ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Acha majinga basiMakundi yapi, ya loser au ya mabingwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha majinga basiMakundi yapi, ya loser au ya mabingwa?
Kabisa mkuu na wanaongoza sasa polisi kwa gap ya point nane huku zikisalia mechi nane tuHata Polisi waliongoza.
Kabisa mkuu na wanaongoza sasa polisi kwa gap ya point nane huku zikisalia mechi nane tu
KUNA WATU WATANUNAMechi za loser zinaamuliwa kwa bahati
Sijasema looser, nimesema loser. Kuna utofauti hapo
Yani sisi hata tutolewe kwenye makundi bado hauwezi kutuweka daraja sawa na wewe hata uvuke makundi
Mechi za loser zinaamuliwa kwa bahati, wakati za mabingwa huku ni uwezo
Naona sindano imekuingia hiyo. Haya kawndelee kuimba mapambio ya Ihefu kuharibu unbeaten huku Yanga wakikaribia kuchukua kombe la NBC mara ya pili mfululizoHilo nalo linawezekana kwenye playstations!
Ukieleza kuhusu mafanikio,kuna hatua.Aliyeishi miaka ishirini si sawa na aliyeishi miaka sitini.Kuna mmoja ana haki ya kujiita kala chumvi nyingi.hakuna mashindano ya bahati katika mpira wa miguu. Onesha mechi zipi zilizoamuliwa kwa bahati. Halafu tambua katika mpira wa miguu mafanikio ni kubeba kombe, hivyo anayechukua kombe la shirikisho atakuwa kapata mafanikio makubwa kuliko aliyeishia robo fainali klabu bingwa .
Hata wengine walichukua mara nne mfululizo.Sijui kama ninaweza kukuambia uendelee kujiliza kwamba ni mkubwa?Naona sindano imekuingia hiyo. Haya kawndelee kuimba mapambio ya Ihefu kuharibu unbeaten huku Yanga wakikaribia kuchukua kombe la NBC mara ya pili mfululizo
Tatizo kuna mabingwa feki wapo kwenye mashindano ya losers.Makundi yapi, ya loser au ya mabingwa?
Kwenye mpira bahati zipo.Haujui kama hua kuna shindano la kumshindanisha bingwa wa kombe la losers vs bingwa wa kombe la ligi ya mabingwa kisha anapatikana bingwa wa wote. Inaitwa CAF SUPER CUP ambapo Berkane ambaye ndiye bingwa wa kombe la losers akamgalaza Wydad ambaye ni bingwa wa klabu bingwa kwa magoli mawili kwa yai
Kabla ya kuchukua mara nne mfululizo ulisota kwa muda gani?Hata wengine walichukua mara nne mfululizo.Sijui kama ninaweza kukuambia uendelee kujiliza kwamba ni mkubwa?
Hapo no sawa na useme, haujui Yanga ambayo inacheza michuano ya loser ilikuja kumgalagaza Azam kwenye NBCHaujui kama hua kuna shindano la kumshindanisha bingwa wa kombe la losers vs bingwa wa kombe la ligi ya mabingwa kisha anapatikana bingwa wa wote. Inaitwa CAF SUPER CUP ambapo Berkane ambaye ndiye bingwa wa kombe la losers akamgalaza Wydad ambaye ni bingwa wa klabu bingwa kwa magoli mawili kwa yai
Sasa losers wawili wakikutana unafikiri unategemea kuona nini kama sio bahati?Hakuna mashindano ya bahati katika mpira wa miguu. Onesha mechi zipi zilizoamuliwa kwa bahati. Halafu tambua katika mpira wa miguu mafanikio ni kubeba kombe, hivyo anayechukua kombe la shirikisho atakuwa kapata mafanikio makubwa kuliko aliyeishia robo fainali klabu bingwa .
Hakuna ligi ya loser bali kuna kombe la shirikisho la CAF na ligi ya mabingwa Africa. Kuna timu zinaanzia kwanzia hatua ya awali katika shirikisho na hawajatokea kwenye ligi ya mabingwa.
Bahati ndio inakuwaga kwenye aina moja tu ya mashindano? Au kwenye mchezo wa mpira kwa ujumla?Kwenye mpira bahati zipo.
Namaanisha hata ma loser hubahatisha pia.Bahati ndio inakuwaga kwenye aina moja tu ya mashindano? Au kwenye mchezo wa mpira kwa ujumla?
Ukiwa unamaana ipi kwenye mchezo wa mpira wa miguu?Ukieleza kuhusu mafanikio,kuna hatua.Aliyeishi miaka ishirini si sawa na aliyeishi miaka sitini.Kuna mmoja ana haki ya kujiita kala chumvi nyingi.
Kabla ya kukimbiakimbia huko na huko kujimwambafy kwa kutwaa mara hii,ulihuzunika miaka mingapi?Kabla ya kuchukua mara nne mfululizo ulisota kwa muda gani?