishwa, na hatujui tunaingizwa kwenye nini, hakupaswi kukaa kimya hata kama bandari haiendi popote bado iko Tz. Tunaona nini ya Umasaini, ardhi ipo pale pale, ila Wamasai wanatolewa na kuhamishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.